frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,341
institution tajwa hapo juu, zimemtumia sana mzee huyu kuzalisha mamilioni ya shilling kwa matangazo yake mazuri ya kuamasisha watu kutumia azam product na posta kiujumla.
Sasa hivi, anaumwa kweli na pesa ya matibabu kwake ni shida sanaaaaa
pls wakurungezi msaidieni huyu mzee kwani kawatengenezea mipesa kibao
Sasa hivi, anaumwa kweli na pesa ya matibabu kwake ni shida sanaaaaa
pls wakurungezi msaidieni huyu mzee kwani kawatengenezea mipesa kibao