balaa gani hili jamani la reg.no!

balaa gani hili jamani la reg.no!

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,618
Reaction score
13,880
yaani cjui ni mkosi gani tena huu jamani,mi nilinunua pikipiki nikawa bado cjaisajili nikawa nimesafiri,nikamuachia bwana mdogo jukumu na agent aliyeniuzia hiyo pikipiki kufanya mchakato wa kuisajili,cha ajabu niliporudi nikakuta wameshaisajili na kupata plate number T***CCM!huku na yeye anafahamu kuwa mimi ni cdm,na huwa napenda kuvaa magwanda muda mwingi,na hiyo pikipiki sio ya biashara niliinunua kwa minajili ya kui2mia kwa shughuli zangu binafsi ninapokuwa nje ya mji!sasa itakuwaje huku gwanda na plate no.iko hivyo,jana tu wakati nai test nilizomewa mno!!ilibidi nimuulize dogo kulikoni tena umekubali hiyo numba?nilichokuja gundua ni kuwa huyo agent alinifanyia makusudi kwani anafahamu kuwa mimi ni mwana cdm pale mtaani,na yeye alipokwenda tra akakuta ndio namba zilizopo akafurahi sana,ila nimwemwambia bora niiuze tu!kwani gwanda na plate number hiyo wapi na wapi!!mnaosajili vyombo vyenu vya moto kuweni makini sana na hili li number,usijetafuta mchawi wa mambo yako kumbe unalonyuma ya chombo chako cha usafiri!
 
ha ha ha ha. Sipati picha, maana hata hayo magari ya wanaCCM wenyewe hayana namba hizo.
 
Unaweza kwenda nunuwa namba kwa jina ulipendalo. Mambo madogo sana hayo.
 
sio kweli hakuna plate number ya CCM wala CUF pia CDM zilishaondolewa katika Registration before usitake kudanganya watu
 
Kaka mouradi usibishe mm mwenyewe juzi hapa Ta nimeiona pkpk ya T....CCM nikasema kumekucha
 
sio kweli hakuna plate number ya CCM wala CUF pia CDM zilishaondolewa katika Registration before usitake kudanganya watu

Uko dunia gani mwenzetu? Mbona plate number zenye CCM zimejaa mjini.
 
sio kweli hakuna plate number ya CCM wala CUF pia CDM zilishaondolewa katika Registration before usitake kudanganya watu
zipo nyingi tu jamaa yangu, nishakutana na pikipiki kama 6 hivi na magari 3 yenye reg.T XXX CCM, na inawezekana hizo pikiki mojawapo inawezakuwa ya White Wizard, japokuwa sijaona dereva wake amevaa gwanda
 
sio kweli hakuna plate number ya CCM wala CUF pia CDM zilishaondolewa katika Registration before usitake kudanganya watu

no no....zipo tele....sasa hivi wapo kwenyn cc....itafuata cd...hapa tutapata cdm....cuf ipo mbali kidogo.....
 
yaani cjui ni mkosi gani tena huu jamani,mi nilinunua pikipiki nikawa bado cjaisajili nikawa nimesafiri,nikamuachia bwana mdogo jukumu na agent aliyeniuzia hiyo pikipiki kufanya mchakato wa kuisajili,cha ajabu niliporudi nikakuta wameshaisajili na kupata plate number T***CCM!huku na yeye anafahamu kuwa mimi ni cdm,na huwa napenda kuvaa magwanda muda mwingi,na hiyo pikipiki sio ya biashara niliinunua kwa minajili ya kui2mia kwa shughuli zangu binafsi ninapokuwa nje ya mji!sasa itakuwaje huku gwanda na plate no.iko hivyo,jana tu wakati nai test nilizomewa mno!!ilibidi nimuulize dogo kulikoni tena umekubali hiyo numba?nilichokuja gundua ni kuwa huyo agent alinifanyia makusudi kwani anafahamu kuwa mimi ni mwana cdm pale mtaani,na yeye alipokwenda tra akakuta ndio namba zilizopo akafurahi sana,ila nimwemwambia bora niiuze tu!kwani gwanda na plate number hiyo wapi na wapi!!mnaosajili vyombo vyenu vya moto kuweni makini sana na hili li number,usijetafuta mchawi wa mambo yako kumbe unalonyuma ya chombo chako cha usafiri!

hiyo ni sawa na kukumbwa na jini makata.....pole weeeeee.....
 
sio kweli hakuna plate number ya CCM wala CUF pia CDM zilishaondolewa katika Registration before usitake kudanganya watu

Mkuu sio vizuri kubisha ki2 ambacho hukijui!waache wanaojua wachangie,mbona hizo namba ziko kibao tu!
 
sio kweli hakuna plate number ya CCM wala CUF pia CDM zilishaondolewa katika Registration before usitake kudanganya watu
Jirani yangu kanunua gari juzijuzi na ina plate number CCM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom