Balozi zenye Majengo Chakavu

Balozi zenye Majengo Chakavu

Safari hii wastaafu wamepoteana. Wazee wa Daressalamu siwasikii tena. Fa'mchezo nn!
Ukitaka uone ngoma ngumu pita maskani nguli za shibam na Saigon kumepowa kbsa......


Ova
 
Wanajenga karibu na UK residence. Njia ya kwenda kwa Mo
Usifananishe ofisi za ubalozi na makazi ya ubalozi.

Ofisi za ubalozi wa egypt zipo city centre mtaa wa garden avenue.

Makazi ya balozi ndio yapo hapo victoria bagamoyo road.
 
Somalia kwenyewe achilia mbali ubaloz si umepaona?
Mbona wenyewe wanasema hii ndio embassy yao ya tanzania

1698946174527.png
 
nimeona tu hii thread nikawaza moja kwa moja ubalozi wa msumbiji . halafu kwa mtu anayepita ile njia mara kwa mara atagundua kuna mtu anakaa chini pale karibu na ubalozi wa canada karibu kila siku
Ukipita Tena ntakupungia mkono Mkuu
 
Kuna balozi wana ofisi maeneo.ya kariakoo ...kijiofisi cha kishkaji cha kuzugia. Mitaa ya kkoo karibu na gerezani...lebanon au bangladesh
 
Balozi Nzuri Nchini

Umoja wa Ulaya ,

Ubalozi wa India ( Jengo Jipya).

Ubalozi wa Amazulu ( SA) (Jengo Jipya)

Ubalozi wa Marekani ( Eneo Kubwa linawabeba)

Ubalozi wa Ufaransa ( Fensi yao wanaikarabati) ila mzuri

Ubalozi wa China ( Baharini kule)

Mwisho Ubalozi mbovu kabisa kama Geto ni Burundi na Mozambique ( huu kama Banda la kuku mbaya zaidi wanapakana na eneo Muhimu sana ( Kificho) hahaha


Labda ni mbinu za eneo Lile watu walipuuze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom