mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,028
- 132,432
Ukitaka uone ngoma ngumu pita maskani nguli za shibam na Saigon kumepowa kbsa......Safari hii wastaafu wamepoteana. Wazee wa Daressalamu siwasikii tena. Fa'mchezo nn!






Ova
Ukitaka uone ngoma ngumu pita maskani nguli za shibam na Saigon kumepowa kbsa......Safari hii wastaafu wamepoteana. Wazee wa Daressalamu siwasikii tena. Fa'mchezo nn!






Kuna siku niliona gari la balozi wa DRC aiseee acha kabisa.........sijui ni Bentley ile au Jaguar.......kama ofisi zao ni za ovyo nitashangaa sana!
Usifananishe ofisi za ubalozi na makazi ya ubalozi.
Ofisi za ubalozi wa egypt zipo city centre mtaa wa garden avenue.
Makazi ya balozi ndio yapo hapo victoria bagamoyo road.
DuuhIla BURUNDI kiboko
Nenda pale karibu na Ofisi za Tume ya Uchaguz DarNadhani ameufananisha!
SudanSomalia ubalozo ufungwe warudishwe kwao
Mbona wenyewe wanasema hii ndio embassy yao ya tanzaniaSomalia kwenyewe achilia mbali ubaloz si umepaona?
Ukipita Tena ntakupungia mkono Mkuunimeona tu hii thread nikawaza moja kwa moja ubalozi wa msumbiji. halafu kwa mtu anayepita ile njia mara kwa mara atagundua kuna mtu anakaa chini pale karibu na ubalozi wa canada karibu kila siku
![]()
![]()
Somalia hao wanaweza kupanga hata uswahilini😂😂Aisee wa somalia ovyo ovyo
Hahah LebaneseKuna balozi wana ofisi maeneo.ya kariakoo ...kijiofisi cha kishkaji cha kuzugia. Mitaa ya kkoo karibu na gerezani...lebanon au bangladesh