Bae niongezee hela ninunue S9+


Mkuu wapi unaweza kupata hivyo viwanja?
 
Aise hatimae nimekuona leo
 
Mie naona wanaume mnapigwa mno kutokana vile mnavyojiweka!mwenzio kapma kina cha maji ndo akapiga ilo kombora la simu!Kama upo vizur mpatie tu!umepewa bure toa bure bwanaa[emoji4]
 
Mie naona wanaume mnapigwa mno kutokana vile mnavyojiweka!mwenzio kapma kina cha maji ndo akapiga ilo kombora la simu!Kama upo vizur mpatie tu!umepewa bure toa bure bwanaa[emoji4]
Mh nini ambacho wanaume tumepewa bure tukigawe?
 
Ni kweli kabsa ila kumbuka nyie ni vichwa vya familia kwahyo mmeshahalalishwa kutupa mahitaji yote!tukifanya huwa tunawasaidia tu
Mahitaji yote sio rahisi, ila mahitaji muhimu mtapata.
 

Yeye ana shngapi, amekwambia uongeze shngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…