Balali atarudishwa Tanzania

Balali atarudishwa Tanzania

Status
Not open for further replies.
Hata kama ni Marudio ujue jambo hili ni vema tukawa tunakumbushana kila siku ili tusisahau kwa sababu tukisahau CCM wataendelea kutufanya wajinga kila uchwao.Pia mleta mada anachozungumzia kama tetesi ni juu ya Lowasa na kutaka kumwaga siri juu ya hili kitu ambacho sidhani kama unakijua.
Kwa mawazo yako Lowasa atadhubutu kufungua kinywa?
 
Balali is not dead, if is not dead then he is alive, those who are living, are not dead
 
EL akaifanikiwa kumrudisha Dr Daudi nahisi hata kuwa kwenye hali ya kawaida,nahisi atakuwa ndondocha hata mkimuhoji hataweza kuongea.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom