Bado Natafuta Mchumba wa kike

Bado Natafuta Mchumba wa kike

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
496
Reaction score
379
Wadau bado natafuta mke kupitia jukwaa hili,

Mimi nipo mwanza na nafanya kazi.

Nahitaji na yeye awe anafanya kazi, akiwa mwalimu ni nzuri zaidi, awe mpenda maendeleo, mtaratibu na mwenye mvuto. aliye tayari ani-PM na aache mawasiliano yake mimi nitampigia.
 
Wadau bado natafuta mke kupitia jukwaa hili,

Mimi nipo mwanza na nafanya kazi.

Nahitaji na yeye awe anafanya kazi, akiwa mwalimu ni nzuri zaidi, awe mpenda maendeleo, mtaratibu na mwenye mvuto. aliye tayari ani-PM na aache mawasiliano yake mimi nitampigia.

Mkuu... Haya maneno ni ya nani??? Au hii post ni ya nani acha basi kuwahadaa wasichana, punguzeni kucheza na hisia za wenzenu, au una nini cha kutuambia???

https://www.jamiiforums.com/mahusia...inyi-wasichana-kwa-nini-hii-tabia-lakini.html

B.G TANTAWI
11th November 2013 14:36 #1

Senior Member
Array
Join Date : 3rd July 2013
Posts : 243
Rep Power : 1560
Likes Received:150
Likes Given:287

Ninyi wasichana, kwa nini hii Tabia lakini?
Mabinti wanakera sana, am very sorry for ladies!

kwa sasa nimefikisha wasichana kama wanne hivi kuwachumbia na kama kawaida kuna swali wananiuliza "Una kazi"? wakati huo huo kati ya hao wanne, ni mmoja tu ndiye ana kazi but the rest ni jobless, sasa wa kwanza nilimjibu kuwa "sina kazi" nikamuuliza "wewe una kazi"? akasema hana khaaa!! nilijisikia vibaya sana kwa swali lake hilo, akasema kama huna kazi "nipotezee" kumbuka wakati huo ki-uhalisia mimi nina kazi na nimeajiriwa! wa pili hivo hivo, wa tatu hivo hivo ila yeye nikamwambia kuwa mimi ni mmachinga tu na nilikuwa nimevaa hovyo hovyo, akasema "sipo tayari" ss wa nne yeye akaniuliza una kazi gani? nikamwambia mimi ni "mkulima tu" nalima mboga mboga nauza soko kuu hapa kariakoo, akasema Mhh! haya bwana nidanganye tu, naye siku hiyo nilikuwa nimevaa hovyo hovyo sana, akasema yeye haangalii "kazi ya mtu" na yupo tayari. kweli kabisa ndo mchumba wangu na mwezi ujao tunaoana.

My take: wasichana muwe makini sana.
 
Mkuu... Haya maneno ni ya nani??? Au hii post ni ya nani acha basi kuwahadaa wasichana, punguzeni kucheza na hisia za wenzenu, au una nini cha kutuambia???

https://www.jamiiforums.com/mahusia...inyi-wasichana-kwa-nini-hii-tabia-lakini.html

B.G TANTAWI
11th November 2013 14:36 #1

Senior Member
Array
Join Date : 3rd July 2013
Posts : 243
Rep Power : 1560
Likes Received:150
Likes Given:287

Ninyi wasichana, kwa nini hii Tabia lakini?
Mabinti wanakera sana, am very sorry for ladies!

kwa sasa nimefikisha wasichana kama wanne hivi kuwachumbia na kama kawaida kuna swali wananiuliza "Una kazi"? wakati huo huo kati ya hao wanne, ni mmoja tu ndiye ana kazi but the rest ni jobless, sasa wa kwanza nilimjibu kuwa "sina kazi" nikamuuliza "wewe una kazi"? akasema hana khaaa!! nilijisikia vibaya sana kwa swali lake hilo, akasema kama huna kazi "nipotezee" kumbuka wakati huo ki-uhalisia mimi nina kazi na nimeajiriwa! wa pili hivo hivo, wa tatu hivo hivo ila yeye nikamwambia kuwa mimi ni mmachinga tu na nilikuwa nimevaa hovyo hovyo, akasema "sipo tayari" ss wa nne yeye akaniuliza una kazi gani? nikamwambia mimi ni "mkulima tu" nalima mboga mboga nauza soko kuu hapa kariakoo, akasema Mhh! haya bwana nidanganye tu, naye siku hiyo nilikuwa nimevaa hovyo hovyo sana, akasema yeye haangalii "kazi ya mtu" na yupo tayari. kweli kabisa ndo mchumba wangu na mwezi ujao tunaoana.

My take: wasichana muwe makini sana.

Hah ha ha kweli wahenga waliona mbali sana na msemo wao "ukiwa muongo, uwe na kumbukumbu"
 
Mamito umeniita eeh sio... But hili bandiko halinihusu. Au umesahau siku hizi naitwa Mrs. Mtasha????

Naona hukipendi kinaniliu chako eeehhhhh ..... Don't u :scared: :scared:

hivi kumbe mzungu anaoa mi nkajua mla bata tu?
haya wasalimie ukweni kwako huko ulaya usisahau kuniletea zawadi
navaa middle size mie!!!
 
Mkuu... Haya maneno ni ya nani??? Au hii post ni ya nani acha basi kuwahadaa wasichana, punguzeni kucheza na hisia za wenzenu, au una nini cha kutuambia???

https://www.jamiiforums.com/mahusia...inyi-wasichana-kwa-nini-hii-tabia-lakini.html

B.G TANTAWI
11th November 2013 14:36 #1

Senior Member
Array
Join Date : 3rd July 2013
Posts : 243
Rep Power : 1560
Likes Received:150
Likes Given:287

Ninyi wasichana, kwa nini hii Tabia lakini?
Mabinti wanakera sana, am very sorry for ladies!

kwa sasa nimefikisha wasichana kama wanne hivi kuwachumbia na kama kawaida kuna swali wananiuliza "Una kazi"? wakati huo huo kati ya hao wanne, ni mmoja tu ndiye ana kazi but the rest ni jobless, sasa wa kwanza nilimjibu kuwa "sina kazi" nikamuuliza "wewe una kazi"? akasema hana khaaa!! nilijisikia vibaya sana kwa swali lake hilo, akasema kama huna kazi "nipotezee" kumbuka wakati huo ki-uhalisia mimi nina kazi na nimeajiriwa! wa pili hivo hivo, wa tatu hivo hivo ila yeye nikamwambia kuwa mimi ni mmachinga tu na nilikuwa nimevaa hovyo hovyo, akasema "sipo tayari" ss wa nne yeye akaniuliza una kazi gani? nikamwambia mimi ni "mkulima tu" nalima mboga mboga nauza soko kuu hapa kariakoo, akasema Mhh! haya bwana nidanganye tu, naye siku hiyo nilikuwa nimevaa hovyo hovyo sana, akasema yeye haangalii "kazi ya mtu" na yupo tayari. kweli kabisa ndo mchumba wangu na mwezi ujao tunaoana.

My take: wasichana muwe makini sana.
Kumbe jamaa linatafuta nyumba ndogo!! Hahaaaaaaaaaaa
Ama kweli ukiwa muongo shurti uwe na kumbukumbu.

Lakini sasa hivi anatafuta Mchumba wa kike, pengine huyo wa kwanza alikuwa ni wa Kiume.
 
hivi kumbe mzungu anaoa mi nkajua mla bata tu?
haya wasalimie ukweni kwako huko ulaya usisahau kuniletea zawadi
navaa middle size mie!!!

Aisee!! Evelyn Salt mbona kama kuna mengi ndani yake...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mkuu... Haya maneno ni ya nani??? Au hii post ni ya nani acha basi kuwahadaa wasichana, punguzeni kucheza na hisia za wenzenu, au una nini cha kutuambia???

https://www.jamiiforums.com/mahusia...inyi-wasichana-kwa-nini-hii-tabia-lakini.html

B.G TANTAWI
11th November 2013 14:36 #1

Senior Member
Array
Join Date : 3rd July 2013
Posts : 243
Rep Power : 1560
Likes Received:150
Likes Given:287

Ninyi wasichana, kwa nini hii Tabia lakini?
Mabinti wanakera sana, am very sorry for ladies!

kwa sasa nimefikisha wasichana kama wanne hivi kuwachumbia na kama kawaida kuna swali wananiuliza "Una kazi"? wakati huo huo kati ya hao wanne, ni mmoja tu ndiye ana kazi but the rest ni jobless, sasa wa kwanza nilimjibu kuwa "sina kazi" nikamuuliza "wewe una kazi"? akasema hana khaaa!! nilijisikia vibaya sana kwa swali lake hilo, akasema kama huna kazi "nipotezee" kumbuka wakati huo ki-uhalisia mimi nina kazi na nimeajiriwa! wa pili hivo hivo, wa tatu hivo hivo ila yeye nikamwambia kuwa mimi ni mmachinga tu na nilikuwa nimevaa hovyo hovyo, akasema "sipo tayari" ss wa nne yeye akaniuliza una kazi gani? nikamwambia mimi ni "mkulima tu" nalima mboga mboga nauza soko kuu hapa kariakoo, akasema Mhh! haya bwana nidanganye tu, naye siku hiyo nilikuwa nimevaa hovyo hovyo sana, akasema yeye haangalii "kazi ya mtu" na yupo tayari. kweli kabisa ndo mchumba wangu na mwezi ujao tunaoana.

My take: wasichana muwe makini sana.


Hahahahahaaaa............. Umeuaaaaaaaa mbaaayaaaa..!!

Asante sana kwa angalizo..!
 
Back
Top Bottom