NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 1,001
Wana JF kama nitakosea naomba kuelimishwa, ninavyojua mimi abiria iwe wa ndege au boat hizi,
Mzigo hitajika ni kg isiyozidi 20, sasa mimi nimesafiri toka Zanziber kwenda Dar nimenunua oven yangu ndogo tu na isiozidi kg 15, nikahitajika kulipia elf 10.
Na ukifika hata asubuhi pale ofisini kutaka ticket ya bei ya kawaida 23,000 unaambiwa zimeisha, ila zipo zinauzwa nje kwa Tshs 50,000, yaani ni watu wamezinunua kisha wanauza kwa magendo.
Nilivyo lalamika zaidi nilijibiwa sio lazima kutumia chombo hicho...
Haya kwangu niliona ni manyanyaso makubwa...na sijui kama mmliki ambaye ni Bakharesa anafahamu unyama huu wa wafanyakazi wake..
Naomba Bakheresa pale ulivyo chunguza tuhuma hizi, imekuwa ni kero sana.
Mzigo hitajika ni kg isiyozidi 20, sasa mimi nimesafiri toka Zanziber kwenda Dar nimenunua oven yangu ndogo tu na isiozidi kg 15, nikahitajika kulipia elf 10.
Na ukifika hata asubuhi pale ofisini kutaka ticket ya bei ya kawaida 23,000 unaambiwa zimeisha, ila zipo zinauzwa nje kwa Tshs 50,000, yaani ni watu wamezinunua kisha wanauza kwa magendo.
Nilivyo lalamika zaidi nilijibiwa sio lazima kutumia chombo hicho...
Haya kwangu niliona ni manyanyaso makubwa...na sijui kama mmliki ambaye ni Bakharesa anafahamu unyama huu wa wafanyakazi wake..
Naomba Bakheresa pale ulivyo chunguza tuhuma hizi, imekuwa ni kero sana.