Bunge linapitisha bajeti ya mwaka huu kwa kuwakejeli wabunge wa chadema ambao hawapo bungeni,
kila linapoitwa jina la mbunge wa upinzani jibu linatoka MAANDAMANO, wakimaanisha CHADEMA KAZI YAO NI MAANDAMANO, nawakilisha.
Hiki chama sasa kimekuwa ni kero sana,. Ila hakuna namna ccm haipendeki tena,
Sisi wananchi ndo tunatambua kazi wanayofanya CHADEMA, subirini tuwakabidhi nchi 2015
Bunge linapitisha bajeti ya mwaka huu kwa kuwakejeli wabunge wa chadema ambao hawapo bungeni,
kila linapoitwa jina la mbunge wa upinzani jibu linatoka MAANDAMANO, wakimaanisha CHADEMA KAZI YAO NI MAANDAMANO, nawakilisha.
mimi nilitegemea atakapoitwa mbunge wa ccm kama hayupo wangesema fisadi,bunge lijalo tutawaita ufisadi alafu tuone kama spika atakaa kimwa kama alivyofanya. huyu spika kila walipokuwa wanasema maandamano alikuwa anacheka kama katekenywaBunge linapitisha bajeti ya mwaka huu kwa kuwakejeli wabunge wa chadema ambao hawapo bungeni,
kila linapoitwa jina la mbunge wa upinzani jibu linatoka MAANDAMANO, wakimaanisha CHADEMA KAZI YAO NI MAANDAMANO, nawakilisha.
Kweli,ni sababu ipi kuu iliyowafanya wasiwemo? Wanawakilisha wananchi au matumbo yao na chama chao? Hiki chama siyo kabisa ni majanga tupu
Bunge linapitisha bajeti ya mwaka huu kwa kuwakejeli wabunge wa CHADEMA ambao hawapo bungeni,
kila linapoitwa jina la mbunge wa upinzani jibu linatoka MAANDAMANO, wakimaanisha CHADEMA KAZI YAO NI MAANDAMANO, nawakilisha.