Bajeti ya Wizara ulinzi ya Marekani kwa mwaka huu in dola bilioni 700, China dola bilioni 173 na Urusi dola bilioni 178

Erick Makungu

Member
Jan 14, 2018
87
121
Bajeti ya Wizara ulinzi ya Marekani ambayo imeombwa na rais Donald Trump kwa mwaka huu in dola bilioni 700,China dola bilioni 173,Urusi dola bilioni 178,juzi juzi Urusi kupitia Raid wake Viradimir Puttin amejigamba kuwa jeshi la nchi take kwa sasa bora kupita Nchi yoyote duniani baada ya kuzindua kombora la masafa marefu huku akijinasibu kuwa ni kombora la kisasa ambalo linaweza kupiga popote pale duniani,ukichukua bajeti ya China na Urusi ukachanganya pamoja hata Nusu kwa Marekani haifiki,sijajua hapo imekaaje kwa Urusi anayejinasibu kuwa na Jeshi bora wakti hata Nusu ya bajeti kwa Marekani haifiki,naomba kueleweshwa ndugu zangu kwenye hili,naimani humu kuna watu wana upeo na ujuzi kwenye maswala haya ya kijeshi
 
Viwanda vya silaha na ndege vita vinamilikiwa na serilali (Urusi) kinyume na US ambae viwanda vyote vinamilkiwa na mabepari eg Lockheed Martin hivyo ni laxima kwa US gharama itakuwa juu mfano mwingine ni kuwa Russia hanunui kifaa au kipuli kutka sehem yoyte duniani kwan anaunda mwenyewe nyumban tofauti na US ambae amekuwa akinunua rockef engines kutoka urusi kwa rocket za masàfa marefu na hii iliwahi kuleta majibizano makali kwenye baraza la seneti kwamba US gvt should stop pumping millions of US dollars to russia for rocket eñgine deals but the problem was they were of high quality with reasonable price ( ikumbukwe kuwa urusi ndiye mzalishaji wa engine bora za rocket duniani) ingia Google " rocket engine test"
 
Bajeti ya Wizara ulinzi ya Marekani ambayo imeombwa na rais Donald Trump kwa mwaka huu in dola bilioni 700,China dola bilioni 173,Urusi dola bilioni 178,juzi juzi Urusi kupitia Raid wake Viradimir Puttin amejigamba kuwa jeshi la nchi take kwa sasa bora kupita Nchi yoyote duniani baada ya kuzindua kombora la masafa marefu huku akijinasibu kuwa ni kombora la kisasa ambalo linaweza kupiga popote pale duniani,ukichukua bajeti ya China na Urusi ukachanganya pamoja hata Nusu kwa Marekani haifiki,sijajua hapo imekaaje kwa Urusi anayejinasibu kuwa na Jeshi bora wakti hata Nusu ya bajeti kwa Marekani haifiki,naomba kueleweshwa ndugu zangu kwenye hili,naimani humu kuna watu wana upeo na ujuzi kwenye maswala haya ya kijeshi
If A =173+178 [Billions uds]= 351[Billions uds] and B = 700/2 = 350[Billions uds], then A > B. Hii sentensi yako niliyobold mkuu haiko valid. Anyway, jamaa wanainvest haswa...Ya kwetu ni ngapi vil?
 
Viwanda vya silaha na ndege vita vinamilikiwa na serilali (Urusi) kinyume na US ambae viwanda vyote vinamilkiwa na mabepari eg Lockheed Martin hivyo ni laxima kwa US gharama itakuwa juu mfano mwingine ni kuwa Russia hanunui kifaa au kipuli kutka sehem yoyte duniani kwan anaunda mwenyewe nyumban tofauti na US ambae amekuwa akinunua rockef engines kutoka urusi kwa rocket za masàfa marefu na hii iliwahi kuleta majibizano makali kwenye baraza la seneti kwamba US gvt should stop pumping millions of US dollars to russia for rocket eñgine deals but the problem was they were of high quality with reasonable price ( ikumbukwe kuwa urusi ndiye mzalishaji wa engine bora za rocket duniani) ingia Google " rocket engine test"
Urusi ni zaidi ya Sisi tuijuavyo
 
Bajeti kubwa ya USA inatumika kuhudumia kambi mbalimbali za jeshi lake duniani kote.

Tofauti na Mrusi hana kambi nyingi duniani...

Sasa wewe kama unaona Urusi cha mtoto jiulize kwa nini NATO inamgwaya, USA anamgwaya...

Ni ichi gani nyingine duniani inaweza kuwapangia USA Rais zaidi Urusi.?

Acha kumeza propaganda za kimagharibi.

Umesikia leo Waziri Mkuu wa Uingereza anavyolia na urusi kuhusu yule jasusi na binti yake aliepakwa sumu hatari ya Kirusi.

Huo ndio ukubwa wa Urusi kwamba anaweza kufanya lolote kwenye nchi yoyote na akafanikiwa.

Tofauti na Tanzania Mange tu anawatoa jasho la mfereji.!
 
Bajeti kubwa ya USA inatumika kuhudumia kambi mbalimbali za jeshi lake duniani kote.

Tofauti na Mrusi hana kambi nyingi duniani...

Sasa wewe kama unaona Urusi cha mtoto jiulize kwa nini NATO inamgwaya, USA anamgwaya...

Ni ichi gani nyingine duniani inaweza kuwapangia USA Rais zaidi Urusi.?

Acha kumeza propaganda za kimagharibi.
hii ni moja ya sababu kubwa sana
 
mleta uzi unafurahisha sana unadhani kuwa na kombora bora na kubwa la masafa marefu lakupiga sehemu yyte duniani ni lazima uwe na bajeti kubwa,kitu ambacho si kweli kwenye uchumi kuna theories za absolute and comparative advantage kwa kutumia theories hizi unaweza ukafanya makubwa kwa kutumia bajeti ndogo.
mfano,kama Urusi wana wanasayansi wazuri sana kuliko wa USA katika kuunda silaha hizo maana yake ni kuwa kuanzia kwenye R&D hadi kwenye uundaji wa silaha watatumia resources kidogo kuliko USA
 
Bajeti ya Wizara ulinzi ya Marekani ambayo imeombwa na rais Donald Trump kwa mwaka huu in dola bilioni 700,China dola bilioni 173,Urusi dola bilioni 178,juzi juzi Urusi kupitia Raid wake Viradimir Puttin amejigamba kuwa jeshi la nchi take kwa sasa bora kupita Nchi yoyote duniani baada ya kuzindua kombora la masafa marefu huku akijinasibu kuwa ni kombora la kisasa ambalo linaweza kupiga popote pale duniani,ukichukua bajeti ya China na Urusi ukachanganya pamoja hata Nusu kwa Marekani haifiki,sijajua hapo imekaaje kwa Urusi anayejinasibu kuwa na Jeshi bora wakti hata Nusu ya bajeti kwa Marekani haifiki,naomba kueleweshwa ndugu zangu kwenye hili,naimani humu kuna watu wana upeo na ujuzi kwenye maswala haya ya kijeshi
Marekani anazalisha vitu kwa bei ghali sana.
Mfano mhindi anatengeneza na kufanya safari za anga ya juu kwa bei ya chini sana kuliko Mmarekani.
Kuna kipindi mhindi alirusha chombo kuelekea Mars ambacho cost yake haikufika hata 10,000,000$ wakati huo huo USA alikuwa karusha chake ambacho Cost ilikuwa ni more than 300,000,000$.
Inawezekana kutengeneza vitu labour charge marekani ni ghali sana japo hakuna ubishi kuwa USA wako vizuri sana ila hata kwa hiyo budget ndogo ya mrusi bado na yeye ana vifaa vizuri
 
Bajeti ya Wizara ulinzi ya Marekani ambayo imeombwa na rais Donald Trump kwa mwaka huu in dola bilioni 700,China dola bilioni 173,Urusi dola bilioni 178,juzi juzi Urusi kupitia Raid wake Viradimir Puttin amejigamba kuwa jeshi la nchi take kwa sasa bora kupita Nchi yoyote duniani baada ya kuzindua kombora la masafa marefu huku akijinasibu kuwa ni kombora la kisasa ambalo linaweza kupiga popote pale duniani,ukichukua bajeti ya China na Urusi ukachanganya pamoja hata Nusu kwa Marekani haifiki,sijajua hapo imekaaje kwa Urusi anayejinasibu kuwa na Jeshi bora wakti hata Nusu ya bajeti kwa Marekani haifiki,naomba kueleweshwa ndugu zangu kwenye hili,naimani humu kuna watu wana upeo na ujuzi kwenye maswala haya ya kijeshi
Mifumo ya kijamaa huwa bajeti za ulinzi ni siri unchonyeshwa sio kinacho fanyika chukulia wizara yako ya tz hata kifaru huwezi nunua laki angaria vitu
 
Bajeti ya Wizara ulinzi ya Marekani ambayo imeombwa na rais Donald Trump kwa mwaka huu in dola bilioni 700,China dola bilioni 173,Urusi dola bilioni 178,juzi juzi Urusi kupitia Raid wake Viradimir Puttin amejigamba kuwa jeshi la nchi take kwa sasa bora kupita Nchi yoyote duniani baada ya kuzindua kombora la masafa marefu huku akijinasibu kuwa ni kombora la kisasa ambalo linaweza kupiga popote pale duniani,ukichukua bajeti ya China na Urusi ukachanganya pamoja hata Nusu kwa Marekani haifiki,sijajua hapo imekaaje kwa Urusi anayejinasibu kuwa na Jeshi bora wakti hata Nusu ya bajeti kwa Marekani haifiki,naomba kueleweshwa ndugu zangu kwenye hili,naimani humu kuna watu wana upeo na ujuzi kwenye maswala haya ya kijeshi
USA ana military bases nyingi kwenye nchi tofauti so hapo lazima bajeti yake iwe juu
 
Bajeti ya Wizara ulinzi ya Marekani ambayo imeombwa na rais Donald Trump kwa mwaka huu in dola bilioni 700,China dola bilioni 173,Urusi dola bilioni 178,juzi juzi Urusi kupitia Raid wake Viradimir Puttin amejigamba kuwa jeshi la nchi take kwa sasa bora kupita Nchi yoyote duniani baada ya kuzindua kombora la masafa marefu huku akijinasibu kuwa ni kombora la kisasa ambalo linaweza kupiga popote pale duniani,ukichukua bajeti ya China na Urusi ukachanganya pamoja hata Nusu kwa Marekani haifiki,sijajua hapo imekaaje kwa Urusi anayejinasibu kuwa na Jeshi bora wakti hata Nusu ya bajeti kwa Marekani haifiki,naomba kueleweshwa ndugu zangu kwenye hili,naimani humu kuna watu wana upeo na ujuzi kwenye maswala haya ya kijeshi

Huwezi kuelewa kwa sababu umechagua upande kabla ya kupewa facts! Ambazo zinawezakuwa unazoamini ama tofauti! Jifunze kujielimisha
 
Bajeti kubwa ya USA inatumika kuhudumia kambi mbalimbali za jeshi lake duniani kote.

Tofauti na Mrusi hana kambi nyingi duniani...

Sasa wewe kama unaona Urusi cha mtoto jiulize kwa nini NATO inamgwaya, USA anamgwaya...

Ni ichi gani nyingine duniani inaweza kuwapangia USA Rais zaidi Urusi.?

Acha kumeza propaganda za kimagharibi.

Umesikia leo Waziri Mkuu wa Uingereza anavyolia na urusi kuhusu yule jasusi na binti yake aliepakwa sumu hatari ya Kirusi.

Huo ndio ukubwa wa Urusi kwamba anaweza kufanya lolote kwenye nchi yoyote na akafanikiwa.

Tofauti na Tanzania Mange tu anawatoa jasho la mfereji.!
Mkuu Urusi aendelee kutumia kodi nyingi kwenye silaha huku wananchi wake maisha yao ni yakawaida sana.

Unajua kwamba, Jimbo la California GDP yake inazidi Urusi mara mbili?

Achana na Marekani kaka, Urusi aendelee kuwaza vita tu huku wanaNchi ni chokambaya ukifananisha na Nchi za bara lake
 
Back
Top Bottom