Balozi Sefue naye awajibishwe

Balozi Sefue naye awajibishwe

Nayeye uteuzi wake utenguliwe tu sababu anahusika na kila jipu linalotumbuliwa,Yeye ndio Katibu mkuu kiongozi(mkuu wa utumishi wa umma),haiwezekani makosa ya watu wa chini yake asihusike.

JPM ili kweli kuondoa hayo mapandikizi, muwajibishe Sefue.
Amekusikia , nani mwingine unataka amuondoe
 
Amekusikia , nani mwingine unataka amuondoe
Wale mawaziri wawili wanawake waliofukuza wakurugenzi hadharani.Tendo lile limewaathiri waliofukuzwa na familia zao kisaikologia.Wakubali au wasikubali watoto wa wale wakurugenzi watanyanyasika kwa kuitwa majipu.Ninao mfano watoto wa fulani kuitwa NGUNGUR mpaka wanamaliza std seven.
 
Back
Top Bottom