Registered_jf
JF-Expert Member
- Nov 27, 2024
- 920
- 1,454
😂
(IMAGE REMOVED)
Nilikuwa natafuta picha Google drive nikakutana na hii! ! Hili ni moja ya maballistic missiles yaliyonipiga. Lilileta maafa makubwa kisaikolojia.
Thankfully NO Bluetooth devices were connected! The damage was purely emotional and psychological.
1) Tangu mwanzo mama aliniambia unatoka na huyo unataka kuolewa na kitunguu? Utakuwa unalia kila siku! Chach playa! !
2) Alishatoa sababu kadhaa kwanini hawezi kunioa, in this order
a) Sijui nataka nini!
b) Mimi na wewe tuna maisha tofauti sana!
c) You don't want to sleep with me!
d) Tuna undugu!
e) You're not a Christian! (😂 ! kweli wakati ule I was not a beleiver)
f) Ya mwisho ndo hiyo nikakata mawasiliano.
3) Nilivyokuja kuona picha kaenda kutoa mahari nikaandika barua ku postpone chuo nikaenda mkoani. After two weeks I had gotten my senses back nikarudi chuo. Chuo chenyewe jengo moja na ofisi yake!
4) Kila tukio lake nilikuwa naletewa taarifa + picha bila kuomba! !
5) Alimuomba mdogo wangu asimamie harusi yake! ! ! ! Nikawa namuaangalia tu na hekaheka za kwenda huko kufanya mazoezi ya kucheza anarudi na makorokoro anapewa huko.
6) Wazazi wakanidanganya hawajachangia harusi na hawatoenda. Ni kweli hawakwenda lakini nilikuja kujua walimchangia. Guess you can lie so as not to hurt your loved ones sometimes.
6) Pamoja na kutokwenda kwenye harusi walikuwa wanaifuatilia kwenye simu kwa shauku huku wakinionyesha.
7) Mkewe tunafanana majina. Mfano mimi ni Mary yeye Maria.
8) Nyumbani huwa kuna shughuli za chach sometimes, baada ya kuoa alikuja na mkewe, aliingia hadi jikoni, right in my kitchen his wife got in!
9) Aliniambia anataka watoto wengi so hatuendani. Ni kitu kinajulikana, anapenda watoto. Mpaka leo wana mmoja tu sijui wanakwama wapi. Hes about 45 now. NILETEEENI WATOTO !
10) Mara ya mwisho nimeongea naye a few years ago alikuwa ananipongeza for finally becoming a Christian. Akasema I'm very happy Registered_jf dont stop okay?
Nilishamsahau, nikaenda kupigwa ballistic missile takatifu.
UJUMBE: Ukipigwa ballistic missile usihuzunike sana, usikate tamaa. They're not special! ! Kuna mengine makubwa zaidi yenye maafa zaidi kuliko hilo yanakuja! !
DIJAY
(IMAGE REMOVED)
Nilikuwa natafuta picha Google drive nikakutana na hii! ! Hili ni moja ya maballistic missiles yaliyonipiga. Lilileta maafa makubwa kisaikolojia.
Thankfully NO Bluetooth devices were connected! The damage was purely emotional and psychological.
1) Tangu mwanzo mama aliniambia unatoka na huyo unataka kuolewa na kitunguu? Utakuwa unalia kila siku! Chach playa! !
2) Alishatoa sababu kadhaa kwanini hawezi kunioa, in this order
a) Sijui nataka nini!
b) Mimi na wewe tuna maisha tofauti sana!
c) You don't want to sleep with me!
d) Tuna undugu!
e) You're not a Christian! (😂 ! kweli wakati ule I was not a beleiver)
f) Ya mwisho ndo hiyo nikakata mawasiliano.
3) Nilivyokuja kuona picha kaenda kutoa mahari nikaandika barua ku postpone chuo nikaenda mkoani. After two weeks I had gotten my senses back nikarudi chuo. Chuo chenyewe jengo moja na ofisi yake!
4) Kila tukio lake nilikuwa naletewa taarifa + picha bila kuomba! !
5) Alimuomba mdogo wangu asimamie harusi yake! ! ! ! Nikawa namuaangalia tu na hekaheka za kwenda huko kufanya mazoezi ya kucheza anarudi na makorokoro anapewa huko.
6) Wazazi wakanidanganya hawajachangia harusi na hawatoenda. Ni kweli hawakwenda lakini nilikuja kujua walimchangia. Guess you can lie so as not to hurt your loved ones sometimes.
6) Pamoja na kutokwenda kwenye harusi walikuwa wanaifuatilia kwenye simu kwa shauku huku wakinionyesha.
7) Mkewe tunafanana majina. Mfano mimi ni Mary yeye Maria.
8) Nyumbani huwa kuna shughuli za chach sometimes, baada ya kuoa alikuja na mkewe, aliingia hadi jikoni, right in my kitchen his wife got in!
9) Aliniambia anataka watoto wengi so hatuendani. Ni kitu kinajulikana, anapenda watoto. Mpaka leo wana mmoja tu sijui wanakwama wapi. Hes about 45 now. NILETEEENI WATOTO !
10) Mara ya mwisho nimeongea naye a few years ago alikuwa ananipongeza for finally becoming a Christian. Akasema I'm very happy Registered_jf dont stop okay?
Nilishamsahau, nikaenda kupigwa ballistic missile takatifu.
UJUMBE: Ukipigwa ballistic missile usihuzunike sana, usikate tamaa. They're not special! ! Kuna mengine makubwa zaidi yenye maafa zaidi kuliko hilo yanakuja! !
DIJAY