........Full stop.Yote haya yanasababishwa na kuwa na Rais DHAIFU na Serikali DHAIFU
hii sawa kabisa.Unapokuwa na viongozi wenye uwezo mdogo wa kufikiri matokeo yake ndo haya kila mwaka the same silly Badget
Hivi Tanzania haiwezi KABISA kuandaa bajeti na kuendesha nchi bila kutegemea VILEVI (POMBE) na SIGARA????? NI AIBU SANA MAANA TUNA MALIASILI NYINGI SANA ZINAZOTOSHA KUENDESHA NCHI BILA YA KUHITAJI VILEVI. Kazi tunayojua ni kuuza wanyama/madini kwa kutegemea mrahaba wa 3% na ufisadi tu.
Ni aibu
Unapokuwa na viongozi wenye uwezo mdogo wa kufikiri matokeo yake ndo haya kila mwaka the same silly Badget
Usishangae, hapo ndiyo uwezo wetu wa kufikiri ulipoishia,
tukiongozwa na wachumi waliobobea kama Mwigulu Nchemba..