nahavache
JF-Expert Member
- Apr 3, 2009
- 871
- 246
Mwaka jana kipinidi cha bunge la bajeti, tulitajiwa na waziri wa fedha bajeti ya mawaziri matirilioni mengi. Mimi nilijiuliza kuwa fedha hizi zinatoka wapi? Mpaka wizara za nishati na madini na usafirishaji zikirudishwa ili ziongeze bajaeti. Leo nasikia serekali ilipitisha panga kwenye bajeti za wizara nyingi. Nimemsikia waziri mmoja akisema kuwa, panga kali limepita mawizarani. Bajeti imekuwa ni kama mzuka.