Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,370
- 205,760
Na amefanikiwa kufikisha ujumbe.
Na amefanikiwa kufikisha ujumbe.
Hili zoezi sio rahisi kivile. Could be a full time job and i aint got that time.Hatima yake kwako OK!
Bado nafasi ipo you can act like gentleman kumpa somo kama hili uliloshusha humu akakuelewa na hatima yake ikaendelea kua ni sehemu salama ndugu yangu....
Jana kaniambia anataka Gari IST nimemwambia asubiri mpaka Yesu arudi kwanzaHongera.
Ni kweli, Umeona mbali sana.
Njia nyingine rahisi ya kumtambua aliye sahihi au si sahihi - Waweza kumpa kama laki tano, na kumwambia fanyia chochote. Then baada ya muda muulize ametumia vipi? Utashangaa anakwambia nilienda kusukia Brazilian hair hela yote!
Nishamweka mahali pake.Jiulize hiyo aliyokusanya so far kaitoa wapi? Hafai huyo. Ni wa kupiga na kutambaa tu, usiwekeze. Wanawake materialistic huwa hawatosheki. Akitokea tu mjanja anajua udhaifu wa huyo bae wake basi lazima amle. Unakuta binti net income haizidi 1m lakini anataka simu ya 2.5m na vikorokoro kibao. Ni headache. Kuwa na msimamo mwambie hutaki kama kulambwa akalambwe huko huko. Mimi nimeshawahi kupigwa mzinga wa "kumuongezea hela anunue gari" nikasepa.
Anataka ya Milioni 11.5 nimemwambia tumsubiri Yesu kwanza. Hawariziki hawa watuSasa mkuu umeweza kununua simu ya 2.3m unashindwa kumchukulia IST mkononi kwa mtu?
Hahahahhahahahaha..... Haya.... Tumekusikia RRONDOJuzi nimetumiwa msg na bae eti nimuongezee hela anunue S9+. Ikabidi nichungulie inauzwa bei gani OMG 2.3m! Yaani 2,300,000! Over a $1000!
Nikafikiria huyu Bae anakaa nyumba ya kupanga, kodi vile vile nanchangia na inawezekana tunachangia wengi, kweli hana cha maana cha kufanyia hio 2.3m!
Nikafikiria haraka haraka nini unnaweza kufanya na 2.3m
1.Unaweza kununua kiwanja. Kuna kampuni zinauza viwanja vilivyopimwa 5000/sqm anaweza kupata 1000sqm kwa 5m(hii kampuni unaweza kulipa nusu halafu iliobaki kidogokidogo kwa miezi sita)
2.Unaweza kununua matofali 2300 ambayo yanamaliza nyumba ya vyumba vitatu au viwili.
3.Unnaweza kununua madirisha zaidi ya 7 ya aluminium ukamalizia nyumba yako
4.Unaweza kununua bodaboda ikakuingizia hata 20,000 kwa siku.
5.Huu ni mtaji tosha kwa biashara ya tigopesa etc
6.Unaweza kununua mabati 100 au zaidi
Kuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.
NB:Hii haihusu those who CAN AFFORD that phone.
Ngoja nianze kutumia hiim njia...vichwa maji wataniona danga kumbe ni mtego.
Sio ameenda kusuka tu, mwingine katoa mchango wa harusi, sijui anataka kutoka out na wenzake. Yaaan ni vitu vya ajabu ajabu.Ni kweli, Umeona mbali sana.
Njia nyingine rahisi ya kumtambua aliye sahihi au si sahihi - Waweza kumpa kama laki tano, na kumwambia fanyia chochote. Then baada ya muda muulize ametumia vipi? Utashangaa anakwambia nilienda kusukia Brazilian hair hela yote!
I wish ingekuwa rahisi kama kuandika.Inawezekana huyu dada hana shida ila ni wa kusaidia tu kwenye kuweka vipaumbele au kumsaidia kuepuka maisha ya mashindano au ya kupenda vya juu kulingana na hali ya wakati huo. Kikubwa saidianeni ninyi kwa ninyi kuwa bora.
Kwa maelezo yako inaonekana ni mwanamke wa anasa. Muite pembeni, mpige darasa zito kuhusu matumizi yake, alaf uone reaction yake...
Lakin kwa haraharaka hawa ni wale wale wapenda pesa na anasa. Hawana future mara nyingi, ndio maana wastaafu wa hii fani yao ya kuomba omba wamejazana kwa makonda.