Balozi zenye Majengo Chakavu

Balozi zenye Majengo Chakavu

Bado wa DRC
Sio haba ndugu.
IMG_20191104_220112.jpeg
 
Sijui kama ule wa Tanzania pale Washington walikwishaukarabati. Haukuwa kwenye hali nzuri wakati nilipokuwa pale.
 
Sijui kama ule wa Tanzania pale Washington walikwishaukarabati. Haukuwa kwenye hali nzuri wakati nilipokuwa pale.
Umenikumbusha kitu....
Kulikuwepo na balozi wa Tanzania hko Japan
Smbdy R. Lukindo(R. I. P) Kuna wakati alitumia fedha zake huko ili kuukarabati ubalozi wa tz huko......maana ulikuwa na Hali mbaya

Ova
 
Umenikumbusha kitu....
Kulikuwepo na balozi wa Tanzania hko Japan
Smbdy R. Lukindo(R. I. P) Kuna wakati alitumia fedha zake huko ili kuukarabati ubalozi wa tz huko......maana ulikuwa na Hali mbaya

Ova
wazarendo waliokuwa wamebaki
 
Ubalozi wa Urusi na Ufaransa ukipita kwa nje pia kunaonekana kupo rafu

Ubalozi wa uingereza na umoja wa ulaya ndio classic sana
 
nimeona tu hii thread nikawaza moja kwa moja ubalozi wa msumbiji 😄😄. halafu kwa mtu anayepita ile njia mara kwa mara atagundua kuna mtu anakaa chini pale karibu na ubalozi wa canada karibu kila siku 🤔 🤔
 
Burundi ngome road. Ule ubalozi noma.
Cuba Pia.


Mabeberu tu ndo wana balozi safi na nzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom