Swadakta maneno yako hata wenyewe kwa wenyewe wako hivyo hivyo wa sud na nord hawaivi!Italy ni nchi inayoongoza kwa ubaguzi wa rangi kwa nchi za Ulaya. Kwa waliowahi kuishi Italy nadhani watakubaliana na mimi.
Tibaa
Mkuu nadhani unamaanisha kwa ulaya ya Magharibi, hapo naungana na wewe lakini kwa ulaya yote basi nchi za Ulaya mashariki (a.k.a Ulaya ya waliofulia) ndiyo zinaongoza. Yaani mweusi ukiishi huko mpaka unajishtukia wewe mwenyewe.
Hata mm naunga mkono wabaguzi wa kitaliano. Wahamiaji ni watu hatari. Hata hapa tanganyika wahamiaji wa kihindi wanatunyonya hadi kupumua hatuwezi. Watanzania wenngi najua watasikitika sana siku waziri wa fedha au gavana ww bank kuu akiwa mhindi kwa kizazi hiki cha sasa
Na huko ndiko huwa mnakwenda HIJA ya kuungama!
Sasa kama MAKAO MAKUU YA UKRISTO HAWAPENDI NGOZI YA GOTI!
BIBLIA INATAKIWA ISEME KUWA WATU WEUSI PIA NI WATU!!
LAKINI BAHATI MBAYA mungu WA BIBLIA NI MZUNGU PIA!!
Itabidi sisi weusi Tuanzishe BIBLIA YETU!! HATUKUBALI KUNYANYASWA NAMNA HII!!
cc Izz
Hapa sasa mkuu chonde chonde hayo maneno yanazidi kuakisi ubaguzi,toka rangi, sasa unaingiza wa dini-kitabu kitakatifu cha wa Kristo-BIBLIA.Tusifike huko.
Sasa mkuu we huoni kila kitu ndani ya BIBLIA ni uzungu uzungu tu!
ile picha ya anaesemekana kuwa ni yesu YA MZUNGU!
Waliotuletea hii dini kwetu ni WAZUNGU!
Kiongozi mkubwa kabisa wa KIKRISTO KWA MIAKA YOOTE NI MZUNGU!
Kuhiji kwenye kanisa KUUBWA na takatifu tunaenda kwa MZUNGU!
Mpaka hao wahubiri wetu siku hizi lazima waongee KIZUNGU kwenye mahubiri yao!
Yule anaejiita NABII! kwenye TV ,japokuwa anajua kiswahili safi lazima awe na mpambe wa kumtafsiria KIZUNGU!
YAANI NI BALAA KWA SISI WAAFRIKA TENA HASA WASWAHILI!
Mkuu hiyo ni kasumba tu ya baadhi ya watu, vijijini hawajui kizungu huko wanahubiri hadi kwa lugha za asili ya watu wa eneo lao. Mungu sio mzungu,iko wazi.Wanaotafsiri hivyo ni wenye usomaji wa Biblia kwa kutumia "miwani ya mbao." Mbele za Mungu wote tuko sawa tu hakuna cha mzungu wala mwarabu...wote kapu moja tu.
Huku zenj wafanyakazi wa mahoteli ni watanganyika,na wengi wao ndio wanakamatishwa ukuta kwa tamaa ya $.
Inabidi na sisi tuanze kuwa nyanya paa
Huku zenji madada wa kitanganyika ndio wengi kwenye mahoteli,mwambie aje ajionee mwenyewe wataliano wanavyo wafanyia,ngojea niende maktaba yangu nikuweke vidio uone watanganyika wenzako wanavyopigwa GANG BANG.
Acha ujinga wewe,ukiambiwa ulete ushahidi wa mzanzbr alie haribiwa na mtaliana unao?kazi zote za mahoteli zimechukuliwa na watanganyika na kwa taarifa tu tunao mpaka na ushahidi wa wamasai wanavyo pumuliwa kwa nyuma na wataliano na njoo uone watanganyika kazi zao huku mahotelini.
Hii midude mibaguzi sana huwa nashangaa sana watu wanaowatetemekea wazungu.Huyu Mama angejiuzulu tu,kuliko kuwa na sifa ya kuwa Waziri huku ukinyanyasika.
mkuu maneno yako matamu sana! na mimi natamani iwe hivyo!
Tatizo linakuja mtu atakapo kuuliza wewe! Je! kwa nini picha zilizoko makanisani zoote ni za mzungu??
huyo Yesu hata huko kwa wazungu hajafika! iweje leo wao ndio viongozi miaka nenda na miaka rudi?? mwafrica amebakia kwenye ngazi za chini??
na je Ukiulizwa BIBLIA KUNA SEHEMU INASEMA WAZUNGU NA WAAFRIKA NI SAWA??
Mmmh WEWEEE ivo wahindi walikutupia ganda la ndizi tu bila mloo!! vipi wee hapa tunazungumzia italy na ubaguzi wa rangi!! acha kupayuka!Hata mm naunga mkono wabaguzi wa kitaliano. Wahamiaji ni watu hatari. Hata hapa tanganyika wahamiaji wa kihindi wanatunyonya hadi kupumua hatuwezi. Watanzania wenngi najua watasikitika sana siku waziri wa fedha au gavana ww bank kuu akiwa mhindi kwa kizazi hiki cha sasa
Mkuu wewe mchokozi kweli kweli. Unauliza kwa nini picha zote zilizoko kanisani ni za wazungu. Umejiuliza ni nani aliyezichora au aliyeziweka? Je kuna tofauti yoyote kati ya picha ya mzungu na Myahudi? Kitu unachopaswa kufahamu ni kuwa watu wa kwanza kumwabudu Mungu huyu tunayemzungumzia ni Wayahudi kwa hiyo akili ya kawaida ni lazima ikuambie kuwa any image or symbolic representation lazima ifanane na mazingira ya 'dunia' yao. Hata michoro mingi ya Waafrika inahusisha mambo ya kiafrika-afrika kama mama kubeba mtungi, baba jembe n.k. Kama tukifanikiwa ku -export utamaduni wa namna hii lazima influence ya aina hii haitakosekana
Kwa nini unazungumzia waafrika dhidi ya wazungu tu? Kwani ukristo ni kwa ajili ya race hizo mbili tu? Vipi kuhusu wahindi, waarabu, wachina na kadhalika?
Unauliza eti kama kuna sehemu katika Biblia inayosema Wazungu na Waafrika kuwa ni sawa. Ili ujibiwe hapa inabidi pia tujiulize kama kuna sehemu inayosema wa wazungu na waafrika kama si sawa.