Na mimi nilikua nashaangaa, hiyo Pakistan ina nini cha zaidi? Technolojia anampita Marekani? Mbona kuna oparations zingine za kijasusi hua zinafanywa na Marekani ndani ya Pakistani na wenyewe hawajui, wakija kushtuka wenzao washamliza mission yao
Possible maana inawezekana plan ilifanyikia marekani.Unasema Marekani (CIA) Ni ngumu kuingia ndani ya Urusi wakati CIA Mara nyingine ndo wanakua wa Kwanza kuwajulisha hao wa Russia kwamba wanataka kushambuliwa na magaidi bila wao kujua. Mwaka Jana waliijulisha Urusi kua inataka kushambuliwa na Magaidi kule St Petersburg bila wenyewe kujua lolote mpaka Putin akampigia simu Trump kumshukuru kwa kazi waliyoifanya CIA ndani ya Urusi CIA Helping Russia Prevent Terror Attack 'Outstanding Example of Cooperation'
Ni kweli kabisa mkuuSio saa Ni dk chake tu dunia kwisha....
πππmarekani ni kama mwanamke ambae akipigwa na mmumewe anamvizia akilewa anamuuma makende.
Hii INA make senseKuna conspiracy theories katika literature zao wenyewe Wamarekani ukisoma vitabu vya espionage kwamba NSA wakipunguziwa bajeti wanaweza wakaandaa tukio la ajabu kuhusu usalama ili wanasiasa wasiiguse proposal ya basiti yao
cha ajabu baada ya kumuua osama ofisa mmojawa marekani akadai hizo ni salamu kwa china..huwa natafuta uhusiano siupatiHapo kwenye kumuua Osama kama kuna picha hivi lilichezwa na linafahamika na both ISI and CIA
Kuna amambo yao wanajuana hawa jamaa, tatizo ni kwmaba hawapigani mkwara moja kwa moja hua wanaumiza wengine ili kumpiga biti mpinzani wa level yakecha ajabu baada ya kumuua osama ofisa mmojawa marekani akadai hizo ni salamu kwa china..huwa natafuta uhusiano siupati
wale jamaa iq iko juu..nikikumbuka walivopandikiza mtu mi6 mpaka akawa kaimu mkurugenzi taifa nachoka,pale fbi wakaweka pandikizi lao,likadakwa 2000/01...hawana mbwembwe tu kama wale mabepariKuna kitu wamarekani wanakijua kuhusu uwezo wa urusi ambao sisi hatukijui ndo maana wao wanaheshimiana sana!....sisi tutaishia kubishana tu!......Ila warusi ni best kwenye hesabu na physics!
Unataka kujua ili iweje mkuu? Lengo lako ni kujifunza ama nini?Wataalazmu wa mambo ya intelijensia naomba msaada wenu, uzoefu wangu ni wakusoma vitabu vya espionage ziwe za kitechnolojia, uchumi , kijeshi au za kisiasa zinazohusisha mataifa makubwa ulimwenguni zikiwemo nchi za Marekani, Ulaya ya Magharibi kama Uingereza, Ujerumani Ufaransa na hata zilizokua nchi za kisoshalist za Ulaya ya Mashariki ikiwemo Urusi na Mashariki ya kati Israel ikiwa kinara
Katika usomaji wangu nakuta mara nyingi Urusi inafanya mambo ambayo kiakili unaona hayawezekani. Utakuta Shirika la Ujasusi la Urusi wakati huo linaitwa KGB(sijui sasa linaitwaje) linaendesha (lina run) ma agent wa CIA na kuwafanya kua double agents, yaani CIA agents wanakua informers kwa faida ya Urusi! Tena sio ofisa mmoja wa CIA au wawili ni kwa makumi kama ambavyo Marekani nao wanakua na watu wao ambao wana wa run ma agent wa Kirusi!
Kwa upeo mdogo wa mambo haya niliyokua nao naona ajabu sana Marekani kufanyiwa kitu hiki na Urusi mpaka najiuliza au ni kwavile vitabu ninavyosoma vingi ni fiction labda maana wahusika na matukio ya kubuni tu? Urusi kama inavyofanya Marekani ina run ma agents wa Nchi za Magharibi na kuna wengine wana defect kabisa na kuhamia Urusi!
Bado najiuliza kuna power ya Russia ambayo sisi hatuijui ila Marekani wanaitambua na kuiheshimu?Au Amerika inakua overrated na Russia inalijua hilo kwa hivyo hawaigopi?
Hapa nimemaliza kusoma litabu cha Frederick Forsyth THE DEVIL'S ALTERNATIVE, THE FOUTH PROTOCAl. Hawa jamaa wanapelelezana na wanajuana na huwezi jua nani zaidi. Ila sema tu kitabu ni fiction so sijui ukweli ukoje. Kama kuna anejua atupe darasa wana JF
Hahahaaa mkuu sina zaidi ya kutaka kujifunza tu. Yawezekana havina faida yoyote kwangu lakini kujiongezea maarifa na taarifa halijawahi kua kosa au tatizo mkuu wanguUnataka kujua ili iweje mkuu? Lengo lako ni kujifunza ama nini?
Pengine wewe ni "mkazi" wa "nyumba" nyingine sasa unataka kupata habari ya jinsi ya "kusafisha" nyumba ya jirani!!Hahahaaa mkuu sina zaidi ya kutaka kujifunza tu. Yawezekana havina faida yoyote kwangu lakini kujiongezea maarifa na taarifa halijawahi kua kosa au tatizo mkuu wangu
Hahahaa, ningekua mkazi wa hizo "nyumba" si wenyewe hao wangenipa mafunzo mkuu wakati mimi huku naokoteza okoteza vijimaarifa mtandaoni kwa kuuliza uliza wanaojua sababu ya curiosity yangu tuPengine wewe ni "mkazi" wa "nyumba" nyingine sasa unataka kupata habari ya jinsi ya "kusafisha" nyumba ya jirani!!
Mafunzo mema mkuu.
Mbona TISS walishindwa kujua twiga anapanda dreamliner?!Hao wa Pakistan walishindwa kujuwa Bin Laden anafuatwa ndani Pakistan?Achana na fake news.
π³π³π³ππMbona TISS walishindwa kujua twiga anapanda dreamliner?!
Unajuaje Kama CIA ndo walitengeneza tukio Hilo kwa malengo maalum....Unasema Marekani (CIA) Ni ngumu kuingia ndani ya Urusi wakati CIA Mara nyingine ndo wanakua wa Kwanza kuwajulisha hao wa Russia kwamba wanataka kushambuliwa na magaidi bila wao kujua. Mwaka Jana waliijulisha Urusi kua inataka kushambuliwa na Magaidi kule St Petersburg bila wenyewe kujua lolote mpaka Putin akampigia simu Trump kumshukuru kwa kazi waliyoifanya CIA ndani ya Urusi CIA Helping Russia Prevent Terror Attack 'Outstanding Example of Cooperation'
Hujui unacho kiongea wwHadi kudukuliwa FBI na CIA wanashughulika wao? Maana kuna watu wanadukua system za hiyo mitandao kama kumeza maji na hawajashilwa
NSA kuna mahacker tu wa mtaani wamewashinda