agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,414
Na papuchi utapata kwa hao wamama?Kingine kama ukiamua kuwasaidia wakina mama,vijana wanauza matunda,mahindi,biscut&maji na apple, wanaotembeza sambusa na mayai ambayo mitaji yao ni 20000 tu ambao watakuwa watu 115 hakika utaacha alama machoni mwao na thawabu mbinguni kuliko kuipatia papuchi moja ambayo haina akil kichwani
Mama Sabrina acha kupotosha watu tafadhali, huu ushauri kwa kweli ni wa kishetaniRRONDO kujenga ukiwa bado kijana ni uoga wa maishaa
Hahahaha kweli kaka. Kuna ex wangu mmoja alikuwa materialistic nikashindwana naye. Yeye alikuwa anapenda sana kula starehe. Ukimwambia twende shamba au site anasema "kwanini unahangaika kujenga mbali kote huko wakati unaweza kukodi nyumba mikocheni ya laki saba". Ukiwa naye barabarani akiona gari nzuri anapagawa kabisa. Anawaza furniture za milioni 15 wakati kipato chake hata milioni haifiki. Kalagabaho! nikamwaga kilaini. Akaja kuwa kama zulia, watoto wa mbwa wanajisevia tu. Kajichokea bure siku hizi.Sio ameenda kusuka tu, mwingine katoa mchango wa harusi, sijui anataka kutoka out na wenzake. Yaaan ni vitu vya ajabu ajabu.
Halaf mara nyingi hawana future, ukianza kumuadisia mipango ya maisha hataki kusikiliza, anataka asikilize tu habari za viwanja.
Pumbav kabisa, mm akishafel mtihani hapo hapo na kibuti juu
Ombeni vya maana TafadhariAngesema Bae ninunulie Gari je ?
Yajayo yanafurahisha
Sio kila mtu anaakili kama yako mkuuHyo she anawazimu si bure...2.3m kwa simu tu..aisee kuna vingi vya kufanyia hyo 2.3m kama ulivyoandika hapo na zaidi
HahahahahahaMama Sabrina acha kupotosha watu tafadhali, huu ushauri kwa kweli ni wa kishetani
Sawa RRONDO jumuika nasiHaya vijana kuleni maisha.....
Pole sana, atakuwa hana angekupaIla wanaume jamani mie naona akili zenu hazitaki tu kuombwa hela
Mbona mimi nimeomba ya kuongezea mtaji naambiwa pambana na hali yako?
Kwani gari sio ya maanaOmbeni vya maana Tafadhari
Na haka katabia ka kuchangiwa bdei kapo sana siku hizi..me usiniletee huo upuuzi wa michango ya kipumbavuUnakuta mpk birthday mtu anataka achangiwe yani mambo tasiyokuwa ya msingi mtu ndio anahangahika nayo ili aweke picha instagram
Mkuu naona unanirudisha kwenye masuala ya applied hydrology..........
r=-1
Hahahahaha, ndiyo hivyo mama Sabrina ukijenga mapema ndiyo bata unakula vyema kozi ile pesa ya kodi ya pango huifikilii tena sasa hapo bata ndipo wanapokomaHahahahahaha
Ntapata nyingine yenyeakil papuchi nao ni kama soko huria ukiikatalia yako ntapata hata zanzibar or malawi kila siku papuchi zazaliwa kwa mamilioni nihangaikie moja jamani kuna papuchi ukiinunulia luku,sukari,unga, na kakilo ka nyama hadi majirani watakomaNa papuchi utapata kwa hao wamama?
Yani mimi sijakuoa halafu from no where baby naomba garii??? Thubutuuuu hamkawii kuwabeba viben ten wenu humoKwani gari sio ya maana
Wewe hata kusoma sana ni uoga piaHahahahaha, ndiyo hivyo mama Sabrina ukijenga mapema ndiyo bata unakula vyema kozi ile pesa ya kodi ya pango huifikilii tena sasa hapo bata ndipo wanapokoma
Mbona wengine wananunua tuYani mimi sijakuoa halafu from no where baby naomba garii??? Thubutuuuu hamkawii kuwabeba viben ten wenu humo
Hao viumbe akili zao sometimes wanazijua wenyeweHahahaha kweli kaka. Kuna ex wangu mmoja alikuwa materialistic nikashindwana naye. Yeye alikuwa anapenda sana kula starehe. Ukimwambia twende shamba au site anasema "kwanini unahangaika kujenga mbali kote huko wakati unaweza kukodi nyumba mikocheni ya laki saba". Ukiwa naye barabarani akiona gari nzuri anapagawa kabisa. Anawaza furniture za milioni 15 wakati kipato chake hata milioni haifiki. Kalagabaho! nikamwaga kilaini. Akaja kuwa kama zulia, watoto wa mbwa wanajisevia tu. Kajichokea bure siku hizi.