Jambo Tz JF-Expert Member Jul 19, 2013 670 202 Dec 9, 2013 #1 Kufuatia taarifa zinazo zagaa kuwa wafuasi wa chadema na katibu wake wamepigwa mawe huko Kigoma Je? Ndio mwanzo wa kufuliaaa
Kufuatia taarifa zinazo zagaa kuwa wafuasi wa chadema na katibu wake wamepigwa mawe huko Kigoma Je? Ndio mwanzo wa kufuliaaa
Mmawia JF-Expert Member Aug 20, 2013 121,947 95,237 Dec 9, 2013 #2 Jambo Tz said: Kufuatia taarifa zinazo zagaa kuwa wafuasi wa chadema na katibu wake wamepigwa mawe huko Kigoma Je? Ndio mwanzo wa kufuliaaa Click to expand... Umesahau msafara wa rais jk ulipigwa mawe wakati anatoka chunya? Huo ndio ulikuwa mwisho wa ccm? Kumbuka mti wenye matunda mazuri ndio upigwao mawe.
Jambo Tz said: Kufuatia taarifa zinazo zagaa kuwa wafuasi wa chadema na katibu wake wamepigwa mawe huko Kigoma Je? Ndio mwanzo wa kufuliaaa Click to expand... Umesahau msafara wa rais jk ulipigwa mawe wakati anatoka chunya? Huo ndio ulikuwa mwisho wa ccm? Kumbuka mti wenye matunda mazuri ndio upigwao mawe.