meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,829
Mkuu hawa MSD ni shida...kuna makubaliano yalifikiwa kuwa lile deni kubwa serikali kuu italimaliza lakini halmashauri zilielekezwa kununua au kupeleka fedha za makusanyo ya uchangiaji yaani user fee na CHF au NHIF MSD.Mkuu, wakati mwingine huwatendei haki MSD kwa kuwalaumu kwa masuala ambayo yako nje ya uwezo wao.
Kumbuka MSD bado wanaidai serikali shilingi bilioni 70 baada ya Rais Magufuli kuwalipa bilioni 20.
Hivi unafikiri watajiendeshaje wakati pesa zao ziko serikalini wakati huo huo serikali wanataka madawa.
Sekta ya afya iliachwa sana na watawala wetu wa nyuma kwa sababu wao walikuwa wakiugua hata mafua wanaenda nje kutibiwa.
Jaribu kuangalia ratio ya bajeti kwenye sekta ya afya halafu mbaya zaidi, hata hizo pesa za kwenye bajeti zilikuwa hazipelekwi zote kwenye sekta ya afya.
Sasa imagine hospitali za serikali zinalazimishwa kununua dawa MSD ...yaani wakikosa Central store wasiende kwingine eti waende kwenye hivyo viduka walivyoanzisha matokeo yake process ya kununua dawa inachukua kama mwezi na nusu halafu wananchi wanakuja kutukana manesi na madaktari na kuwashutumu kuiba dawa na kuwauzia!!Hilo nimeona leo katika dawa aina 5 ambazo dk kaniandikia nimnunulie mgonjwa ......nimepata aina 1 tu kwenye duka lao hapa mountmeru hosp
Kwa kipindi chote hiki cha kufanya biashara na hospitali za serikali,wadau kama vile USAID,JHPIEGO,DFID n.k MSD inakosaje fedha za kuclear mzigo bandarini?Kabla ya kuilaumu MSD, serikali itimize wajibu wake ilipe mabilioni inayodaiwa MSD. Leo MSD haina uwezo wa ku clear madawa bandarini, store imejaa dawa zilizo expire kwa kuwa hawana uwezo wa kuziharibu na pia hawana tena uwezo wa kununua dawa in large quantities kutoka viwandani kwa kifupi MSD iko kwenye comma. Serikali ilipe deni sasa halafu ndio tujipange kuilaumu MSD ikishindwa kazi
hapo sijui jipu liko wapi,.. inaelekea kama umbea fulani kujitafutia nafasi ya ulaji msd. sasa kama hawana hela kutokana na madeni ya serikali watafanya kile kinachowezekana. msidilute maana ya jipu kwa maana ya jpm.Hii kitu inaitwa bohari ya madawa aka MSD bado ni jipu lililowiva na halijatumbuliwa hata kidogo.
Nasema hivi kwa kuwa MSD ndio wahusika wa kusambaza au kuuzia dawa hospitali,vituo vya afya na zahanati vya umma.
Toka Magufuli ameingia madarakani bado MSD haijaweza kupeleka madawa na vifaa tiba vya kutosha katika vituo husika...huu ni ukweli mchungu.
Uanzishwaji wa maduka ya MSD kwenye taasisi kama muhimbili na hospitali za mikoa bado sio suluhisho katika upatikanaji wa dawa kwani hayo maduka ni empty kama zilivyo bohari za kanda.
Kwa anayetaka ushuhuda aende akaulizie juu ya upatikanaji wa dawa muhimu na zinazotumika kwa wingi vituoni mfano antibiotics na vifaa tiba kama gloves au POP na kadhalika.
Utaona mbwembwe nyiingi wakati wanazunguka na magari yao kwenye vituo kugawa dawa na vifaa tiba lakini ukifungua maboksi waliyoleta unaweza kulia...ni vitu vinavyokaribia kuisha muda au visivyohitajika na vituo.
Sijaelewa au nasita kuamini kuwa MSD hawana fedha yakununua hayo madawa au vifaa tiba...nadhani ni issue ya priority tu.
Madhila ya MSD yanawaacha wananchi wakishusha hasira zao dhidi yawatoa huduma...wananchi wanaaminishwa dawa zimeletwakumbe ni hewa tu!!
Ni muda wa Jipu hili kutumbuliwa.
kwa kupewa fedha au zaidi kwa kuwekewa mshindani.
Kama utaridhika wafanye hiko ulichokiita wanachokiweza basi tusisikie mkilalamika madawa hakuna kwenye hospitali za serikali lakini zipo kwenye hospitali binafsi...MSD ni Jipu kwani hata wanapopewa fedha na wahisani wanashindwa kuingiza reagents on time.....hapo sijui jipu liko wapi,.. inaelekea kama umbea fulani kujitafutia nafasi ya ulaji msd. sasa kama hawana hela kutokana na madeni ya serikali watafanya kile kinachowezekana. msidilute maana ya jipu kwa maana ya jpm.
Tatizo nikujiingiza upande wa serikali kufanya siasa wakati wanajua kutoka moyoni kwamba wanadanganya watu. Wao wangesema jamani ehheee nikweli hakana dawa mpaka tulipwe chetu. Tungewaelewa sanaMkuu, wakati mwingine huwatendei haki MSD kwa kuwalaumu kwa masuala ambayo yako nje ya uwezo wao.
Kumbuka MSD bado wanaidai serikali shilingi bilioni 70 baada ya Rais Magufuli kuwalipa bilioni 20.
Hivi unafikiri watajiendeshaje wakati pesa zao ziko serikalini wakati huo huo serikali wanataka madawa.
Sekta ya afya iliachwa sana na watawala wetu wa nyuma kwa sababu wao walikuwa wakiugua hata mafua wanaenda nje kutibiwa.
Jaribu kuangalia ratio ya bajeti kwenye sekta ya afya halafu mbaya zaidi, hata hizo pesa za kwenye bajeti zilikuwa hazipelekwi zote kwenye sekta ya afya.
Hii kitu inaitwa bohari ya madawa aka MSD bado ni jipu lililowiva na halijatumbuliwa hata kidogo.
Nasema hivi kwa kuwa MSD ndio wahusika wa kusambaza au kuuzia dawa hospitali,vituo vya afya na zahanati vya umma.
Toka Magufuli ameingia madarakani bado MSD haijaweza kupeleka madawa na vifaa tiba vya kutosha katika vituo husika...huu ni ukweli mchungu.
Uanzishwaji wa maduka ya MSD kwenye taasisi kama muhimbili na hospitali za mikoa bado sio suluhisho katika upatikanaji wa dawa kwani hayo maduka ni empty kama zilivyo bohari za kanda.
Kwa anayetaka ushuhuda aende akaulizie juu ya upatikanaji wa dawa muhimu na zinazotumika kwa wingi vituoni mfano antibiotics na vifaa tiba kama gloves au POP na kadhalika.
Utaona mbwembwe nyiingi wakati wanazunguka na magari yao kwenye vituo kugawa dawa na vifaa tiba lakini ukifungua maboksi waliyoleta unaweza kulia...ni vitu vinavyokaribia kuisha muda au visivyohitajika na vituo.
Sijaelewa au nasita kuamini kuwa MSD hawana fedha yakununua hayo madawa au vifaa tiba...nadhani ni issue ya priority tu.
Madhila ya MSD yanawaacha wananchi wakishusha hasira zao dhidi yawatoa huduma...wananchi wanaaminishwa dawa zimeletwakumbe ni hewa tu!!
Ni muda wa Jipu hili kutumbuliwa.
kwa kupewa fedha au zaidi kwa kuwekewa mshindani.
Mkuu, Sema haina helaMsd ya sasa haina malengo