Hili la Dowans kulipwa si ajabu, kwani mangapi yamefanyika? watanzania ni wapole na wakarimu sana hawana tatizo hata kidogo na mtu ilimradi wapewe ahadi ya maisha bora.
'Hata nchi ikiuzwa! hiyo kwao sio ishu limradi hawasikii mirio ya risasi(utulivu na amani)''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.