Asubuhi ya leo Dodoma,magari kuelekea njia ya uwanja wa ndege yalikuwa yamesimamishwa kwa kipindi kirefu kidogo!! wengi tulijua ni viongozi wetu wa kitaifa!! na hali hii kwa dodoma mi kawaida kabisa!!! msafara ulipopita tuligundua ni balozi wa US!!!kwa walio na taarifa alikuwa anafanya nn hapa dodoma tukizingatia issue ya escrow iko moto tujuzane!!!nawasilisha wakuu!!