GE2025 BAKWATA yampatia Rais Samia tuzo maalum ya Mufti Tanzania

GE2025 BAKWATA yampatia Rais Samia tuzo maalum ya Mufti Tanzania

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limeipa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tuzo maalum ya Mufti Tanzania, ambayo iliwasilishwa na kupokelewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa niaba ya Rais, tarehe 20 Septemba 2025.

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania amkabidhi tuzo hii Samia, akitambua mchango wake mkubwa katika sekta ya elimu na juhudi zake za kuendeleza elimu na ustawi wa jamii ya Watanzania.

1758633762748.png

1758634245987.png
 
Hadi September hii samia uraisi anatoa wapi? Na majaliwa ni waziri mkuu kiaje?
 
Back
Top Bottom