Bajeti ya wizara ya viwanda na biashara

Bajeti ya wizara ya viwanda na biashara

Undule Lumuli

Member
Joined
Mar 24, 2025
Posts
6
Reaction score
5
Habari wana Jamvi

Leo nilipata wasaa wa kusikiliza Hoja ya Mh Selemani Jafo(Mb) Waziri wa Viwanda na Biashara ambapo Bunge limeidhinisha maombi ya shilingi Bilioni 135 kwa mwaka wa Fedha 2025/2026

Lakini kuna jambo limenishangaza sana
Kwanza Mh alikuwa anachapia karibu Hotuba nzima yaani anaongea haraka mpaka huelewi hapa alikuwa anamaanisha nini

Kubwa zaidi ni Bajeti ya Wizara imejadiliwa for Only Three hours yaani Three hours Naibu Spika akafunga mjadala hoja ikaungwa mkono

Wizara nyeti kama hii Saa nne mpaka saa saba imekwisha... Seriously? Hivyo sasa Wabunge wanavyochangia ndio huelewi kabisa....hii nchi Wonders shall never end wallah....aliyeturoga alikufa
Screenshot_20250514-212018_1.jpg
 
Habari wana Jamvi

Leo nilipata wasaa wa kusikiliza Hoja ya Mh Selemani Jafo(Mb) Waziri wa Viwanda na Biashara ambapo Bunge limeidhinisha maombi ya shilingi Bilioni 135 kwa mwaka wa Fedha 2025/2026

Lakini kuna jambo limenishangaza sana
Kwanza Mh alikuwa anachapia karibu Hotuba nzima yaani anaongea haraka mpaka huelewi hapa alikuwa anamaanisha nini

Kubwa zaidi ni Bajeti ya Wizara imejadiliwa for Only Three hours yaani Three hours Naibu Spika akafunga mjadala hoja ikaungwa mkono

Wizara nyeti kama hii Saa nne mpaka saa saba imekwisha... Seriously? Hivyo sasa Wabunge wanavyochangia ndio huelewi kabisa....hii nchi Wonders shall never end wallah....aliyeturoga alikufaView attachment 3333981
Kwani kuna bunge hapo jamani?
 
Inasikitisha sana serikali ya Rais Samia kuidogosha hii wizara na kuacha kuhamasisha viwanda
 
Back
Top Bottom