Heshima sana mkuu,
Kwa kweli umeeleza kile ambacho kila serikali inayokuja madarakani ingejaribu kuendeleza. Lakini kila ka-rais kanakokuja madarakani utfikiri hakuna mipango iliyowahi kuandaliwa na watawala waliopita!!!
Kikwete hebu fuata maelezo haya ili ufanye mambo yanayoeleweka .....mbona unakimbilia bagamoyo??? kuna nini huko???
Rais wa kwanza wa nchi ya Ivory Coast Marehemu Felix Houphouet Boigny aliufanya mji aliozaliwa wa Yamoussoukro kuwa mji mkuu wa ivory Coast badala ya Abidjani.Zoezi la kuufanya mji wa Yamoussoukro kuwa mji mkuu wa Ivory Coast liliambata na matumizi makubwa ya fedha za nchi kuelekezwa Yamoussoukro kwaajili ya ujenzi wa miundombinu na maofisi ya wizara mbali mbali ambayo tayari ilikuwepo Abidjani.Uwanja wa ndege,mabarabara makubwa,mahospital na lile kanisa kubwa [ Basilica of our lady of peace of Yomoussokro] lilijengwa kwa gharama ya U$ 300 million peke yake.
Rais Jakaya M Kikwete tangu alipochaguliwa kuingia madarakani mwaka 2005 kumekuwa na juhudi kubwa sana za kuuendeleza Mji Bagamoyo kwa kutumia kodi za wananchi au kutumia mikopo au misaada.Kuna mpango wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa,kuna mpango wa kujenga bandari sijui kwanini tusijenge bandari kubwa Tanga au Lindi,kumekuwa na juhudi za chini chini za kujenga kituo cha mikutano cha kimataifa badala ya Arusha,Kumekuwa na juhudi za kujenga kijiji cha michezo badala ya ule mpango wa kukijenga sambamba na uwanja wa taifa Dar es salaam,ujenzi wa barabara nne kutokea Chalinze hadi Segera wakati barabara ipo tena tusisahau kuna sehemu nyingi Tanzania hazijawahi kuona barabara ya lami,ujenzi wa barabara msata hadi Bagamoyo.
Baba wa taifa Julius alikuwa Rais wa JMT kwa miaka 24 lakini hakuwahi kufikiria kuijenga Musoma / Butihama kwa kutumia rasilimali chache za nchi kama anavyofanya Muungwana katika kipindi kisichozidi miaka 4 tu.Najaribu kutafakari tukimpa tena miaka 5 mingine Bagamoyo itakuwaje ?.
what is wrong if we get a second international airport in Bagamoyo?
kwa maneno mengine wale watu wa kipawa wasipewe fidia na hiyo hela itumike kuendeleza mukuranga, adam malima upo wapi? dr mwinyi si alikuwa mbunge wa huko? kulikoni?idea aliyokuwa nayo mkapa awamu ya tatu ilikuwa kuachana na upanuzi wa uwanja wa ndege wa dar....na kuubakisha kuhudumia jeshi..na safari za ndani...kutoka pale uwanja wa ndege dar ingejengwa barabara ya kuunganisha na kilwa road kwenda MKURANGA ...ambapo ndipo uwanja mpya wa ndege wa safari za kimataifa ungejengwa na tayari eneo lipo na limepimwa..na mwandosya anajuwa kwani alipokuwa pale wizarani tayari walikuwa wamefikia kutenga pesa za kuwekea uzio na kufanya upembuzi yakinifu....sasa nashangaa sana kama mpango wa uwanja wa kuachana na uwanja wa dar na kuhamishia safari za kimataifa mkuranga unaachwa bila maelezo ya kutosha.....
kama taifa lazima tuwe na vipaumbele ...sasa kama kila mtu akiwa rais anakuja na vipaumbele vipya hatutafika mahali....
lazima tujuwe ....
vipaumbele tulivokubaliana ni hivi:-
-uwanja wa ndege wa kimataifa [safari za nje]-MKURANGA
-SAFARI ZA ndani na JESHI - dar airport[uwanja huu ukipanuliwa hautafaa kwa mipango ya taifa miaka 25 ijayo]
-kukamilisha uwanja wa songwe international airport
-kujenga dodoma international airport
-kujenga international airport mwanza.
-kupanua viwanja vya bukoba na kigoma
-kujenga uwanja wa ndge wa kimataifa mtwara.
BANDARI
-KUENDELEZA south corridor- kupanua bandari ya mtwara.
-kujenga miundombinu ya barabara kwenda songea ..kuunganisha na barabara ya malawi na zambia..
-daraja la umoja.
kuunganisha bandari ya mtwara kwa reli na mchuchuma...na kuunganisha kwenye kipande cha reli ya TAZARA.
north CORRIDOR
- KUIMARISHA bandari ya Tanga kama njia mbadala ya uganda na rwanda[kushindana na mombasa]..
-kujenga reli arusha - musoma
-kuimarisha reli ya voi
KATI
kujenga upya njia ya reli ya kati ili kuteka soko la rwanda,burundi , congo,etc...
-kuimarisha bandari ya dar es salaam na bandari zake kavu na za maziwa....
HIVYO NDIO VIPAUMBELE VYETU....AJE RAIS YEYOTE .....!!! ATAKAYETAKA KULETA PERSONAL INTEREST NJE YA MIPANGO YA MAENDELEO YA TAIFA YA MIAKA 25....BASI ANA LAKE JAMBO!!!
KAMA NI BAGAMOYO KWENYE MIPANGO YA MAENDELEO MIRADI ILIYOKUBALIKA NI-
barabara ya bagamoyo - msata[lengo kupumua barabara ya mrogoro]
barabara ya bagamoyo -pangani[lengo kuibua fursa za utalii wa mahoteli na mbuga ya saadani...kwenye beach ya bagamoyo hadi pangani delta....
mradi wa EPZ bagamoyo ....utaungwa mkono ba barabara hizo....na mizigo inaweza kufika toka tanga au dar[50km] kirahisi]
kuna mradi wa muda mrefu wa kuunganisha reli kuanzia UBUNGO-WAZO-BAGAMOYO....ili kuwezesha viwanda vya pembezoni mwa mji na bagamoyo kufikisha malighafi bandarini...kwa uarahisi...[lakini ukaguzi uliofanyika ulikuta wakubwa wamejigawia viwanja juu ya njia ya reli kuanzia ubungo -chuo kikuuu-mbezi -wazo- [labda njia ya kuanzia wazo hadi bagamoyo ndio ipo wazi]....mpango huu ulikuwa pia na kuunganisha reli hii maeneo ya wazo na reli ambayo ingeenda kuibua mji wa viwanda KIBAHA [pale TAMCO,NYUMBU,KEC,VALMET...etc]...pale palikuwa pawe mji mkubwa wa viwanda...MIPANGO HII MINGI IPO TANGU ENZI ZA MWALIMU...na MWINYI ...na ilitakiwa utekelezaji tu ...wala hakuhitajiki study mpya hata moja ...labda bomoa bomoa tu!!!!......
mnaweza kuhakiki taarifa hii ninayotoa na viongozi wa miaka ya nyuma .....tatizo viongozi wanaokuja wanafanya kama vile nchi haiikuwa na viongozi wala wataalamu...kila mtu akiwa anakuja na mipango yake nje ya vipaumbele vya nchi...HATUTAKAA TUENDELEEEEEEE!!!
Acha kuwa mvivu wa kufikiria Dar haihitaji Airport mbili iliyopo inaweza kutanuliwa na ku-serve the less than 3 mio. people in Dar! Huu ni umimi na ukabila! Tatizo lenu ukabila huwapo kwa Wachagga tu humu ndani lakini hamuoni wanayofanya watu wengine! Mimi kama specialist in project Management naweza kusema hiyo project imekaa kiubinafsi bila hata kuangalia feasibility study! Dar is too small to have two airports msijifananishe na New York au Tokyo au Shangai na miji mimgine yenye watu mpaka million 20! JNIA inaweza kupewa hata terminal nne ku-accomodate watu wengi zaidi!Jamani Kikwete ni mbovu kwa mengi, lakini Bagamoyo kuilinganisha na Yamousoukrou is overstretching it.
Kuhusu uwanja wa Ndege mimi sioni tatizo kama uwanja wa ndege utawekwa strategically between the northern tip of Dar and Bagamoyo, where it could serve both the North Dar crowd- Mbezi and its suburbs is developing into a city within a city and will probably make ample use of this airport-. Kitu muhimu ni kuuendesha uwanja huu with business efficiency ili ujilipie katika miaka michache.
Kwa hiyo si kila kitu kinachofanywa na Kikwete ni cha kubezwa kwa kutumia mifano ambayo hailingani. Yamoussoukrou is something else, probably up there with Gbadolite, but not Bagamoyo.
Acheni Upuuzi, Bagamoyo ni mji mkongwe kuliko miji mingi tu hapa nchini. Wakazi wa bagamoyo wanastahili maendelea kama wengine ... Bagamoyo ilitelekezwa kwa sababu ambazo mimi na wewe hatuzifahamu pamoja na fursa nzuri zilizoko pale. Mimi namfagilia Kikwete kwa miradi anayoipeleka pale Bagamoyo, strategically ni rahisi kui-link na sehemu zingine za bara kirahisi kuliko kutokea Dar es Salaam ambayo tayari imeharibiwa kutokana na mipangi mibovu...
Kwani Tanga sio mji mkongwe,mlitaka kuleta gesi ya Mtwara Bagamoyo kwa Mtwara ni mazuzu,tumeshawashtukia na Bagamoyo yenu,mwambie Baba Rizi kachemka na atalitolea maelezo baada ya 2015Acheni Upuuzi, Bagamoyo ni mji mkongwe kuliko miji mingi tu hapa nchini. Wakazi wa bagamoyo wanastahili maendelea kama wengine ... Bagamoyo ilitelekezwa kwa sababu ambazo mimi na wewe hatuzifahamu pamoja na fursa nzuri zilizoko pale. Mimi namfagilia Kikwete kwa miradi anayoipeleka pale Bagamoyo, strategically ni rahisi kui-link na sehemu zingine za bara kirahisi kuliko kutokea Dar es Salaam ambayo tayari imeharibiwa kutokana na mipangi mibovu...
Kwani Tanga sio mji mkongwe,mlitaka kuleta gesi ya Mtwara Bagamoyo kwa Mtwara ni mazuzu,tumeshawashtukia na Bagamoyo yenu,mwambie Baba Rizi kachemka na atalitolea maelezo baada ya 2015
idea aliyokuwa nayo mkapa awamu ya tatu ilikuwa kuachana na upanuzi wa uwanja wa ndege wa dar....na kuubakisha kuhudumia jeshi..na safari za ndani...kutoka pale uwanja wa ndege dar ingejengwa barabara ya kuunganisha na kilwa road kwenda MKURANGA ...ambapo ndipo uwanja mpya wa ndege wa safari za kimataifa ungejengwa na tayari eneo lipo na limepimwa..na mwandosya anajuwa kwani alipokuwa pale wizarani tayari walikuwa wamefikia kutenga pesa za kuwekea uzio na kufanya upembuzi yakinifu....sasa nashangaa sana kama mpango wa uwanja wa kuachana na uwanja wa dar na kuhamishia safari za kimataifa mkuranga unaachwa bila maelezo ya kutosha.....
kama taifa lazima tuwe na vipaumbele ...sasa kama kila mtu akiwa rais anakuja na vipaumbele vipya hatutafika mahali....
lazima tujuwe ....
vipaumbele tulivokubaliana ni hivi:-
-uwanja wa ndege wa kimataifa [safari za nje]-MKURANGA
-SAFARI ZA ndani na JESHI - dar airport[uwanja huu ukipanuliwa hautafaa kwa mipango ya taifa miaka 25 ijayo]
-kukamilisha uwanja wa songwe international airport
-kujenga dodoma international airport
-kujenga international airport mwanza.
-kupanua viwanja vya bukoba na kigoma
-kujenga uwanja wa ndge wa kimataifa mtwara.
BANDARI
-KUENDELEZA south corridor- kupanua bandari ya mtwara.
-kujenga miundombinu ya barabara kwenda songea ..kuunganisha na barabara ya malawi na zambia..
-daraja la umoja.
kuunganisha bandari ya mtwara kwa reli na mchuchuma...na kuunganisha kwenye kipande cha reli ya TAZARA.
north CORRIDOR
- KUIMARISHA bandari ya Tanga kama njia mbadala ya uganda na rwanda[kushindana na mombasa]..
-kujenga reli arusha - musoma
-kuimarisha reli ya voi
KATI
kujenga upya njia ya reli ya kati ili kuteka soko la rwanda,burundi , congo,etc...
-kuimarisha bandari ya dar es salaam na bandari zake kavu na za maziwa....
HIVYO NDIO VIPAUMBELE VYETU....AJE RAIS YEYOTE .....!!! ATAKAYETAKA KULETA PERSONAL INTEREST NJE YA MIPANGO YA MAENDELEO YA TAIFA YA MIAKA 25....BASI ANA LAKE JAMBO!!!
KAMA NI BAGAMOYO KWENYE MIPANGO YA MAENDELEO MIRADI ILIYOKUBALIKA NI-
barabara ya bagamoyo - msata[lengo kupumua barabara ya mrogoro]
barabara ya bagamoyo -pangani[lengo kuibua fursa za utalii wa mahoteli na mbuga ya saadani...kwenye beach ya bagamoyo hadi pangani delta....
mradi wa EPZ bagamoyo ....utaungwa mkono ba barabara hizo....na mizigo inaweza kufika toka tanga au dar[50km] kirahisi]
kuna mradi wa muda mrefu wa kuunganisha reli kuanzia UBUNGO-WAZO-BAGAMOYO....ili kuwezesha viwanda vya pembezoni mwa mji na bagamoyo kufikisha malighafi bandarini...kwa uarahisi...[lakini ukaguzi uliofanyika ulikuta wakubwa wamejigawia viwanja juu ya njia ya reli kuanzia ubungo -chuo kikuuu-mbezi -wazo- [labda njia ya kuanzia wazo hadi bagamoyo ndio ipo wazi]....mpango huu ulikuwa pia na kuunganisha reli hii maeneo ya wazo na reli ambayo ingeenda kuibua mji wa viwanda KIBAHA [pale TAMCO,NYUMBU,KEC,VALMET...etc]...pale palikuwa pawe mji mkubwa wa viwanda...MIPANGO HII MINGI IPO TANGU ENZI ZA MWALIMU...na MWINYI ...na ilitakiwa utekelezaji tu ...wala hakuhitajiki study mpya hata moja ...labda bomoa bomoa tu!!!!......
mnaweza kuhakiki taarifa hii ninayotoa na viongozi wa miaka ya nyuma .....tatizo viongozi wanaokuja wanafanya kama vile nchi haiikuwa na viongozi wala wataalamu...kila mtu akiwa anakuja na mipango yake nje ya vipaumbele vya nchi...HATUTAKAA TUENDELEEEEEEE!!!