Bado naamini kwenye mtandao

kalou

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2009
Posts
4,992
Reaction score
3,880
Desperate times calls for desperate measures
 
KW heshima ya Jukwaa watu wote wenye maswali binafsi nitayajibu PM..
Unless yawe yanahusu kila mtu nitayajibu humu
 

ongezea, wewe ni mhaya
 
Kila la heri Mkuu penzi la kupata hadi mke/mume linaweza kutokea hata mtandaoni kama ilivyo uraiani. Kila la heri na baraka katika kumtafuta mwenza wa maisha.
 
kalou bwana embu subiri kwanza mbona katoto bado
 
Last edited by a moderator:
mkuu kalou watakaobaki kwenye mchujo wako do me a favor ni fowardie
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…