Bado Nipo

Rich Woman

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2012
Posts
867
Reaction score
558
Kitambo sana sijatia magulu humu ndani mara nyingi Himidini, mwallu na Mphamvu mmeniita ila sikuitika si kwamba nimeondoka hapana ila siwafichi nilitetereka kidogo sikumaliza mwaka vizuri kiasi hata nguvu za kuingia hapa ndani sikua nazo kabisa...

Ashukuriwe Mungu ambaye siku zote hatuachi tuangamie na mpaka sasa nina nguvu na hata mnaniona nimerudi, sitaki kuwachosha sana na maneno yangu mengi ila hapa ndani siku zote pamekua pananipa raha toka nimejiunga sijawahi kujuta kuna wengine nimewahi kuonana nao na nikajisikia raha kama watu8 na [MENTION]manoah[/MENTION] hata mzabzab japo ule mpango hatukuukamilisha.

Bado Nipo na nnamis sana watu wote wa hapa ndani maana kuna wakati huwa nasoma thread nacheka hadi machozi yananitoka

Salamu kwa wote wanaonifahamu na wasionifahamu
 
Pole sana Rich woman kama ulikuwa mgonjwa baso pole na karibu tena
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…