Baf ya st john na baf ya mzumbe ipi kali?

Zote sawa tu, hapo ni ujanja wako tu wa kujielimisha tu, unaweza kusoma popote na ukawa mkali tu au kilaza tu vile vile
 
Zote kali ndg yangu,hao wa mzumbe wanavutia kwao..kufanya kazi wizara ya fedha ndo kunaonesha ukali wa baf ya mzumbe? Watu wamemaliza veta ,desktop ,amazon na wako huko huko wizara ya fedha.
 
Ukiangalia kwenye maelezo waliyo itolea kwenye vyuo vyote viwili st. Johns wanakuprepare uweze kufanya kazi in local envir and international lakini mzumbe only local environment xo st. Johns kali
 
zote ni sawa sawa acha u first year hata baf ya mzumbe na ya uingereza haina tofauti ni ile ile tu principle za accounting na finance ziko vile vile tu..tofauti ni technolojia tu..so kwa tanzania ni ile ile moja..tundo mana zote muda ni miaka mi 3
 
sawa ila ukweli mwenyewe unaujua!! na nina uhakika katika maombi yako ya TCU Uliijaza BAF ya mZUMBE ila umeikosa kwasababu ya qualification zako hazijafit ndo maana unaponda!
 
n bora hata ungelifanansha na BAF ya TIA au Ardhi walau kdougo kulko St. John ingawa bhado BAF ya Mzumbe bhado haiwez fananshwa na BAF eyote ile..
 
weh acha ubishi wako..baf ya mzumbe iko vizur mimi mwenyewe nimemaliza pale mwaka jana na sasa nafanya kazi wizara ya fedha!!!
Dah.... hatari sana kama msomi unakuwa na majibu kama haya.. mimi nimemeliza baf ya muccobs niko bank kuu (BOT) then my frend nimemeliza nae kabahatika umoja wa mataifa,,,unamaanisha baf ya muccobs ndo nzur>then student wengi wa darasa langu wameajiriwa TRA..... ninach dhani hakuna baf nzuri zaid ya kujituma kwa bidii, maana yeyote alie graduate baf kwa kiwango kizuri chuo chochote anaweza kupata kazi sehem yeyote ilimradi chuo kitambulike na serikali. Achen mawazo ya zamani...tubadilike...tubadilike.. dogo ulie leta mada, sehem yeyote utakayo pata soma kwa bidii,,,sikuhizi waajiri hawaangalii umemaliza wapi,,,wanaangalia uwezo wako kwa kile ulichosomea. hawaajiri chuo mdogo wangu.
 
nasikia BAF ya hapo st john's mwaka wa kwanza na wapili semister ya 1 mnafahamika kama BBA#Then kuanzia semister ya 2 mwaka 2 ndo mnatambulika kama BAF?

Kama hilo ni lakweli sidhani kama baf ya sjut itakua nondo kama ya mzumbe#
 
Mzumbe kw masomo y biashar wako vizuri kaka hlo halina ubishi...lakn co kwmb muajir atakuajir kw kigezo hki... Muajir atakuajir kutegemea uwezo wko ambao unaitaji uwe umesom san.... Kw maana nyngne basi mzumbe kinatoa mazingra mazuri y kupanua wigo wa uwezo wako zaid kulk st.john as hakina miaka ming tangu kianzishw
 
Hakuna BAF kali kati ya hizo,isipokuwa aliyesoma popote kati ya hivyo vyuo ndiyo anaweza kuwa mkali au la kutegemeana na uelewa wake na bidii yake katika masomo.Not everything can be generalized.Ubora wa elimu siyo chuo,ni bidii ya mtu as an individual ktk kuelewa mambo hasa katika ulimwengu huu ambapo resources ni nyingi na zinapatikana kirahisi.If you can read ,you can learn anything.

kweli mkuu hapo nmekupata
 
weh acha ubishi wako..baf ya mzumbe iko vizur mimi mwenyewe nimemaliza pale mwaka jana na sasa nafanya kazi wizara ya fedha!!!

Mkuu uwe unajaribu kutendea haki degree yako....Be a graduate.....

Majibu haya ndo unaona yanafaa kutolewa na graduate.....Tendea haki degree yako, be wise....
 
Baf za hapa ktaa kwetu ni kali hatarii kwani utapata
1.air conditioner
2.digital camera
3.television kubwa
4.bluetooth
5.choo(cha ku-flash)
6.kitanda ili kupumzika mara baada ya huduma
7.massage(ukipenda)
ucngoje kusimuliwa njoo mwenyewe ujioneee
 
Uelewa ni suala la mtu binafsi, sidhani kama chuo ndio kitakufanya uwe mkali..leo ndio nimeelewa kuna watu wanajiita wachumi wa daraja la kwanza lakini mambo yao ovyo.
 
Back
Top Bottom