Bajeti ya mafuta ya taa kwa mwezi.

Dingswayo

JF-Expert Member
May 26, 2009
4,019
2,923
Natumaini hamjambo wote. Kwa wale wanautumia mafuta ya taa, aidha kwa kuwasha taa au kwa kupikia (jiko), ningependa kujua wanatumia shilingi ngapi kwa mwezi kwa manunuzi ya mafuta hayo? Natanguliza shukrani.
 
Natumaini hamjambo wote. Kwa wale wanautumia mafuta ya taa, aidha kwa kuwasha taa au kwa kupikia (jiko), ningependa kujua wanatumia shilingi ngapi kwa mwezi kwa manunuzi ya mafuta hayo? Natanguliza shukrani.

kiukweli bajet ya mafuta ya taa haiko fixed huwa inabadilika kulingana na ukubwa wa familia yako. Hapa ntajaribu kuianisha kwa mujibu wa matumizi yangu! Binafi kwa kupikia najikuta natumia mafuta ya 300/= hadi 500/= so ntachukua wastan wake hapo ambayo ni 400/= kwa siku, hivyo basi kwa mwezi garama ya kupikia tu itakuwa ni 12,000/= Na kwa suala la kuwashia taa kwa siku garama yake ni wastan wa 300/= hivyo kwa mwezi huwa ni 9,000/=. Kwahiyo jumla ya garama zote ktk kupikia na kuwashia taa ni 21,000/=
 
Hapo mi mgeni kijijini kwetu tunatumia kuni mafuta ya taa jioni tu kwenye vibatari
 
Hapo mi mgeni kijijini kwetu tunatumia kuni mafuta ya taa jioni tu kwenye kibatari....
 
Natumia lita 10 kwa mwezi, lita moja bei yake ni 1300. Kwa hiyo natumia 13,000/- kwaz mafuta ya taa.
 
Back
Top Bottom