Bajeti ya serikali 2017/2018 kuwa Trillion 31.6

Bajeti ya serikali 2017/2018 kuwa Trillion 31.6

Wewe ndiye unayetakiwa kujiongeza.

Unajua mwaka wa fedha wa serikali unaisha lini na unaanza lini
[/QUO]

jibu zuri sana, kwani jambo kama hulijui ni va kuuliza ili ufafanuliwe na wajuvi wa mambo kama mkuu R Mbuna ulivyogusia
 
Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inatarajia kuwa na bajeti ya shilingi trillion 31.6 katika mwaka Mpya wa bajeti 2017/2018.

Ambapo fedha za maendeleo zimeongezeka kutoka trillion 11.8 mwaka 2016/2017 mpaka kufikia shilingi trillion 11.9 kwa mwaka huu Mpya wa bajeti 2017/2018 ambapo ni sawa na wastani wa 38% ya bajeti yote tarajiwa.

Nini maoni yako kwa bajeti hii inyotarajiwa ukilinganisha na bajeti iliyopita .

Je maeneo yapi yanajitaji kutiliwa mkazo katika bajeti hii Mpya.
Serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania inatarajia kuwa na bajeti ya shilingi trillion 31.6 katika mwaka Mpya wa bajeti 2017/2018.

Ambapo fedha za maendeleo zimeongezeka kutoka trillion 11.8 mwaka 2016/2017 mpaka kufikia shilingi trillion 11.9 kwa mwaka huu Mpya wa bajeti 2017/2018 ambapo ni sawa na wastani wa 38% ya bajeti yote tarajiwa.

Nini maoni yako kwa bajeti hii inyotarajiwa ukilinganisha na bajeti iliyopita .

Je maeneo yapi yanajitaji kutiliwa mkazo katika bajeti hii Mpya.
Hakuna kitu hapo!unaongeza budget halafu chanzo cha mapato ni kuomba omba huku unajisifu nchi tajiri!Kwa jinsi anavyonunua ndege kama pipi tutegemee maumivu hata kama budget ingekua 50trillion
 
Ngoja tuone tusibeze kila kitu waziri ataeleza vyazo vya mapato na atatueleza kwanini ya mwaka unaoisha haitekelezeki
 
Hivi haya mambo mbona ni magumu hivi!
juzi tu nilikua nasikia bajeti ya mwaka huu haijatekelezwa ipasavyo, mara miradi ya maendeleo haijatekelezwa!

Maajabu zaidi naona muda huu hao hao wabunge wanasifia hiz trilion 31!

Sasa kama tumeshindwa zile ishirini na ngapi za mwaka huu unaoishia hizo 31 je?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Imeongezeka vipi wakati ajira tumenyimwa...dah sijui lkn mana sina utaalam sekta hyo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom