Hii ni statement sahihi kabisa itusaidie kuwahukumu kwa haki ifikapo 2025Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali iingie mikataba mizuri Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi .
Nchi ilitakiwa iwe na uongozi wa mpito baada ya msiba kisha ufanyike uchaguzi mkuu
UVIVU. Sawa kabisa!Tabia yao nyingine wanayofanana ni uvivu, hawa wote hawawezi kuhangaisha vichwa vyao, wao kila jambo ni kuwaachia wasaidizi wao, matokeo yake sasa nchi imetolewa sadaka huku tukijiita tuna kiongozi, hapana, mimi nasema nchi kwa sasa haina kiongozi, inajiendea tu, kama ilivyokuwa "auto-pilot" enzi za JK.
Katiba haielekezi hivyo, ila wazo lako nimelipenda ni kweli ipo haja ya kuwa na serikali ya mpito ikitokea rais aliyechaguliwa akafariki.Nchi ilitakiwa iwe na uongozi wa mpito baada ya msiba kisha ufanyike uchaguzi mkuu
Nakazia.Uongozi wa awamu hii na ule wa awamu ya 4 ni mapacha
Unaijua GDP ya tz kabla na baada ya jk!?..GDP huja tu bila uongozi thabiti!?..au umekula sakrament ukashushia divai,unajamba chuki tu now!?Kila siku nazidi kuiona connection iliyopo kati ya JK na Samia, kwenye mambo mabaya kabisa yanayoliumiza hili taifa.
Kuanzia kwenye udhaifu uliokuwepo awamu ile ya JK mpaka sasa tunauona udhaifu uliopo awamu hii ya Samia, hawa wote wanafanana kwa namna mbaya kabisa ya kuliangamiza hili taifa.
Hapa ndipo Samia anapokosea na hataki kujirekebisha, kumgeuza JK kuwa ndie "think tank" wake, matokeo yake sasa ameanza kubeba uozo wote uliobaki kichwani mwa JK ambao hakupata muda wa kuutekeleza awamu yake, huyu Samia ndio anautekeleza sasa, na inawezekana kabisa anautekeleza kwa manufaa ya JK pia.
Tabia yao nyingine wanayofanana ni uvivu, hawa wote hawawezi kuhangaisha vichwa vyao, wao kila jambo ni kuwaachia wasaidizi wao, matokeo yake sasa nchi imetolewa sadaka huku tukijiita tuna kiongozi, hapana, mimi nasema nchi kwa sasa haina kiongozi, inajiendea tu, kama ilivyokuwa "auto-pilot" enzi za JK.
Hata mimi najuliza hilo swaliHivi Tulia spika wa Bunge haoni aibu kwa yanayoendelea? Ilitakiwa pale serikali iagizwe kurekebisha baadhi ya mambo ndipo waendelee kupitisha azimio, pale hata kama sio mwanasheria lakini bado utaona mapungufu ya wazi kabisa yaliopo
Hapa kwakweli hawa hitoria itawakumbuka kama akina Mangungo...What a shame!Hii ni statement sahihi kabisa itusaidie kuwahukumu kwa haki ifikapo 2025
Nakubaliana na wewe...Hata hayo madini yaunganishwe humo humo mikataba yake kuidai iwe reveiwed, tuanze upya...Hapa kama taifa tumekwama, tunahitaji utashi wa dhati kulikwamua taifa bila kujali dini, itikadi ama kabila...At the end we are all TanzaniansMi nitawaelewa tu siku mkiunganisha kelele hizi na yale yanayotokea migodini kwa wawekezaji wazungu........wanaenda kutua huko na ndege zao (hatujui katu zinabeba nini zinapokuja ikizingatiwa kuwa wao huko makwao wana makampuni kabisa ya kutengeneza silaha (biashara yenye faida kuliko zote navyosikia)) na ndege zao zinaondokea hukohuko baada ya kubeba mzigo (km ni madini pekee au kuna vingine, ni wao na wapinga mkataba wa bandari kina tibaijuka na Dr slaa ndo wanajua).
Kama hiyo haitoshi, mchanga wenye madini unabebwa na kupelekwa huko kwa wazungu kuchambuliwa kisha ndo wanatuambia kuwa katika mchanga uliojaa katika contena fulani, tumepata grams 2. Najua, taarifa hiyo hupokelewa na maneno, 'Praise the Lord!' na kina Dr slaa na kadinali Pengo huku kina prof Tibaijuka na takataka zingine humu huitikia kwa shangwe, ''Aamin!" na makofi juu.
Kama vp tuanze upya kwa kila kitu, lkn biasness kwa misingi ya kiitikadi tu haki ya nani tutakwama. Yakiisha maandamano yenu ya kupinga uwekezaji wa bandari, yatafuata maandamano mengine ya kupinga mikataba ya hovyo ya madini na gesi.....we subiri tu utaona!
Hana la kufanya kwakua huwezi kutetea kitu ambacho ni obviously hakina substanceNimesikiliza Clip ya Waziri Mkuu inayo trend, naye amejikita kutetea Mwekezaji, lakini anasahau Watu wanahoji aina ya Mkataba.
Shida ya wabunge wetu ni kutokutana na wananchi, wao muda wote wako kwenye biashara zao, wakitoka huko hawana jipya, ni wakati sasa bunge lipunguzwe ukubwa wake liwe controlled na wananchi na ikitokea mbunge hana ufanisi basi aondolewe bila kujali kama muda wake umekwisha au laHapa kwakweli hawa hitoria itawakumbuka kama akina Mangungo...What a shame!
Usitegemee badiliko lolote kuhusu mikataba chini ya CCM!! Never everTaifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea muda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri, achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima, nimemsikiliza Dr. Wilbroad Slaa, nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi, nimemsikiliza Mange Kimambi, nimemsikiliza Rostam Aziz, nimemsikiliza Tundu Lissu, nimemsikiliza Freeman Mbowe.
Nimelisikiza Bunge, nimemsikiliza RC Albert Chalamila, nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan, nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali, na nimemsikiliza Salim Asas; to mention a few.
Baada ya kuwasikiliza, nimetafiti, nimelinganisha, nimetofautisha kauli zao, fikra zao, hoja zao, na matendo yao, nikapata majawabu haya:
1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe, ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania. Watanzania wameukataa.
2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti; nchi inajiongoza yenyewe.
3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji.
4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi.
5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea muda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri, achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.
6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao. Kurejesha mamlaka, madaraka, na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.
7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv. Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi, Adv. Livino Ngalimtumba, na Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam "Under Extreme Certificate of Urgency" ili Mahakama ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi. Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali. Iingie mikataba mizuri, Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi.
Kabisa mkuuNakubaliana na wewe...Hata hayo madini yaunganishwe humo humo mikataba yake kuidai iwe reveiwed, tuanze upya...Hapa kama taifa tumekwama, tunahitaji utashi wa dhati kulikwamua taifa bila kujali dini, itikadi ama kabila...At the end we are all Tanzanians