Balozi wa Zambia ailalamikia Polisi

EMT

Platinum Member
Jan 13, 2010
14,483
15,303
Balozi wa Zambia Tanzania amesema yule mtu aliyekutwa amefariki kwenye chumba cha hoteli ya Southern Sun baada ya kuhudhuria sherehe ya harusi ni Mzambia. Katika tukio hilo watu wengine wawili waliokuwa wana share chumba kimoja na marehemu walikutwa wakiwa katika hali mbaya. Polisi wamedai walikuwa wamekunywa mno.

Hata hvyo, balozi amesema haelewi ni kwa nini mwili wa marehemu Baster Bahadulu ulichukuliwa Muhimbili na watu waliodai kuwa ni ndugu zake kinyume na taratibu. Hajui kama marehemu alikuwa anaishi hapa nchini na hajapokea taarifa yoyote kwa ndugu wa marehemu hata pale walipoenda kuuchukua mwili wa marehemu Muhimbili.

Jana RPC wa Ilala alisema walionusurika kwenye hilo tukio wako huru na hawatachunguzwa. Hata hivyo, balozi analalamika kwa nini hawajafanyiwa uchunguzi juu ya kifo cha mwenzao ikizingatiwa kuwa wote walikuwa wamelala kwenye chumba kimoja. Marehemu alikuwa Mzambia na alikuja Tanzania mwezi uliopita kwa shughuli za kibiashara. Wawili walionusurika, mmoja ni mwanamuziki na mwingine mfanyabiasha. Wote ni raia wa Uingereza, lakini mmoja wao ana asili ya Kizambia.
 
baasha imepita hapa sio bure

mbona mpendazo wamemkamata juzi kwa kesi ya kutishia mtu kwa bastora
tena kesi yenye imeshaisha

lakini wanasema mwanasheria mkuu ndiye atahamua hatua za kuchukuliwa na wanasaka mlalamikaji
japo wanajua walisha malizana

sasa hapa imekuwaje?

au kwa sababu wahusika ni raia wa uingereza?
polisi wana shindwa mahojiano na hao watu? waweke wakalimani
 
Balozi wa Zambia Tanzania amesema yule mtu aliyekutwa amefariki kwenye chumba cha hoteli ya Southern Sun baada ya kuhudhuria sherehe ya harusi ni Mzambia. Katika tukio hilo watu wengine wawili waliokuwa wana share chumba kimoja na marehemu walikutwa wakiwa katika hali mbaya. Polisi wamedai walikuwa wamekunywa mno.

Hata hvyo, balozi amesema haelewi ni kwa nini mwili wa marehemu Baster Bahadulu ulichukuliwa Muhimbili na watu waliodai kuwa ni ndugu zake kinyume na taratibu. Hajui kama marehemu alikuwa anaishi hapa nchini na hajapokea taarifa yoyote kwa ndugu wa marehemu hata pale walipoenda kuuchukua mwili wa marehemu Muhimbili.

Jana RPC wa Ilala alisema walionusurika kwenye hilo tukio wako huru na hawatachunguzwa. Hata hivyo, balozi analalamika kwa nini hawajafanyiwa uchunguzi juu ya kifo cha mwenzao ikizingatiwa kuwa wote walikuwa wamelala kwenye chumba kimoja. Marehemu alikuwa Mzambia na alikuja Tanzania mwezi uliopita kwa shughuli za kibiashara. Wawili kati ya hao wawili walionusurika, mmoja ni mwanamuziki na mwingine mfanyabiasha. Wote ni raia wa Uingereza, lakini mmoja wao ana asili ya Kizambia.
EMT

Hatujaanza leo kuwaachia "wakubwa/vigogo" or their associates..... unakumbuka issue ya mbwa kubaka binti wa kihehe? je umesahau issue ya yule changu aliyeuwawa na mwanajeshi wa Uk?? vipi yule dogo aliyeuwawa pale nyumba za mawaziri kijitonyama/victoria na mambo tiiii??

Kuna kigogo aliua mtu shambani kwake kimara (tena anahusiana na hiyo harusi.... etc

tuna clique iliyo juu ya sheria zote za jamhuri

Hao jamaa walikunywa, wakavuta halafu wakasuguana na sasa mmoja kafa\

anywau, yote ya shetani tu hayo
 
Mimi nina hakika wameogopa kwamba ni raia wa uingereza ili hali waingereza wenyewe hana mambo ya kutete upuuzi kama huu
 
Lukuvi, Ndugai, na Zombe wasome huu mkorogo. Inakuwaje mtu anakufa lakini wale waliokuwa nae hawahojiwi kuhusu kifo cha mwenzao? Only in Tanzania!

Sijawahi kuona kitu kama hiki mkuu. Hata kama walikuwa wamelewa kiasi hicho, sidhani kama rahisi hivyo kuwaachilia walevi wanzake kiaina.
 


sasa hapa imekuwaje?

au kwa sababu wahusika ni raia wa uingereza?
polisi wana shindwa mahojiano na hao watu? waweke wakalimani

Kama kigezo kilikuwa ni lugha, itakuwa na maana kuwa mtu anaweza kuja Tanzania na kufanya kosa so long haongezi Kiswahili.
 
EMT

Hatujaanza leo kuwaachia "wakubwa/vigogo" or their associates..... unakumbuka issue ya mbwa kubaka binti wa kihehe? je umesahau issue ya yule changu aliyeuwawa na mwanajeshi wa Uk?? vipi yule dogo aliyeuwawa pale nyumba za mawaziri kijitonyama/victoria na mambo tiiii??

Kuna kigogo aliua mtu shambani kwake kimara (tena anahusiana na hiyo harusi.... etc

tuna clique iliyo juu ya sheria zote za jamhuri

Hao jamaa walikunywa, wakavuta halafu wakasuguana na sasa mmoja kafa\

anywau, yote ya shetani tu hayo

Hapo kwenye red itself is a criminal offence. So, the police didn't even bother to go in that line as well.
 
Naona wengi wamesahau jinsi raia wa Uingereza walivyoua dada zetu miaka michache iliyopita na kuwatupa baharini.. Polisi waliwashika vijana hao wa UK, waliwaachia huru bila uchunguzi wowote wa maana. Sasa sijui ndio kuogopa waingereza au ki-english?

BTW hivi tuna wakalimani kweli kwenye idara zetu kama polisi, uhamiaji nk. maana naona kila mtu yeye songo mbino tu kujifanya anaimanya lugha ya watu lakini ukweli wengi ni kiswahili tu tena hata hicho kiswahili fasaha kuongea na kuandika ni matatizo.
 
Kama kigezo kilikuwa ni lugha, itakuwa na maana kuwa mtu anaweza kuja Tanzania na kufanya kosa so long haongezi Kiswahili.
<br />
<br />Mkuu kiingereza ni janga la taifa tena polisi usiseme,watawahoji vipi bora waseme hamna kesi kuficha aibu.Nimeshuhudia trafiki akimwachia mzungu aliyepita rangi nyekundu kisa lugha na kuniachia mimi nilieshuhudia kwa aibu.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Lukuvi, Ndugai, na Zombe wasome huu mkorogo. Inakuwaje mtu anakufa lakini wale waliokuwa nae hawahojiwi kuhusu kifo cha mwenzao? Only in Tanzania!

Hivyo kweli unafikiri hawakutakiwa kutowa maelezo? Na iwapo maelezo na matokeo yanaonyeasha kuwa ulevi ndio kilichowasibu wote kwa pamoja panakuwa na haja ya uchunguzi zaidi? Nafikiri si vizuri kulizarau Polisi kama hivyo! Huyo Balozi anachunga unga wake tu hivyo Wazambia wote wanaokuja Tanzania hupiga ripoti ubalozini? Nikihisi kuwa kule ni sehemu ya kufata huduma inapohitajiwa na kwa kadhia yenyewe ya kuja kunywa pombe hiyo huduma ya kufatiwa haikuwepo.
 
Hivyo kweli unafikiri hawakutakiwa kutowa maelezo? Na iwapo maelezo na matokeo yanaonyeasha kuwa ulevi ndio kilichowasibu wote kwa pamoja panakuwa na haja ya uchunguzi zaidi? Nafikiri si vizuri kulizarau Polisi kama hivyo! Huyo Balozi anachunga unga wake tu hivyo Wazambia wote wanaokuja Tanzania hupiga ripoti ubalozini? Nikihisi kuwa kule ni sehemu ya kufata huduma inapohitajiwa na kwa kadhia yenyewe ya kuja kunywa pombe hiyo huduma ya kufatiwa haikuwepo.

Mkuu hapo kwenye red jibu ni ndio. Kama askari watafanya kazi shady namna hii then kutakuwa na assumptions nyingi sana. Pamoja na mambo mengine uchunguzi wakina ni muhimu; kwa nchi nyingine ungekuta tayari victim's family wamefungua lawsuit.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;Mkuu kiingereza ni janga la taifa tena polisi usiseme,watawahoji vipi bora waseme hamna kesi kuficha aibu.Nimeshuhudia trafiki akimwachia mzungu aliyepita rangi nyekundu kisa lugha na kuniachia mimi nilieshuhudia kwa aibu.
<br />
<br />
Mkuu hii si kwa mzungu tu, we ukiona polisi atakuletea gozigozi barabarani tema ung'enge tu, tena unatakiwa uanze kumsalimia wewe na kumhoji kwa nini amekusimamisha yaani wanaondoka bila kuaga maana wengi wao hata kuaga ni kama vile hawajui. Na haichukui mda kukukariri wakikuona tu wanakupungia mkono bila tatizo..
 
Hii ndiyo tanzania tuliyohaidiwa yenye neema,utawala bora na utii wa sheria.time will tell.
 
Polisi wako kwa ajiri ya kutuonea sisi wazalendo wanyonge,na sio wengine angekuwa mbogo hapo,kwanza angekaa miezi kadhaa ndani pengine hata miaka,ili wafanye uchunguzi hatuna amani kabisa ndani ya hii nchi.
 
Balozi wa Zambia Tanzania amesema yule mtu aliyekutwa amefariki kwenye chumba cha hoteli ya Southern Sun baada ya kuhudhuria sherehe ya harusi ni Mzambia. Katika tukio hilo watu wengine wawili waliokuwa wana share chumba kimoja na marehemu walikutwa wakiwa katika hali mbaya. Polisi wamedai walikuwa wamekunywa mno.

Hata hvyo, balozi amesema haelewi ni kwa nini mwili wa marehemu Baster Bahadulu ulichukuliwa Muhimbili na watu waliodai kuwa ni ndugu zake kinyume na taratibu. Hajui kama marehemu alikuwa anaishi hapa nchini na hajapokea taarifa yoyote kwa ndugu wa marehemu hata pale walipoenda kuuchukua mwili wa marehemu Muhimbili.

Jana RPC wa Ilala alisema walionusurika kwenye hilo tukio wako huru na hawatachunguzwa. Hata hivyo, balozi analalamika kwa nini hawajafanyiwa uchunguzi juu ya kifo cha mwenzao ikizingatiwa kuwa wote walikuwa wamelala kwenye chumba kimoja. Marehemu alikuwa Mzambia na alikuja Tanzania mwezi uliopita kwa shughuli za kibiashara. Wawili walionusurika, mmoja ni mwanamuziki na mwingine mfanyabiasha. Wote ni raia wa Uingereza, lakini mmoja wao ana asili ya Kizambia.


No Crime Scene Investigation Lab nchi hii na kama zipo basi hatuna wataaramu tume kaaa kihongo hongo kwanza badala ya kutatua matatizo na hii desturi ya askari kujiamlia whether watapima eneo la tukio au hapana inatoka wapi it has to be on procedures kuwa eneo la tukio hakuna mtu yeyote kuondoa evidence kabla ya CSI-Lab kumaliza kazi zao mtu anakuja tu na ni askari huyo ana contaminate evidence

My Take :
Police wetu hawapendi kujishughurisha na kazi zao kikamirifu waaache tabia ya kupenda hongo au kutengeneza mazingira ya kupata rushwa wafanye kazi. Hii ni aibu jeshi la police kuto tumia vifaaa kama inavyo, Hilo tatizo ni kubwa Raia wa nchi nyingine kafa nchini kwenu kiajabu tu nyie mwaichukulia very simple
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom