Bajeti 2011: Tanzania tunahitaji kufuta vyama vyote vya siasa tuanze upya!!

Ahahahahahahahahhh!! mwee! Yaani mimi nikupigie simu kwa lipi? Wewe ni mtu ambae tunakutana hapa kwenye forum basi, na kama kuna watu huwa wanakupigia simu ni hao hao magamba wenzako.

For ur information sikutaka kuliweka hili wazi, lakini ningeomba nikueleze wazi, mimi nafanya kazi na watalii, tena watalii wawindaji, ambao wewe hata ukae Marekani milele hutoweza kukaa nao meza moja.

Na for more info, wageni wetu 70% wanakuja na private jet zao wenyewe tena Gulf stream, mimi nikiamuwa kuja kutembea USA nitakuwa ni mgeni wa most of American Rich Families, hii itakuwa ngumu kwangu kuja kuonana na wabeba box kama wewe, maana sitokuwa karibu na immigrant society.

By the way ningekuwa nahitaji ukaribu na wewe labda tungekuwa tayari ni marafiki kwenye facebook.

- Kama ni kweli, basi muulize bwana Hillary hapo Multichoice nani anayemtumia watu kama hao unaowasema kutoka huku? ha! ha! ha! Siku njema sana! usilolijua ni kama usiku wa giza sana1 ha! ha!

W @ NYC, USA.
 
William,

Natumai Mwalimu ni mojawapo wa viongozi waliokuwa na nafasi bora zaidi kuweka mfumo imara wa kodi na kuusimamia. Kutokana na kauli yako kuwa hata mwalimu mwishoni mwa maisha yake alisisitizaa umuhimu wa taifa kukusanya kodi unaweza kuona alikuwa anakirii makosa yake ila kwa kulaumu waluioshindwa.

Nakubaliana na wewe sanaa kwenye kukosekana kwa uwajibikaji na majibu rahisi kwenye maswali magumu. Lakini ndugu haya yote yamelelewa na mfumooo huu uliopo toka uhuru. Inasahangaza kama ulivyokiri tuna wasomi bungeni lakini buree kabisaa..kwa nini????????? elimu yetuu taitizo au wahitimu wetu tatizoo??????

- Tatizo ni utamaduni wetu wa kutofikiri sana na always kutafuta majibu rahisi rahisi!

Willie @ NYC, USA.
 
Jibu la maswali yote ni katiba mpya yenye kukiri matakwa ya watanzania na isiyompa rais loop holes za kufanya apendavyo bali watanzania wapendavyo. Do you think kwa jinsi katiba ya Marekani ilivyo hata wapate rais mwendawazimu ataboronga kama ******?

- Mkuu heshima sana maneno ya katiba ni yale yale majibu rahisi kwa maswali magumu, unasema katiba hiyo mpya itaandikwa na nani? CCM ambao hawakusanyi kodi au Chadema ambao hawamlipii kodi kiongozi wao maaarufu? Unasema hawa wataandika katiba nzuri kwa wananchi na taifa?

- Are you kidding me or what?


Willie @ NYC, USA.
 
- Mkuu heshima sana maneno ya katiba ni yale yale majibu rahisi kwa maswali magumu, unasema katiba hiyo mpya itaandikwa na nani? CCM ambao hawakusanyi kodi au Chadema ambao hawamlipii kodi kiongozi wao maaarufu? Unasema hawa wataandika katiba nzuri kwa wananchi na taifa?

- Are you kidding me or what?


Willie @ NYC, USA.

watoe consultantion kwa wana JF
 
Willie,

I can not agree more na analysis uliyoifanya, Watanzania wengi tunapenda kujadili simple issues basi. Wavivu wa kufanya analysis na kuangalia nini ni nini.

Nimepata bahati ya kukutana na wabunge wengi wa CCM na Upinzani, na inapofika swala la kuuliza kwamba ni vipi tufanye kupunguza tax loopholes na kuongeza ukusanyaji wa kodi wote utawasikia wanasema Tanzania hakuna system kama Western countries. Wanachosahau ni kwamba hata huku west system ilitengenezwa, watu walikaa chini wakaangalia resources walizonazo wakaamua kuzitumia kwa ufanisi.

Leo hii tunategemea kodi kubwa kupitia bandarini, matokeo yake tunaongeza ushuru kila budget then tunajiuliza kwa nini kuna rushwa? Badala ya kurestructure system tukakusanya kodi kwenye almost kila income. Barric wana consolidate financial report zao na Tanzania sababu hatuna competency auditors tunajikuta tunapewa report zenye Net loss.

Wabunge wamekalia kubishana Posho vs. No posho. Badala ya kuangalia mambo ambayo ni critical kwa Taifa la Tanzania.

Hatuwezi kuandika katiba itakayo tuongoza kwenye kila kitu, mambo mengi yanaitaji common sense hapa. Swala la serikali kukusanya Kodi sio swala la CDM wala CCM ni swala la Watanzania wote.

- Sawa sawa mkuu, nimekusoma sana hapo!

Willie @ NYC, USA.
 
Sasa hapo ni kosa la nani?? La Dr. Slaa au la serikali ya CCM???
Serikali ya CCM ndio yenye shida. Ina weak institutions na enforcement katika ukusanyaji wa kodi!!
Kuna wadau wametoa mawazo mengi kama haya...ambapo wanaona hakuna significant connection kati ya vyama vyingine vya siasa na ukusanyaji mdogo wa kodi!!!


- Duh!

Willie @ NYC, USA.
 
Malecela mi sijakusoma kabisa mkuu wangu, unazungumzia matatizo katika ukusanyaji wa mapato ya serikali (hasa kodi) au unalalamikia malalamiko ya wananchi kuhusu "posho ya makalio" wanayolipwa wabunge wetu? Sioni uhusiano wa Heading yako na content! Majibu yako rahisi kwa swali gumu ni kufuta Vyama vya SIASA?
Nionavyo mimi, pamoja na serikali kupoteza pesa nyingi kutokana na uzembe au wizi wa Viongozi flani, bado hata yale mapato tupatayo hayapangiwi matumizi kwa kufuata vipaumbele; sasa hivi vikao vimeongezeka katika kila idara (Posho za Makalio). Tunatumia pesa nyingi mno katika "michakato", na AMA kweli tunapoteza pesa nyingi mno katika mishahara ya VIGOGO isiyokatwa kodi na kukuta "waalimu" ndy wachangiaji pekee wa kodi!

Nyie vijana mliosoma msikimbilie NEW YORK na kubaki kulalama tu, RUDINI NYUMBANI MJENGE NCHI tuwaone, huenda "mkatukomboa" kama wakina "Makamba Jr".

- Taifa tunawalipa CCM na Chadema, ili watuongoze kwenye the promised land, HOWEVER: CCM hawakusanyi kodi na Chadema hawataki kumlipia kodi kiongozi wao maarufu, sasa kwa nini tunawahitaji hawa kwenye taifa?

- Kulichangia taifa langu sio lazima niwe bongo, ninaweza kuwa popote pale mkuu, naona na wewe unapenda sana majibu rahisi rahisi ya kutaka watu warudi, badala ya kulilia ukusanyaji kodi kwanza!


Willie @ NYC, USA
 
Haya ndio yanaitwa majibu mepesi kwa maswali magumu.Yaani tufute vyama vyote vya siasa kwa vile tu chama tawala kimefanya madudu?Kwa busara zako mkuu,tatizo ni vyama vya siasa au waliokabidhiwa dhamana ya kuongoza vyama hivyo?Na tukishafuta na kuunda upya,kuna uhakika gani kuwa hatutakuwa tumebadili tu chupa lakini mvinyo ni uleule?

Umefanikiwa kuonyesha tatizo liko wapi lakini I'm sorry to say kwamba ufumbuzi wako ni fyongo.Tatizo ni CCM na serikali yake.Na tatizo la CCM kwa sasa limeshamiri na kutanuka zaidi kutokana na uongozi wa kibabaishaji wa Jakaya Mrisho Kikwete,Rais asiyejua kwanini ni Rais,mwepesi wa kukasirishwa na ubabaishaji wa watendaji wake lakini asiyejua la kuwafanya,na anayetumia muda mwingi kwenye safari za nje na kuhudhuria mikutano ambayo tungeweza kabisa kuwakilishwa na mabalozi,makatibu wakuu au Mawaziri.

Nimependa hitimisho lako la MUNGU IBARIKI TANZANIA lakini kwa kweli tutakuwa tunamu-overwork tu Mungu kumtaka aibariki nchi yenye uongozi usio na vision na unaokumbatia mafisadi.Baraka zaidi tunazohitaji kutoka kwa Mungu ni kuwafumbua macho Watanzania na kuwapa ujasiri wa kusema ENOUGH IS ENOUGH.

- Kwanza ninashukuru sana kwamba leo huna matusi kwa Malecela kama kawaida yako, HOWEVER: ninasema tena kwamba kodi haikusanywi kama inavyotakiwa na kwenye hili vyama vyetu vyote havina uwajibikaji, bajeti ya Wapinzani haina solution ya wapi tutapata pesa wanaozadai ziongezwe kwenye bajeti, wakati walitakiwa kujua kwamba tatizo lipo kwenye kodi, taifa lina makmpuni karibu 500 yaliyosajiliwa, lakini yanayolipa kodi ni 15 tu, unasema hili ni tatizo la CCM wakati mwenyekiti wa mahesabu wa bunge ni Mpinzani?

- Hili ni tatizo la taifa na vyama vyote, dawa ni kuwafuta wote tuanze upya!


Willie @ NYC, USA.
 
Hatuhitaji kabisa political parties.Vyama ndivyo vilivyo tufikisha hapa tulipo.Kwa ujinga wetu we have been made to believe that we need political parties,no we don't.We only need a government and a leader.What we call him is not important.He should however be elected ili asijisahau!

- Tunaita Revolutionary mind, saafi sana mkuuu wangu, SALUTE!

William @ NYC, USA.
 
Nilitamani nichangie hoja yako ila kwa kubanwa na muda jana nikapita tu.

Leo kidogo nataka nichambue mchango wako vizuri. Option ziko nyingi lakini naanza na hii ya kwenda na mtiririko wako bila kuidodosa sana kila point- unaona serikali yenye uongozi goigoi na usiowajibika - unaona serikal inayopanga kutumia isichozalisha- yenye mamlaka ya kodi isiyowajibika na inayoshirikiana na watawala kupoteza kifisadi mapato makubwa ambayo yangeiendeleza nchi. Serikali yenye vyombo vingi vya kupambana na rushwa lakini badala yake vinapamba rushwa na kudaka vidagaa ili waonekane wapo. Unasema posho za wabunge zinapigiwa kelele lakini siyo tatizo wanastahili. Unaona bunge lilojaa wasomi wa kila aina lakini wanashindwa kutoa majibu stahiki ya matatizo ya watanzania.

Niseme yote ya huku nyuma naweza kwenda na wewe kiasi kama nitajizuia kuchambua kwa kina kila kituo ILA Unaniacha hoi kabisa unavyoconclude -IT IS ABOUT TIME TUFUTE VYAMA VYOTE VYA SIASA TUANZE UPYA!

Hee mbona ghafla? Mbona hujazungumzia kabisa role ya vyama vya siasa katika haya madudu uliotaja?

Nahisi au ulichoka kuendelea kuchambua ukarukia conclusion au there is a page uliyodondosha inayotulead kwenye conclusion.
 
Nilitamani nichangie hoja yako ila kwa kubanwa na muda jana nikapita tu.

Leo kidogo nataka nichambue mchango wako vizuri. Option ziko nyingi lakini naanza na hii ya kwenda na mtiririko wako bila kuidodosa sana kila point- unaona serikali yenye uongozi goigoi na usiowajibika - unaona serikal inayopanga kutumia isichozalisha- yenye mamlaka ya kodi isiyowajibika na inayoshirikiana na watawala kupoteza kifisadi mapato makubwa ambayo yangeiendeleza nchi. Serikali yenye vyombo vingi vya kupambana na rushwa lakini badala yake vinapamba rushwa na kudaka vidagaa ili waonekane wapo. Unasema posho za wabunge zinapigiwa kelele lakini siyo tatizo wanastahili. Unaona bunge lilojaa wasomi wa kila aina lakini wanashindwa kutoa majibu stahiki ya matatizo ya watanzania.

Niseme yote ya huku nyuma naweza kwenda na wewe kiasi kama nitajizuia kuchambua kwa kina kila kituo ILA Unaniacha hoi kabisa unavyoconclude -IT IS ABOUT TIME TUFUTE VYAMA VYOTE VYA SIASA TUANZE UPYA!

Hee mbona ghafla? Mbona hujazungumzia kabisa role ya vyama vya siasa katika haya madudu uliotaja?

Nahisi au ulichoka kuendelea kuchambua ukarukia conclusion au there is a page uliyodondosha inayotulead kwenye conclusion.

- Wote hawana agenda ya kukusanya kodi ambali ndio tatizo sugu kwa taifa sasa hivi!

Willie @ NYC, USA.
 
Unasema wote hawana agenda ya kukusanya kodi na kuzuia ubadhirifu/ufisadi ni kweli? na kama ni kweli Willy tufanyeje - twende kijeshi bila vyama siyo....
 
Willy hujarejea na jibu kuhusu kipimo ulichotumia kusema wote hawana ajenda ya kukusanya kodi nataka ningezee ili nitoke- Unapowajumlisha wote mwenye kuongoza nchi na msimamizi wa vyombo vyote pamoja na kodi yetu ukasema wote wameshindwa napata wasiwasi na umakini wako kwa kuwa sii kweli kuwa haya yanayokwenda kombo ni ya wote wenye serikakil na walio pembeni. Nafikiri inawafurahisha weneye serikali kusikia unagawa lawama kwa wote lakini huwi mkweli wala fair kusema SAU ambaye yuko pembezoni kabisa mwa mambo(hajapata hata mbunge mmoja) naye analaumiwa kwa makosa ya mambo yanvyoendeshwa na CCM Chama tawala). Inatia wasiwasi zaidi pale chama tawala kinapoonekana wazi kushindwa kufuatana na utafiti wako unashauri vifutwe vyote. Nakumbuka hako kaujanja zamani tukicheza darught ukiona unashindwa unabinua ubao ili kusiwe na mshindi na mshindwa au katika karata unchanganya karata zako na zile bado kuchezwa. Nilifikiri kwa uamkini ulionao baada ya kukubali kuwa serikali ya CCM imeshindwa kukusanya kodi na kuzuia rushwa ungeshauri tuwatoe - waingie wengine- kwani hakuna mwenye copyright ya kuongoza watanzania.
 
Anza kufuta tawi la chama chako huko uliko NYC, ndio ulete hoja??

Unajua unapoleta hoja lazima uwe na moral mandate to do so??

Wewe ni mwanzilishi wa tawi la chama nje ya nchi (meaning unaamini katika siasa za vyama),

Halafu unakuja na hoja tufute vyama...unasimamia wapi?

You have no moral authority to suggest...labda kama unasema usichokiamini...blah blah
 
FROM: Facebook: by William Malecela on Sunday, June 19, 2011 at 8:19am

Malipo mengi ya watumishi wa serikali hayakatwi kodi, WHY?
ni kwa sababu hili taifa tumejiaminisha siku nyingi sana kwamba we are poor na hatuwezi kujiondoa kwenye umasikini, tumeiamini serikali kutuondolea umasikini, serikali ambayo inaongozwa na sisi wenyewe ambao tulishakubali siku nyingi sana kwamba ni masikini tu ndivyo tulivyoumbwa, matokeo yake imekuwa ni National Insanity circling yaani kurudia njia zile zile kila siku kwa kutegemea matokeo tofauti.

William Malecela @ New York City; USA.

Ndugu Malecela heshima mkuu. Nimependa sana tathmini yako ya bajeti, Tatizo la ukusanyaji wa kodi kwa Tanzania limekuwa sugu sana hasa kwa upande wa sekta binafsi, serikali na TRA hawana mechanism ya kufuatilia wafanyabiashara wengi ambao kwa uhakika ninaamini kabisa kuwa ndiyo wakwepa kodi wakubwa. Serikali imekuwa iki-focus zaidi kwenye soft targets katika ukusanyaji wa kodi kama kutoka kwa wafanyakazi wa uma na wale ambao wapo honest katika kulinda reputation yao kimataifa, kama bank ya kimataifa n.k. Wanaoongoza kwa ukwepaji kodi Tanzania ni wafanyabiashara ambao wengi wao ni waasia ambao baadhi ya watendaji wa kufuatilia sheria na kodi wapo kwenye Payroll zao.

Wafanyakazi wengi wa serikali na hasa frontliners (I mean excluding executives na wanasiasa ambao hutumia nafasi zao kujijazia asali kwenye mabuyu yao, bila kuangalia kama nyuki nao wanahitaji chakula ambacho ni asali hiyohiyo) wanalipwa mshahara wa kuwawezesha kuishi siku saba za mwezi katika mwezi wenye siku 30. Mfano utakuta mtu analipwa gross ya salary ya laki tatu plus medical allowance au transport allowance ya elfu hamsini. kwenye laki tatu wakimkata kodi say ya alfu hamsini plus ile allowance yake ambayo haikukatwa kodi unarudi kuwa laki tatu, kodi kwa mwezi laki na nusu. Je laki na nusu zilizobaki zinatosha kulipia chakula, umeme, usafiri na matibabu?.

Ni kweli kuna wafanyakazi wa serikali wanalipwa mamilioni plus allowance, ilitakiwa target yako iwe huko siyo kwa dada yangu ambaye ni mwalimu wa sekondari. Ulitakiwa kutofautisha kwenye sentensi hiyo siyo ku-generalize.
 
Back
Top Bottom