Acha upotoshaji, BAKWATA wameunga mkono hotuba ya Rais, sasa usije ukaleta mambo ya serikali ngapi hapa.Baraza kuu la waislam limesema lina unga mkono katiba ya wananchi iliyo tokana na maoni ya wananchi ikiwa pamoja na mabadiliko katika mfumo wa muungano ili kuleta umoja na kuumarisha uchumi wa pande zote za jamhuri.
Source:startv tbc habari
Safi Sana bado wakiristu watoe tamko kwa sababu ccm wanataka kutuletea katiba yao wanayo itaka wao
Ile ndege ya malaysia iliyobeba watu 239..wasio na hatia wakapotea.Bora ingewabeba wajumbe(wabunge) wa katiba ikapotea nao kuliko vitu wanavyofanya Bungeni.
Ile ndege ya malaysia iliyobeba watu 239..wasio na hatia wakapotea.Bora ingewabeba wajumbe(wabunge) wa katiba ikapotea nao kuliko vitu wanavyofanya Bungeni.
Baraza kuu la waislam limesema lina unga mkono katiba ya wananchi iliyo tokana na maoni ya wananchi ikiwa pamoja na mabadiliko katika mfumo wa muungano ili kuleta umoja na kuumarisha uchumi wa pande zote za jamhuri.
Source:startv tbc habari
Acha upotoshaji, BAKWATA wameunga mkono hotuba ya Rais, sasa usije ukaleta mambo ya serikali ngapi hapa.
Akili za kuambiwa changanya na zako.
Acha uzushi, Bakwata Hawana ujinga huo
Acha uzushi, Bakwata Hawana ujinga huo