BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,355
- 8,042
Menejimenti ya Utumishi wa Umma Tsh. Bil. 57.13 Matumizi ya Kawaida, Maendeleo Tsh. Bil. 12.187, Sekretarieti ya Ajira Matumizi ya Kawaida Tsh. Bil. 10.13 na Maendeleo Tsh. Bil. 2.5, Utumishi wa Umma Matumizi ya Kawaida Tsh. Bil. 8.3 na Maendeleo Tsh. Mil. 300 na Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Maumizi ya Kawaida Tsh. Bil. 3.8 na Maendeleo Tsh. Mil. 450
Vipi Mdau, una maoni gani kuhusu mgawanyo wa Bajeti hii?
BUNGE TANZANIA