Bado sijaamini kama CCM inaondoka madarakani

Bado sijaamini kama CCM inaondoka madarakani

Lowasa ndo Rais wa JMT amin ivo kila kitu kishawekwa Sawa
 
Watu wale wametoka mikoani kwa ajili ya kumsindikiza EL au ni watu wa Dar pekee,? Nahuc shughuli zilicmama kwa masaaa
 
Ninachojua ni kwamba, kwenye ulingo wa kisiasa, anything can happen. Tumeshaona mengi teyari mpaka wakati huu, so tutegemee kuona mengi zaidi.
 
ccm haing'oki madarakani acheni wehu wenu hapaa,, tuweke na akiba ya maneno ,,,na wala suala la wizi wa kura lisije tuletea fujo buree hapa nchini...
Ukawa hamjitambua hataa,, sasa hivi wengine wenyeviti wazima jukwaani hawajui waongee NCCR au NLD wao ni peopleeeeee pesaaaaaaa.......
 
ccm haing'oki madarakani acheni wehu wenu hapaa,, tuweke na akiba ya maneno ,,,na wala suala la wizi wa kura lisije tuletea fujo buree hapa nchini...
Ukawa hamjitambua hataa,, sasa hivi wengine wenyeviti wazima jukwaani
hawajui waongee NCCR au NLD wao ni peopleeeeee pesaaaaaaa.......
[Toa hoja mkuu si vioja]
 
ccm haing'oki madarakani acheni wehu wenu hapaa,, tuweke na akiba ya maneno ,,,na wala suala la wizi wa kura lisije tuletea fujo buree hapa nchini...
Ukawa hamjitambua hataa,, sasa hivi wengine wenyeviti wazima jukwaani
hawajui waongee NCCR au NLD wao ni peopleeeeee pesaaaaaaa.......
[Toa hoja mkuu si vioja]

Hata KANU ,hata ZANU walikuwa na mtazamo kama wako lakini mwisho wa siku walichanuka na goli likaingia..hivyo basi suala la CCM kuondoka mwaka huu halihitaji mjadala..Mgombea wenu magufuli kakata tamaa sana ..hivi kweli mtu serious unaweza kuanza kuambatana na mwigulu awe anakupigia kampeni?
 
ccm haing'oki madarakani acheni wehu wenu hapaa,, tuweke na akiba ya maneno ,,,na wala suala la wizi wa kura lisije tuletea fujo buree hapa nchini...
Ukawa hamjitambua hataa,, sasa hivi wengine wenyeviti wazima jukwaani hawajui waongee NCCR au NLD wao ni peopleeeeee pesaaaaaaa.......

Tulia watu waweke kidole deep ndo utajua kama mnaindoka au hamuondoki
 
Cc nape
 

Attachments

  • 1439278139329.jpg
    1439278139329.jpg
    115.8 KB · Views: 236
Walisema hivi ni vyama vya msimu. Wanasema watafutika kabla ya 2010. Wakasema hawa ni magaidi na wafanya fujo. Wakasema hawawezi kuungana hadi uchaguzi. Wakawaita paka waliofungwa mikia. Wakasema hawawezi kumsimamisha mgombea mmoja. Sasawanasema hawezi kushinda! Kwa mlolongo huu, Jibu wanalo
 
Back
Top Bottom