Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,240
kwa mazoezi safi sana hii
utauza mpaka kitanda boss usiuze hiyo 50 itakufikisha wapiKwa anayehitaji usafiri wa haraka baskeli inauzwa bei 50,000.View attachment 461270View attachment 461271
haahhahaaaaaaaaaaaaaa halafu wewe acha kumkatisha mwenzio tama hivyoKuna jamaa anauliza haidaiwi TRA?🙂
Usikatishwe tamaa ndugu.Ndugu kwani na we lazima upost kama huhitaji.
hahahahahaaaaaaaNi namba gani C,D au?
ndugu kwani na we lazima UUZE KWA PESA, SI UTUMIE ZA KWENYE AVATAR YAKO?Ndugu kwani na we lazima upost kama huhitaji.
ooh! asante mkuu kunikumbusha, jf buana mara nyingi nasahau hadi kuipua mboga hadi inaungua!Kaogeshe mtoto boss wako karibu anarudi.
Hahahaaaa umenikumbusha enzi hizo baiskel zinalipiwa.Kuna jamaa anauliza haidaiwi TRA?🙂