Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,872
Ohoooo jamani mawifi zangu mbona wananiaibisha?Juzi nimetumiwa msg na bae eti nimuongezee hela anunue S9+. Ikabidi nichungulie inauzwa bei gani OMG 2.3m! Yaani 2,300,000! Over a $1000!
Nikafikiria huyu Bae anakaa nyumba ya kupanga, kodi vile vile nanchangia na inawezekana tunachangia wengi, kweli hana cha maana cha kufanyia hio 2.3m!
Nikafikiria haraka haraka nini unnaweza kufanya na 2.3m
1.Unaweza kununua kiwanja. Kuna kampuni zinauza viwanja vilivyopimwa 5000/sqm anaweza kupata 1000sqm kwa 5m(hii kampuni unaweza kulipa nusu halafu iliobaki kidogokidogo kwa miezi sita)
2.Unaweza kununua matofali 2300 ambayo yanamaliza nyumba ya vyumba vitatu au viwili.
3.Unnaweza kununua madirisha zaidi ya 7 ya aluminium ukamalizia nyumba yako
4.Unaweza kununua bodaboda ikakuingizia hata 20,000 kwa siku.
5.Huu ni mtaji tosha kwa biashara ya tigopesa etc
6.Unaweza kununua mabati 100 au zaidi
Kuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.
NB:Hii haihusu those who CAN AFFORD that phone.
Sio kwa mcalculation huo ahahaaa
r=-1
Snap chat tuuuuu. Halafu tukiwa na simu nzuri mnatuona matawi kama ukinitongoza unanitreat vizuri. Ndo wanavyosema lakini sio mimi [emoji23][emoji23]
Ila mi si ulisema utaniletea bby?Hahahahahaaaaaa!!
Umejuaje?
Remember your iPhone thread?Whatever “matawi” means lakini mimi sidhani kama simu inabadilisha character au status ya mtu kwenye jamii.
Ila nimegundua wapo watu wanaozichukulia baadhi ya aina za simu kuwa ndo status enhancer.
At the end of the day, to each his own.
Sema huyu mjanja hadi kapitiliza.
Mimi Nina akili gani bna? Hawa wanawake unawapata wapi?Afadhali wangekuwa na akili kama yako!
Ila mi si ulisema utaniletea bby?
Sema na wewe umekaa kipedeshee sana halafu unajifanya fala flani .kumbe hufai.mwanamke ambae hajakusoma sana hatocheua mbele yako lazima aharibu dakika mbili tu za mwanzo.una kainnocent face na smile kumbe???Nawapata Mars!
Kama hivyo sawaNajidanganya mwenyewe.
Best baba. Kwahiyo mimi ile Iphone X huniletei tena?Hela niliyoitolea jasho siwezi kuifuja kwa mwanamke aisee.
Heri niitumie kwa mwanangu ambaye najua she is loyal to me till the end.
Au labda nikija kuoa. Hapo sitakuwa na tatizo ingawa napo itabidi nitumie akili kubwa maana wake za watu nao ndo walewale tu.
Lakini kwa Kisura I go all out man. Her happiness is mine as well.
Tunaojihudumia tunakuaga na akili. Unadhani ningekua napewa tu ningepata hiyo akili? Mi mtu akinipa ananiongezea ila changu nakitafuta kwa nguvu jamani sasa ndo nichezee hela hivyo wee
Mjini hapaa wifiiOhoooo jamani mawifi zangu mbona wananiaibisha?
Ngabu atakununulia misosi tuBest baba. Kwahiyo mimi ile Iphone X huniletei tena?
Hadi wewe unanisnitch bae?Huyo ni bonge la dada wa mjini aisee.
She’s well connected......
Hawa mawifi sio wa mji huu.Mimi siombagi zaidi ya elfu hamsini.tena huwa nakopa .sema nasamehewa ila nakua kabisa na lengo la kurudisha kwa mbaaaliMjini hapaa wifii