Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,188
- 95,243
@New York, mimi nilishakudharau tangu majuzi, kwahiyo ulikuwa unajadili kitu ambacho haukifahamu wala haujui hiyo bajeti ni % ngapi pesa za ndani na % ngapi ni msaada wa wafadhili wa nje.
Sikutegemea mtu wewe yule yule kuja tena hapa jamvini na thread kama hii. huu ni uchovu wa mawazo na ni madhara ya elimu za ujanja ujanja za kuunga unga, na ninaona afadhali mara 1000 ya ccm hawa waliopo madarakani kwa sasa waendelee kutunyonya kuliko watu wa aina yako mnaodhani Tanzania ndio nchi ya kuja kufanya majaribio ya uongozi ili mtuibie.
Sikutegemea mtu wewe yule yule kuja tena hapa jamvini na thread kama hii. huu ni uchovu wa mawazo na ni madhara ya elimu za ujanja ujanja za kuunga unga, na ninaona afadhali mara 1000 ya ccm hawa waliopo madarakani kwa sasa waendelee kutunyonya kuliko watu wa aina yako mnaodhani Tanzania ndio nchi ya kuja kufanya majaribio ya uongozi ili mtuibie.