Bae niongezee hela ninunue S9+

Mechi ilikuwa mbovu sana, nazuiliwa usinishike maziwa, usiweke mto chini, nachaguliwa style.

Nilishuka nikavaa, nikaoga kabla sijamaliza, nikavaa nikampa 20 ya nauli, nikamwambia silipii ujinga, ndo kuanza kwa heshima.
Mkuu sasa wewe umelipia sex unataka kuonesha ufundi na mapenzi?! Kojoa uondoke
 
Nipe namba yake, sioni shida kumpa hichi kiasi
 
Mechi ilikuwa mbovu sana, nazuiliwa usinishike maziwa, usiweke mto chini, nachaguliwa style.

Nilishuka nikavaa, nikaoga kabla sijamaliza, nikavaa nikampa 20 ya nauli, nikamwambia silipii ujinga, ndo kuanza kwa heshima.

Hahahaaaa daaah umenichekesha sana aisee.

Nishakutana na wa hivyo katika moja ya mizunguko yangu.
 

Huyo Demu fanya yafuatayo heshima itarudi:

1. Fahamu ni kiasi gani anataka kuongezewa kisha muambie aje home kuchukua ila aje na pesa aliyonayo uhakikishe kama kweli amejipanga... (USIGOPE PICHA LINAANZA) Mdrill kisha mpatie hiyo pesa, kama huna yote mpe iliyokuwepo kisha mwambie ilikuwa ghafla mno so aijie kesho.

2. Unapompa pesa, ukimdrill hakikisha anatoka hapo jioni jioni au usiku kabisa na akitoka vaa mask lako mfuatilie akikata chobingo tu piga roba chukua help yote rudi kulala kimya, Lazima atarudi anakimbia ‘Baby nimeibiwa pesa yote’ Jinyooshe kitandani mwambie ‘Pole baby huu mtaa washenzi kweli yaani...bora ningekusindikiza...njoo upumzike utulie kidogo asubuhi nitaenda kukutolea nyingine’ Akikanyaga kitanda mkumbatie, Mpetipeti kisha Drill tena kupoza machungu.

3. STEPU ya mwisho kabisa, Asubuhi jifanye unatoka kidogo kwenda ATM ( Kibunda chako hesabu ya jana yote iko kibindoni) kaweke hela yako uliyomuongezea kwenye Simu Pesa kisha rudi na amount yake aliyokuja nayo jana au pungufu kidogo. Mwambie ‘Baby nilikuwa nikuongezee hii sasa kwa kilichotokea jana chukua hii ukatafute simu yoyoye ya kutumia kwa muda halafu tutaangalia Utaratibu polepole...Hakyanani vile atakushukuru na makisss mazito mazito, Mdondoshee Uchagoni Ji drillie zako viwili kisha msindikize kwao. Na wewe Kashushie supu ya Kongoro kujipongeza. Kushnei!
 
Mimi na Fruit? Kabisa Mimi? Aisee utakua umedanganywa baadhi ya vitu hasa kwenye madanga kwa sababu sidangi labda nianze kwako
Hivi kudanga ni nini? Danga najua ni kama buzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…