Tang Zhou
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,206
- 2,587
Nilikuwa najiuliza zile nchi zinazoitwa donor countries na kiongozi wetu uchumi wake unafananaje - ndipo nikaamua ku-google Federal Budget ya dona kantre ambaye sote tunamjua - Marekani..
And man ohh man - hawa jamaa are filthy rich - if at all rich is the right word to describe them...federal bajeti yao kwa mwaka ni USD 4 trillion....
Sasa ndo nikajiuliza....Rais wetu huwa anawaza nini anaposema nchi hii yaweza kuingia kwenye Club ya dona kantrez kama Marekani katika miaka 10 ya Urais wake??? Au pale anapojitutumua kuwatunishia misuli? Kwa tukorosho hizi kweli?
NA tusisahau Korosho tayari zinatudodea pamoja na kupeleka Jeshi😅😅
And man ohh man - hawa jamaa are filthy rich - if at all rich is the right word to describe them...federal bajeti yao kwa mwaka ni USD 4 trillion....
Sasa ndo nikajiuliza....Rais wetu huwa anawaza nini anaposema nchi hii yaweza kuingia kwenye Club ya dona kantrez kama Marekani katika miaka 10 ya Urais wake??? Au pale anapojitutumua kuwatunishia misuli? Kwa tukorosho hizi kweli?
NA tusisahau Korosho tayari zinatudodea pamoja na kupeleka Jeshi😅😅