Kaka Mtenga
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 347
- 87
Wanajamvi,
Amani iwe nanyi.
Kuna tetesi kuwa kete ya mwisho kabisa ya EL ya kuwashinikiza wanaccm kumpa nafasi ya kupeperusha bendera ya ccm kwenye urais 2015 ni Issue ya aliyekuwa Gavana wa BOT.
Kwamba wasipompa nafasi hiyo atamleta Balali nchini ili kuiumbua serikali ya ccm.
Haiingii akilini eti mtu mwenye wadhifa mkubwa kama wa Gavana eti apelekwe kutibiwa nje ya nchi kisha afariki dunia halafu wamtelekeze.
Watanzania tunapigwa changa la macho na serikali ya ccm eti Balali kafa na hawajui alikozikwa tubakubali na tunakaa kimya bila kuhoji.
Kama wasanii tu wanafia nje ya nchi wanarudishwa kuja kuzikwa nyumbani inakuwaje mtu mkubwa kama Gavana maiti yake isionekane?Hapana hapana kabisa hapana lazima kuna jambo limefichwa ili watz tusilijue na sasa El anataka kulisema.
Mbona huyu mwingine aliyefia S.Africa japo nae inasemekana kalishwa kitu kinachosadikiwa kuwa ni sumu mmemrudisha kuzikwa nyumbani?Hii ni kudhibitisha kuwa B yuko hai na amechoka kujificha.
UKWELI UKIZIKWA LAZIMA UTAFUFUKA.
Bado kidogo tu tutabainishiwa ukweli na wanaccm wanaokezwa na serikali yao maana Chacha alikuwa anataka kulimwaga Bungeni WAKAM-TIME.
Amani iwe nanyi.
Kuna tetesi kuwa kete ya mwisho kabisa ya EL ya kuwashinikiza wanaccm kumpa nafasi ya kupeperusha bendera ya ccm kwenye urais 2015 ni Issue ya aliyekuwa Gavana wa BOT.
Kwamba wasipompa nafasi hiyo atamleta Balali nchini ili kuiumbua serikali ya ccm.
Haiingii akilini eti mtu mwenye wadhifa mkubwa kama wa Gavana eti apelekwe kutibiwa nje ya nchi kisha afariki dunia halafu wamtelekeze.
Watanzania tunapigwa changa la macho na serikali ya ccm eti Balali kafa na hawajui alikozikwa tubakubali na tunakaa kimya bila kuhoji.
Kama wasanii tu wanafia nje ya nchi wanarudishwa kuja kuzikwa nyumbani inakuwaje mtu mkubwa kama Gavana maiti yake isionekane?Hapana hapana kabisa hapana lazima kuna jambo limefichwa ili watz tusilijue na sasa El anataka kulisema.
Mbona huyu mwingine aliyefia S.Africa japo nae inasemekana kalishwa kitu kinachosadikiwa kuwa ni sumu mmemrudisha kuzikwa nyumbani?Hii ni kudhibitisha kuwa B yuko hai na amechoka kujificha.
UKWELI UKIZIKWA LAZIMA UTAFUFUKA.
Bado kidogo tu tutabainishiwa ukweli na wanaccm wanaokezwa na serikali yao maana Chacha alikuwa anataka kulimwaga Bungeni WAKAM-TIME.