Kuna kitochi hapa mzee njoo ukamatieNiuzie smart phone yenye viwango vinavyoendana na thamani ya 60000
NB usiniambie habari za kwenda dukani
weka pichaHela ya kuifuata gharama niza nani?
weka picha mkuu065418912 nina Samsung A21s kwa bei iyo
soma upya tangazo
nitumie picha niithaminisheLabda itel.
bajeti ni 60000Itel T20! Jipatie Simu mpya ya 4G na yenye kioo kipana kwa shilingi 85,000Tsh tu. Nunua leo simu ya Itel T20 kutoka Tigo upate GB 30 za Intanet BURE Mwaka mzima
kumbe kweli Mkuu Tigo wametoa Smartphone ya 4GB itelItel T20! Jipatie Simu mpya ya 4G na yenye kioo kipana kwa shilingi 85,000Tsh tu. Nunua leo simu ya Itel T20 kutoka Tigo upate GB 30 za Intanet BURE Mwaka mzima
basi pata smartphone ya Tecno Y3 au Y2bajeti ni 60000
Yes mzee Baba maisha rahisi unapigwa na bando la mwaka mzimakumbe kweli Mkuu Tigo wametoa Smartphone ya 4GB itel
Kajeba
View attachment 1762793
mleta mada ongezea hapo 25,000
Pambana upate hiyo hata kwa kukopa hutajuta unapata kitu kipya kabisa hakina magumashi na bando la mwaka mzima la net, kwa budget yako huta pata simu utapata takataka utajikuta kila siku kwa fundi matokeo yake gharama itakuwa kuu kuliko uliyonunuabajeti ni 60000
hii naipata tigo shop au wapiYes mzee Baba maisha rahisi unapigwa na bando la mwaka mzima