Bajeti Mbadala: Deni la Taifa limevunja rekodi, linatishia uchumi na usalama wa nchi!

Binafsi sio mtaalamu wa uchumi lakini suala la serikali kufilisika linaonekana wazi.
Hapa serikali kutokea vyanzo vyake vyote pamoja na kuwakaumua wavuta sigara na walevi ina uwezo wa kukusanya kama trillion 10, wakati huo huo inadaiwa kama trillioni 40 (probably kufikia mwishoni mwa mwaka). Kama tunavyojua mpaka kamati ya bajeti kufikia sehemu na kusema kuwa "serikali haina ubunifu na haishauriki" kigezo kwamba uwezekano wa kuongeza mapato ni kidogo lakini deni na interest yake vinaongezeka!
Je, hata mtu asiyejua uchumi au mwanafunzi wa darasa la nne haoni kuwa huku ni kufilisika!? ...hivi si wanasema rais alisoma uchumi UDSM!?
Bajeti hamjaisikiliza wala hamjaisoma imeshasemwa mara nyingi kuwa deni la taifa linahimilika na kwamba kuongezeka kwa deni siyo kwa sababu ya kushindwa kulipa bali ni kwa sababu ya miradi muhimu iliyoingia Serikali hivi karibu kama vile:-Miradi ya maji, umeme, gesi, mabasi yaendayo haraka, Afya km. Mlongazila, kituo cha tiba ya moyo, mbarabara, madaraja makubwa nk. Na miradi mingine muhimu mfano wa hiyo nyie mmekaa kama makasuku kuimba deni la taifa! Deni la taifa! Deni la taifa! Kama vile hizo huduma haziwahusu? Ama kweli "mtaji wa mjinga ni majungu.
 
Una uwezo mdogo sana sitaki kubishana na kilaza kama wewe halafu kuna uhusiano gani kati ya deni la taifa na hiyo mikopo ambayo hata haifiki nusu trilioni.
Bus halidandiwi kwa mbele utaumia kijana! kwenye hiyo haikuhusu deni la taifa bali ilitakiwa kujua Serikali inahusikaje na ongezeko kubwa la vyuo ilhali siyo mmiliki? majibu nikasema ongezeko limetokana na serikali kuwapa mikopo wanafunzi wanaosoma vyuo binafsi. Nafikiri hapo nitakua nimesaidi kukufikirisha maana wenye uwezo mdongo wa kufikiri kama wewe inabidi nikulishe maarifa ya kufikiri kwa namna hii.
 
Hali hii inatishia usalama wa nchi. Mwaka mmoja tu deni la Taifa limeongezeka kwa shilingi Trillioni 7!!!!! na wakati wa kipindi hicho ndio Wizara nyingi kwenye bajeti zilipewa pesa kidogo (kati ya 17% to 71% ya pesa walizoomba)

~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*

2. Mheshimiwa Spika, hili ongezeko la mikopo ya Ikumbukwe kuwa mwaka 2008/9 ni miaka mitano tu iliyopita. Ukopaji wa namna hii unatishia uchumi na usalama wa nchi.
takribani shilingi trilioni 7 kwa mwaka mmoja tu, halijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu.
Ongezeko hili la takribani trilioni 7 ni sawa na bajeti nzima (full budget) ya mwaka 2008/9 ambayo ilikuwa ni shilingi trilioni 6.839.

3.
Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa ripoti za Benki Kuu na hotuba za bajeti za miaka iliyopita za Mawaziri wa Fedha, deni la Taifa limeongezeka kwa kasi kutoka shilingi trilioni 9.3 mwaka 2007/8 hadi shilingi trilioni 30.6 mwaka 2013/14. Hii ni wazi kuwa deni liliongezeka kwa kiasi cha shilingi trilioni 21.3. Serikali imelipa shilingi trilioni 4 na kufanya fedha zilizokopwa kuwa jumla ya shilingi trilioni 25.3 katika kipindi hicho cha miaka saba tu. Huu ni ukopaji hatarishi kwa uchumi wa taifa letu.
 
Hali hii inatishia usalama wa nchi. Mwaka mmoja tu deni la Taifa limeongezeka kwa shilingi Trillioni 7!!!!! na wakati wa kipindi hicho ndio Wizara nyingi kwenye bajeti zilipewa pesa kidogo (kati ya 17% to 71% ya pesa walizoomba)

~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*

2. Mheshimiwa Spika, hili ongezeko la mikopo ya Ikumbukwe kuwa mwaka 2008/9 ni miaka mitano tu iliyopita. Ukopaji wa namna hii unatishia uchumi na usalama wa nchi.
takribani shilingi trilioni 7 kwa mwaka mmoja tu, halijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu.
Ongezeko hili la takribani trilioni 7 ni sawa na bajeti nzima (full budget) ya mwaka 2008/9 ambayo ilikuwa ni shilingi trilioni 6.839.

3.
Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa ripoti za Benki Kuu na hotuba za bajeti za miaka iliyopita za Mawaziri wa Fedha, deni la Taifa limeongezeka kwa kasi kutoka shilingi trilioni 9.3 mwaka 2007/8 hadi shilingi trilioni 30.6 mwaka 2013/14. Hii ni wazi kuwa deni liliongezeka kwa kiasi cha shilingi trilioni 21.3. Serikali imelipa shilingi trilioni 4 na kufanya fedha zilizokopwa kuwa jumla ya shilingi trilioni 25.3 katika kipindi hicho cha miaka saba tu. Huu ni ukopaji hatarishi kwa uchumi wa taifa letu.
Deni la taifa linahimilika na kwamba kuongezeka kwa deni siyo kwa sababu ya kushindwa kulipa bali ni kwa sababu ya miradi muhimu iliyoingia Serikali hivi karibuni.
 
Unadandadanda tu kwa kubadilisha ID mara Josam, lynxeeffect22, pachanya, patriot unakimbia kivuli chako? simama na ID moja ulete proof hapa by evidence siyo wikipedia haifai kuwa evidence. Nimekwambia wikipedia siyo direct vidence, wala documentary evidence, wala siyo primary evidence wala secondary evidence na siyo relevancy of facts hivyo burden of proof bado iko juu yako kutoka reliable source na ukishindwa inabidi ukubaliane na za kwangu tu hakuna jinsi kwa vile sheria ya ushahidi inasema "The responsibility for proving about charge or allegation, usually the one who makes a claim or accusation bears the burden of proof'"

hahahaah... Hivi unadhani anaye ona data zako hazina mashiko ni mimi pekee? Kumbe nyie ndiyo mkibanwa mnabadili ID zenu, ni kwa vile sina namna ya kulishawishi jukwaa hili kuwa hao waliotoa michango yao ni watu wengine tofauti kabisa nami lakini JM si kama pale mlipo wengi kwa kuitikia na kupigiana makofi ya kupongezana kupumbaza Watanzania. POle, hapa kuna watu tofauti na uelewa tofauti. Wapo wengine wenye uwezo wa kufikia taarifa sahihi pia. Jibu hoja siyo kukimbia na kuleta utetezi usikidhi viwango. Hapa watu wanahoji, toa majibu usitegemee kupongezwa kwa vitu vya hovyo Jukwaa hili siyo kama wale wazee mliozoea kuwaita na kuwahutubia (kuwadanganya na kuwapia makofi) hapa ni big NOOOOOOO! Leta evidence!
 
Unadandadanda tu kwa kubadilisha ID mara Josam, lynxeeffect22, pachanya, patriot unakimbia kivuli chako? simama na ID moja ulete proof hapa by evidence siyo wikipedia haifai kuwa evidence. Nimekwambia wikipedia siyo direct vidence, wala documentary evidence, wala siyo primary evidence wala secondary evidence na siyo relevancy of facts hivyo burden of proof bado iko juu yako kutoka reliable source na ukishindwa inabidi ukubaliane na za kwangu tu hakuna jinsi kwa vile sheria ya ushahidi inasema "The responsibility for proving about charge or allegation, usually the one who makes a claim or accusation bears the burden of proof'"

hahahaah... Hivi unadhani anaye ona data zako hazina mashiko ni mimi pekee? Kumbe nyie ndiyo mkibanwa mnabadili ID zenu, ni kwa vile sina namna ya kulishawishi jukwaa hili kuwa hao waliotoa michango yao ni watu wengine tofauti kabisa nami lakini JF si kama pale mlipo wengi kwa kuitikia na kupigiana makofi ya kupongezana kupumbaza Watanzania. POle, hapa kuna watu tofauti na uelewa tofauti. Wapo wengine wenye uwezo wa kufikia taarifa sahihi pia. Jibu hoja siyo kukimbia na kuleta utetezi usikidhi viwango. Hapa watu wanahoji, toa majibu usitegemee kupongezwa kwa vitu vya hovyo Jukwaa hili siyo kama wale wazee mliozoea kuwaita na kuwahutubia (kuwadanganya na kuwapia makofi) hapa ni big NOOOOOOO! Leta evidence!
 
kama nakumbuka vema mkapa alipiga ana kampeni nchi za nje ili tz isamehewe madeni,alikuwa na maana gani ikiwa hawa wenzake wanairudisha nchi kulekule?miradi ya maendeleo ni muhimu lakin kukopa kiasi madeni yako ni mara tatu ya makusanyo hiyo si balaa?
 
Hotuba ya Kambi ya Upinzani Bungeni, kuhusu Bajeti Mbadala mwaka 2014/2015 kama ilivyosomwa bungeni na Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia Msemaji wa Mkuu Wizara ya Fedha.
Mheshimiwa Spika, hili ongezeko la mikopo ya takribani shilingi trilioni 7 kwa mwaka mmoja tu, halijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu. Ongezeko hili la takribani trilioni 7 ni sawa na bajeti nzima (full budget) ya mwaka 2008/9 ambayo ilikuwa ni shilingi trilioni 6.839. Ikumbukwe kuwa mwaka 2008/9 ni miaka mitano tu iliyopita. Ukopaji wa namna hii unatishia uchumi na usalama wa nchi.

Mtu yoyote anayeisifia bajeti hii lazima kichwa chake kiwe na matatizo,na hapo bado hatujaingia "vitani" na Malawi na Rwanda,hivi tukiingia vitani itakuwaje? sasa ndo naelewa kwa nini Mkulu na wasaidizi wake wanaufyata kila siku kuomba tumalize "mezani" (Nakumbuka kuna mtu alishawahi kuuliza humu Jamvini kati ya Mkulu na Rais aliyepita wa Malawi kuwa nani mwanamke?) wanajua kuwa hatuna akiba yoyote si ya fedha za kigeni wala gold reserve "by Zitto Kabwe" So hatuwezi kupigana na "wanaume." Vita ni spending kubwa ya serikali na serikali yetu ndo inafilisika sasa,Wajeshi wetu wanatadunganya kwa kuvunja matofali pale Taifa! Nani kakwambia siku hizi watu wanapigana kwa kutumia misuli?.Naamini na wakulu wanajua tukiingia vitani ni kipigo tu na ndo maana kila siku kuomba mazungumzo! Ukoo wa Panya umemaliza akiba za kigeni na dhahabu zote na wanakopa kama mataahira.Wengine wanasifia barabara,zipi? Hizo ambazo hata miaka miwili bado mahandaki yake ni makubwa kuliko ya awali? Mkapa alijenga kwa fedha za ndani kutoka mfuko wa barabara ambao bado unaoparate na aliacha akiba kubwa sana! Mkopo ambao ni sawa na bajeti ya Mwaka wa Serikali haingii akilini hata kiduchu wacha kidogo! Tutakukumbuka sana Mr President kwa mabaya yako unayotutendea na naamini uzao wako utakuja kujibu maswala haya.Mungu Ibariki Tanzania
 
magamba wanajitahidi kuficha ukweli ili kuwapaka wananchi mafuta kwa mgongo wa chupa. hao ndio magamba na magamba yao! 2015 lazima kitaeleweka.
 
Nakubali kila kiongozi historia itampa nafasi yake anayostahili lakini Kikwete ana uthubutu kuna maajabu mengi amefanya kulinganisha na viongozi waliomtangulia kama vitambulisho vya taifa, kujenga madaraja makubwa, mabarabara, kituo cha tiba ya moyo, mabasi yaendayo haraka,mikopo ya wanafunzi kwa vyuo binafsi, katiba mpya nk. nimetaja haya machache lakini kuna mengi amefanya.


Kama kuna upofu huu ni upofu kweli kweli,pole.Hivi mnapata nini hasa mnapotetea mambo ya hovyo,mnachumia matumbo eeh?Watu wazima hovyo.
 
Hali hii inatishia usalama wa nchi. Mwaka mmoja tu deni la Taifa limeongezeka kwa shilingi Trillioni 7!!!!! na wakati wa kipindi hicho ndio Wizara nyingi kwenye bajeti zilipewa pesa kidogo (kati ya 17% to 71% ya pesa walizoomba)

~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*

2. Mheshimiwa Spika, hili ongezeko la mikopo ya Ikumbukwe kuwa mwaka 2008/9 ni miaka mitano tu iliyopita. Ukopaji wa namna hii unatishia uchumi na usalama wa nchi.
takribani shilingi trilioni 7 kwa mwaka mmoja tu, halijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu.
Ongezeko hili la takribani trilioni 7 ni sawa na bajeti nzima (full budget) ya mwaka 2008/9 ambayo ilikuwa ni shilingi trilioni 6.839.

3.
Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa ripoti za Benki Kuu na hotuba za bajeti za miaka iliyopita za Mawaziri wa Fedha, deni la Taifa limeongezeka kwa kasi kutoka shilingi trilioni 9.3 mwaka 2007/8 hadi shilingi trilioni 30.6 mwaka 2013/14. Hii ni wazi kuwa deni liliongezeka kwa kiasi cha shilingi trilioni 21.3. Serikali imelipa shilingi trilioni 4 na kufanya fedha zilizokopwa kuwa jumla ya shilingi trilioni 25.3 katika kipindi hicho cha miaka saba tu. Huu ni ukopaji hatarishi kwa uchumi wa taifa letu.


JK anadai bado tunakopesheka, na hilo kwake linatosha kuendelea kukopa mpaka pale tusipokopesheka. Atakapo toka hatutakopesheka kwa vile atakuwa ameuza vitalu vyote vya gesi na madine katika utawala wake. WATANZANIA TUTALIA NA KUSAGA MENO mpaka mwisho wa dunia kwani hatutakuwa na kitu, madini yameuzwa yote, gesi na mafuta yote, hifadhi za taifa tumejangili zote, UNESCO imeanza kuziweka hifadhi zetu kuwa ziko hatarini kutoweka, mashamba ndio hivyo tena kila kitu WAWEKEZAJI., zaidi hatuaminiki dunioni kwa vile kila kitu ufisadi, miradi hewa iwe serikali, NGO hata watanzania binafsi na moja moja Teknolojia inatupita kwa kasi ya ajabu wakati sis tuna shambuliana kwa dini zetu, itikati nk. Hii ndio sisiemu ya kikwete ilipotufikisha, na BADO
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ha ha ha ! kijana lynxeffect unanipotezea muda wangu kwa evidence ya wikipedia? this evidence is not considered to be objective enough and inadmissible kwa vile haiko kwenye aina yoyote ya evidence kama vile:-
- Direct evidence
- Documentary evidence
- Primary evidence
- Secondary evidence
Wala siyo relevancy of facts na hata ukimpelekea mwalimu wako aliyekupa mtihani majibu kwa referaences za wikipedia wala hata haangaiki kwa vile wikipedia poor references ndiyo maana kwa mfano mradi wa umeme wa Nyakato ambao Rais Kikwete aliuzindua hivi karibuni na umeme watu wanatumia lakini hauko kwenye hiyo list yako ya wikipwedia. Pole sana kijana the burden of proof is still lies upon you.

shida unakariri sana

sources za electricity generation nchi yeyote ni public information ...nashindwa kuelewa kwa nini wewe unataka sources za tanzania ziwe siri, somehow tusikie wachache wakituambia hata kama ni uongo...... wikipedia ni one of the sources za public information ila kwa academic references haitumiki kwa sababu unatakiwa utafute zaidi relevant source ya hiyo information ndani ya wikipedia, na kila shule au chuo huwa wanakua na list ya accepted types of references ... naamini hivyo hivyo kwenye maeneo mengine kama sheria, etc

nimeitumia hapo kama public information hata wewe unaweza kuongezea ndani ya wikipedia ila ujue ukidanganya watakuja wengine wataondoa infromation yako

ukiangalia hakuna tofauti ya vyanzo ulivyoweka wewe zaidi ya Tan-Coal na Symbion ndio maana nikaongezea hadi website ya Symbion wenyewe ili kuonyesha ulivyo muongo!

Bado hujatupa ufafanuzi wa references/sources zako wala kwenye hapo nilipoweka rangi nyekundu ... unakwepa hoja tu na kuruka ruka! .... wakati wa ndio ndio mzee, zidumu fikra za waziri zimepita!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kumbuka bado sijaweka hivyo vyanzo vya REA na small power producers. Pia sijaweka miradi ya
-Ruhudji hydropower,

-Kiwira coal power plant,
-Mchuchuma coal power plant,
-Mnazi bay . Ambayo pia imeshaanza kuzalisha kwa kiwango kidogo.
Weka proof yako by evidence hapa siyo kubwabwaja kama kasuku.

installed capacity ni power plant iliyokamilika (tested and commissioned) .... rudi shule au tafuta prof wa electrical engineering akueweshe! .... usituwekee miradi iliyoko kwenye pipeline au upembuzi yakinifu!
 
Basi kama hujui unachotakiwa kujua kaa kando usitupotezee muda.
-Aliacha vyuo vikuu vingapi na sasa viko vingapi?,
-Aliacha watanzania asilimia ngani wanatumia umeme na sasa ni asilimia ngapi wana umeme?
-Amejenga madaraja kubwa moja la Mkapa Kikwete amejenga madaraja makubwa matatu
- Vitambulisho vya Taifa?
-Katiba mpya?
-Mradi wa mabasi yaendayo kwa kasi?
-Hopistali ya tiba ya moyo?
-Hospitali ya kisasa ya tiba ya kichwa?
-Miradi ya majumba ya NHC?

Sasa wewe mbona hueleweki, unamsifia kikwete unamponda Benja,, wakati hawa wote ni kutoka chama kile cha baba yao Kambarage CCM,, failure ya mkapa ni failure ya CCM wewe,, na hapa tunaongelea failure ya CCM,,, MAZURI ALIYOYAFANYA KIKWETI HAYAFUTI MABAYA NA UJINGA WAKE,,, AMEFANYA UJINGA MWINGI KILIKO MEMA,, UJINGA WAKE NDIO UMELICOST TAIFA,,,, uwezi kusema umejenga barabara au vyuo misaada na mikopo,,,
Unajenga nchi kwa kuongeza deni la taifa??
tumekopa tumejenga barabara zisizo na viwango ambazo baada ya miaka mitano zitajengwa upya,,,
Tumejenga vyuo vikuu ambavyo ni majengo, je quality ya wahitimu ikoje?? Wanaweza kupambana kimataifa? Unaweza ukawa na wahitimu 160000 lakini wakawa hawana quality kimataifa na nyumbani hamna ajira...
Tuache kujidanganya na wingi wa takwimu!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
shida unakariri sana

sources za electricity generation nchi yeyote ni public information ...nashindwa kuelewa kwa nini wewe unataka sources za tanzania ziwe siri, somehow tusikie wachache wakituambia hata kama ni uongo...... wikipedia ni one of the sources za public information ila kwa academic references haitumiki kwa sababu unatakiwa utafute zaidi relevant source ya hiyo information ndani ya wikipedia, na kila shule au chuo huwa wanakua na list ya accepted types of references ... naamini hivyo hivyo kwenye maeneo mengine kama sheria, etc

nimeitumia hapo kama public information hata wewe unaweza kuongezea ndani ya wikipedia ila ujue ukidanganya watakuja wengine wataondoa infromation yako

ukiangalia hakuna tofauti ya vyanzo ulivyoweka wewe zaidi ya Tan-Coal na Symbion ndio maana nikaongezea hadi website ya Symbion wenyewe ili kuonyesha ulivyo muongo!

Bado hujatupa ufafanuzi wa references/sources zako wala kwenye hapo nilipoweka rangi nyekundu ... unakwepa hoja tu na kuruka ruka! .... wakati wa ndio ndio mzee, zidumu fikra za waziri zimepita!
Katika hiyo list yako ya wikipedia kama kweli ni reliable source mbona kwenye hiyo list hakuna mradi wa Nyakato? huu ni ushahidi mmoja wapo kuwa hiyo siyo reliable souce na kamwe haiwezi kukubalika kama proof ya evidence. Tafuta reliable source kijana kama tungekuwa mahakamani nakupiga cross- examination nakuweka uchi kabisa.
 
Sasa wewe mbona hueleweki, unamsifia kikwete unamponda Benja,, wakati hawa wote ni kutoka chama kile cha baba yao Kambarage CCM,, failure ya mkapa ni failure ya CCM wewe,, na hapa tunaongelea failure ya CCM,,, MAZURI ALIYOYAFANYA KIKWETI HAYAFUTI MABAYA NA UJINGA WAKE,,, AMEFANYA UJINGA MWINGI KILIKO MEMA,, UJINGA WAKE NDIO UMELICOST TAIFA,,,, uwezi kusema umejenga barabara au vyuo misaada na mikopo,,,
Unajenga nchi kwa kuongeza deni la taifa??
tumekopa tumejenga barabara zisizo na viwango ambazo baada ya miaka mitano zitajengwa upya,,,
Tumejenga vyuo vikuu ambavyo ni majengo, je quality ya wahitimu ikoje?? Wanaweza kupambana kimataifa? Unaweza ukawa na wahitimu 160000 lakini wakawa hawana quality kimataifa na nyumbani hamna ajira...
Tuache kujidanganya na wingi wa takwimu!!!
Waulize matajiri wote wakubwa wa nchi hii kama hawaendelezi makampuni yao kwa kukopa. Ukiangalia nchi ya USA na nchi nyingine zilizoendelea deni lao linazidi hata 100%

 
Hotuba ya Kambi ya Upinzani Bungeni, kuhusu Bajeti Mbadala mwaka 2014/2015 kama ilivyosomwa bungeni na Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia Msemaji wa Mkuu Wizara ya Fedha.
Mheshimiwa Spika, hili ongezeko la mikopo ya takribani shilingi trilioni 7 kwa mwaka mmoja tu, halijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu. Ongezeko hili la takribani trilioni 7 ni sawa na bajeti nzima (full budget) ya mwaka 2008/9 ambayo ilikuwa ni shilingi trilioni 6.839. Ikumbukwe kuwa mwaka 2008/9 ni miaka mitano tu iliyopita. Ukopaji wa namna hii unatishia uchumi na usalama wa nchi.

Mtu yoyote anayeisifia bajeti hii lazima kichwa chake kiwe na matatizo,na hapo bado hatujaingia "vitani" na Malawi na Rwanda,hivi tukiingia vitani itakuwaje? sasa ndo naelewa kwa nini Mkulu na wasaidizi wake wanaufyata kila siku kuomba tumalize "mezani" (Nakumbuka kuna mtu alishawahi kuuliza humu Jamvini kati ya Mkulu na Rais aliyepita wa Malawi kuwa nani mwanamke?) wanajua kuwa hatuna akiba yoyote si ya fedha za kigeni wala gold reserve "by Zitto Kabwe" So hatuwezi kupigana na "wanaume." Vita ni spending kubwa ya serikali na serikali yetu ndo inafilisika sasa,Wajeshi wetu wanatadunganya kwa kuvunja matofali pale Taifa! Nani kakwambia siku hizi watu wanapigana kwa kutumia misuli?.Naamini na wakulu wanajua tukiingia vitani ni kipigo tu na ndo maana kila siku kuomba mazungumzo! Ukoo wa Panya umemaliza akiba za kigeni na dhahabu zote na wanakopa kama mataahira.Wengine wanasifia barabara,zipi? Hizo ambazo hata miaka miwili bado mahandaki yake ni makubwa kuliko ya awali? Mkapa alijenga kwa fedha za ndani kutoka mfuko wa barabara ambao bado unaoparate na aliacha akiba kubwa sana! Mkopo ambao ni sawa na bajeti ya Mwaka wa Serikali haingii akilini hata kiduchu wacha kidogo! Tutakukumbuka sana Mr President kwa mabaya yako unayotutendea na naamini uzao wako utakuja kujibu maswala haya.Mungu Ibariki Tanzania

Hapo kwenye nyekundu hivi ni kweli haya aliyofanya ni mabaya? hata mwendawazimu hawezi hawezi kukubali.
- Aliyejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Aliyejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Aliyeleta vyuo vikuu zaidi ya 44 ? mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Aliyezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Aliyejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Aliyejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Aliyepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Aliyezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Aliyeanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Aliyewaunganishia umeme toka 12% alipochukua madaraka mpaka 24%
- Anayejenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Anayejenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Anayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Aliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini
- Aliyeanzisha hospital ya kisasa ya kinywa
- Aliyesogeza huduma za afya karibu na wananchi
- Aliyejenga miundombinu ya afya
- Aliyeboresha huduma ya maji nchini
- Aliyeongeza ajira nchini
Amethubutu kufanya mambo mazuri ambayo awali hayakuwa kwenye ilani ya chama chake kama vile Katiba mpya, ujenzi wa UDOM na ripoti ya CAG kujadiliwa bungeni
Jamani acheni mzaha si tutachekwa?

 
kama nakumbuka vema mkapa alipiga ana kampeni nchi za nje ili tz isamehewe madeni,alikuwa na maana gani ikiwa hawa wenzake wanairudisha nchi kulekule?miradi ya maendeleo ni muhimu lakin kukopa kiasi madeni yako ni mara tatu ya makusanyo hiyo si balaa?
Kukosa kudaiwa kisha tunakosa huduma muhimu kuna faida gani?

 
Katika hiyo list yako ya wikipedia kama kweli ni reliable source mbona kwenye hiyo list hakuna mradi wa Nyakato? huu ni ushahidi mmoja wapo kuwa hiyo siyo reliable souce na kamwe haiwezi kukubalika kama proof ya evidence. Tafuta reliable source kijana kama tungekuwa mahakamani nakupiga cross- examination nakuweka uchi kabisa.

ha ha ha hata ukiongeza hiyo Nyakato Mwanza bado ni 1297 MW .... wewe references zako za hiyo 1500+ MW ziko wapi? .... acha kukwepe hoja!
 
Bajeti mbadala hakuna kipya zaidi ya kusema kuboresha TRA, kuboresha bandari, kudhibiti misamaha, kuboresha kodi ya majengo, misitu, madini, hakuna jipya ni kelele tu.

mkuuulitaka pesa ipatikane wapi kama sio uko
 
Back
Top Bottom