Baisaa Ya Oman

Wamekudanganya waliokwambia thamani hiyo.

100 blBaisa ni Sawa na Shillingi 6 na senti 50.

Baisa zikiwa 1,000 (elfu moja) yaani hizo noti za 100 ziwe 10. Ndiyo shillingi 6,500 (elfu sita na mia tano).
baisa ni hela ndogo sana akae nayo ndani tu,kule oman wanatumia kuwaawadia wa afrika kipindi cha sikukuu pamoja na watoto
 
Duh in short toka nizaliwe sijawahi kupanda ndege wala kuingia bureau de change
 
Baisa ni pesa ndogo sana,pesa ya OMAN inayobadilishika kirahisi ni rial,na ndio pesa yenye thamani,Rial 1=1000 baisa,maana yake wewe hapo una Rial 0.1 ambayo kwa pesa ya tanzania ni sawa na 650 tu,nani akubali kubadili?
Ni rial 0.01 siyo 0.1
 
Brother hii ni Baisa 100 ambayo ni sawa na 633 Tsh, Ingekua 100 Riyal ndiyo ungepata 650,000/=
Sijaelewa hii imekaajee na niko na riyal 1 ya oman na riyal 5 ya saudi Arabia vipi kipi ni kipi
 
Jombaa hiyo pesa kwa Tanzania
hununui hata Kashata kwa Mgosi... ndo manake nlitaka useme umeipata wapi hela ndogo namna hiyo?
Sijaelewa hii imekaajee na niko na riyal 1 ya oman na riyal 5 ya saudi Arabia vipi kipi ni kipi
 
Wamekudanganya waliokwambia thamani hiyo.

100 blBaisa ni Sawa na Shillingi 6 na senti 50.

Baisa zikiwa 1,000 (elfu moja) yaani hizo noti za 100 ziwe 10. Ndiyo shillingi 6,500 (elfu sita na mia tano).
Sijaelewa hii imekaajee niko na riyal 1 ya oman na riyal 5 ya saudi Arabia na Baisa 100 ya Oman vipi kipi ni kipi na haitumikii kivp..naomba nileweshe samahani
 
Sijaelewa hii imekaajee niko na riyal 1 ya oman na riyal 5 ya saudi Arabia na Baisa 100 ya Oman vipi kipi ni kipi na haitumikii kivp..naomba nileweshe samahani
Rial moja ya Oman utapa shillingi elfi sita na mia tano (6,500) au pungufu au zaidi kidogo ya hapo kutegemea na bei ya siku hiyo.

Rial tano ya Saudi Arabia utapata shillingi elfu tatu na mia tatu (3,300).

Baisa mia Oman utapata shillingi sita na senti hamsini (6.50) kama wataichukuwa ikiwa 100 moja tu.

Kama unayo google hata wewe mwenyewe unaweza kuangalia thamni yake, andika "Badili RIAl Oman 1 kwa TZ Shillingi. Na zingine fanya hivyo hivyo kila moja kwa jina lake.
 
vipi na inakuwaje inaitwa Baisa..?
 
Niliokoo nayo imeandikwa baisa100 ndio maana.
 
Sijaelewa hii imekaajee na niko na riyal 1 ya oman na riyal 5 ya saudi Arabia vipi kipi ni kipi
Hizo ni pesa tofauti, neno Rial lisikuchanganye, 1 oman rial ni sawa na 6,500/= tsh, 1 Saudi Riyal ni sawa na 650/= tsh
 
BAISA 100 ni sawa na RIAL 1 sawa na 6500 sh tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…