Balaa la mvua


ni kweli kabisa, lkn hata majuu hutokea, na ikitokea kama ya majuu hapa itakua soo
 

Najaribu kuisoma picha hii...huyu bwana amekuja kukaa hapo au maji yamemkutia hapo? Au ni mwenyeji wa nyumba za karibu na hapo? Manake kama ni mfanya biashara ndogo ndogo atakuwa anasubiri mteja yupi kwa hali hiyo?....

Mwisho wa siku bado tunalaumu mamlaka husika kwa kuacha watu wanajenga mpaka wanamaliza bila kuwazuia. Na bado nyumba nyingine zinawekewa mpaka na umeme, sasa sijui na vishoka au Tanesco wenyewe? Kwa ujenzi huu, matokeo yake nyumba zimejengwa kwenye njia/mikondo ya maji....sasa tutawezaje kuyakwepa mafuriko tunayojitengenezea wenyewe?
 
huyu kijana aliyekaa juu ya daraja anafanana na rafiki yetu wa huko kigoma aitwae D.Edwin.
 
usipate taabu ndio mm wa Kigoma kwetu
 
life is Short njoo ona hukuuuu....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…