Mkuu fungua macho na akili uone,kwanza kuna mradi mkubwa wa bandari Bagamoyo Africa hakuna,ile gesi ya Mtwara ililengwa Bagamoyo kwa ajili kuendeleza miradi mikubwa ilikusudiwa,hili ccm wanalijua ila kwa sababu kila mtu ruksa kula jinsi mkono ulivyomrefu hakuna wakuhoji ndio maana sera yao ya VUA GAMBA ulikuwa upepo tuNimetembelea Bagamoyo siku za karibuni kwenda kule Halmashauri ya Wilaya. Mbona hamna kitu ni mji tu uliochakaa?