Msolopagaz
JF-Expert Member
- Jan 29, 2014
- 461
- 212
Ndugu wadau,kunajambo limenifanya niwe sensitive sana na uoga pia umeniingia. Jambo lenyewe ni hofu ya baadhi ya wananchi(hasa humu jamii forum nkiamini nkama sample inayowakilisha mtazamo wa baadhi ya wananchi)kuhusu mahakama ya kadhi katika rasimu ya katiba.
Kwa mtazamo wa wengi(hasa wakristo)wanahofu ikiwa mahakama ya kadhi itapitishwa katika katiba hii mpya. Lakini LOGICALLY hofu ni nini?
Hebu tuijue kidogo mahakama ya kadhi. Mahakama ya kadhi ni mahakama ya dini ya kiislam ambayo hukumu zake znapitishwa kulingana na sheria za kiislam (kutoka katka quran na hadith). Sasa wewe ambae sio mfuasi wadini ya kiislamu unadhurikaje na hili? Kwa wewe kutokuwa muislam tayar katiba inakulinda na mahakama ya kadhi haina mamlaka na wewe.
Kwa nchi ambazo ni za kiislam hasa UARABUNI,tunawaita wenye siasa kali kwa vile wao wana observe sheria zote za kiislam ikiwa na mana kwamba kwao ndo katiba yao. Sasa kwenye nchi ambazo sio za kidini KATIBA ndio mwongozo mkuu ambapo sheria za kidini zinafata mwongozo huo katka kutekeleza hukumu zake.
Naomba nitoe mfano:
Tunajua fika Kenya mahakama ya kadhi ipo lakn hatujawah kusikia mtu kakatwa mkono(ingawa hukmu ya muislam aloiba ni kukatwa mko)na hii ni kwavile tayar katba ilishaweka hukmu yake.
Pia hatujaskia mtu akipigwa mawe hadi kufa(ingawa kwa muislam mwenye mume au mke akizni na mwanando mwingine hiyo ndo hukmu). Sasa mimi najiuliza,Ikiwa hukumu ni laini tu na HAZIMGUSI MKRISTO bali MUISLAMU tu,nini hofu? Kwa hapa kwetu mahakama ya kadhi itabezi katka kutoa hukumu ya MIRATHI na NDOA. Na katka hili ili mjue wakrito hawatadhurika kwa chochote ni kwamba MFANO muislam kamuoa mkristo hata wawe namatatizo ambayo yanahtaji suluhsho kupitia mahakama ya kadhi,hii mahakama hatawashughulikia kwavile wamechanganya iman mbili kwahiyo hukumu haitawezekana na hawa mkumbuke hata chet cha ndoa watachukua cha serikali,sasa hofu ya nini?
Na mirathi ni hivo hivo kama wanando ni dini tofaut mmoja kafa kuhusu mirathi wala mwenza asjisumbue kwenda kwa kadhi mana sheria hairuhusu kugawa hiyo mirathi. Umeonewa rudi kwenye katiba ya nchi angalia inasemaje kuhusu mirathi,nenda mahakaman na ustawi wa jamii kwa ajili ya haki yako.
Ndugu zangu, mwenye hofu na mahakama ya kadhi, kama hofu yake ni kuwa itamkandamiza mkrito, aondoe shaka hilo halimhusu. Na kwa muislamu yeyote mwenye kuiogopa mahakama ya kadhi asiiogope hiyo kwanza amuogope yule aloumba nafsi na roho.
JABBAR.
Kwa mtazamo wa wengi(hasa wakristo)wanahofu ikiwa mahakama ya kadhi itapitishwa katika katiba hii mpya. Lakini LOGICALLY hofu ni nini?
Hebu tuijue kidogo mahakama ya kadhi. Mahakama ya kadhi ni mahakama ya dini ya kiislam ambayo hukumu zake znapitishwa kulingana na sheria za kiislam (kutoka katka quran na hadith). Sasa wewe ambae sio mfuasi wadini ya kiislamu unadhurikaje na hili? Kwa wewe kutokuwa muislam tayar katiba inakulinda na mahakama ya kadhi haina mamlaka na wewe.
Kwa nchi ambazo ni za kiislam hasa UARABUNI,tunawaita wenye siasa kali kwa vile wao wana observe sheria zote za kiislam ikiwa na mana kwamba kwao ndo katiba yao. Sasa kwenye nchi ambazo sio za kidini KATIBA ndio mwongozo mkuu ambapo sheria za kidini zinafata mwongozo huo katka kutekeleza hukumu zake.
Naomba nitoe mfano:
Tunajua fika Kenya mahakama ya kadhi ipo lakn hatujawah kusikia mtu kakatwa mkono(ingawa hukmu ya muislam aloiba ni kukatwa mko)na hii ni kwavile tayar katba ilishaweka hukmu yake.
Pia hatujaskia mtu akipigwa mawe hadi kufa(ingawa kwa muislam mwenye mume au mke akizni na mwanando mwingine hiyo ndo hukmu). Sasa mimi najiuliza,Ikiwa hukumu ni laini tu na HAZIMGUSI MKRISTO bali MUISLAMU tu,nini hofu? Kwa hapa kwetu mahakama ya kadhi itabezi katka kutoa hukumu ya MIRATHI na NDOA. Na katka hili ili mjue wakrito hawatadhurika kwa chochote ni kwamba MFANO muislam kamuoa mkristo hata wawe namatatizo ambayo yanahtaji suluhsho kupitia mahakama ya kadhi,hii mahakama hatawashughulikia kwavile wamechanganya iman mbili kwahiyo hukumu haitawezekana na hawa mkumbuke hata chet cha ndoa watachukua cha serikali,sasa hofu ya nini?
Na mirathi ni hivo hivo kama wanando ni dini tofaut mmoja kafa kuhusu mirathi wala mwenza asjisumbue kwenda kwa kadhi mana sheria hairuhusu kugawa hiyo mirathi. Umeonewa rudi kwenye katiba ya nchi angalia inasemaje kuhusu mirathi,nenda mahakaman na ustawi wa jamii kwa ajili ya haki yako.
Ndugu zangu, mwenye hofu na mahakama ya kadhi, kama hofu yake ni kuwa itamkandamiza mkrito, aondoe shaka hilo halimhusu. Na kwa muislamu yeyote mwenye kuiogopa mahakama ya kadhi asiiogope hiyo kwanza amuogope yule aloumba nafsi na roho.
JABBAR.