Badala ya kuangua kilio, Wasanii Wasaliti wawaombe wanaccm wawaunge mkono

Badala ya kuangua kilio, Wasanii Wasaliti wawaombe wanaccm wawaunge mkono

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,304
Reaction score
271,566
Tumeambiwa humu mara kadhaa kwamba ccm ina wanachama lukuki Nchi nzima, N.a. ushahidi mwingine ni Kura alizopata Hangaya mil 32 (Yaani zaidi ya nusu ya Watanzania wamemchagua)

Sasa mamilioni haya ya watu mbona ndio mtaji wa wasanii! Kwanini Wasanii wanalialia n.a. kulalamika kwamba wamepigwa Chini? Au hizi takwimu za Idadi ya Wanaccm na ile figure ya Mwambegele ni za Uongo?

Wasanii msitupigie Kelele Mfuateni Kihongosi ahamasishe mamilioni ya wanaccm wawaunge mkono.

UJUMBE: KWA MUJIBU WA MAANDIKO MATAKATIFU LAANA YA USALITI INATAFUNA HADI KIZAZI CHA 4
 
There is every reason and every circumstance to declare that CCM is not a political party; CCM is a terrorist organization. From now on, the world must place it on the list of terrorist organizations.
Ccm is the ruling party of Tanzania government under Samia Suluhu hassan
 
Tumeambiwa humu mara kadhaa kwamba ccm ina wanachama lukuki Nchi nzima, N.a. ushahidi mwingine ni Kura alizopata Hangaya mil 32 (Yaani zaidi ya nusu ya Watanzania wamemchagua)

Sasa mamilioni haya ya watu mbona ndio mtaji wa wasanii! Kwanini Wasanii wanalialia n.a. kulalamika kwamba wamepigwa Chini? Au hizi takwimu za Idadi ya Wanaccm na ile figure ya Mwambegele ni za Uongo?

Wasanii msitupigie Kelele Mfuateni Kihongosi ahamasishe mamilioni ya wanaccm wawaunge mkono.

UJUMBE: KWA MUJIBU WA MAANDIKO MATAKATIFU LAANA YA USALITI INATAFUNA HADI KIZAZI CHA 4
ata wao wanajua sa100 aliiba kura 31m, kwa kuhesabu nchi nzima alipata kama 17,000 za viongozi wa CCM na watoto wa shule
 
Tumeambiwa humu mara kadhaa kwamba ccm ina wanachama lukuki Nchi nzima, N.a. ushahidi mwingine ni Kura alizopata Hangaya mil 32 (Yaani zaidi ya nusu ya Watanzania wamemchagua)

Sasa mamilioni haya ya watu mbona ndio mtaji wa wasanii! Kwanini Wasanii wanalialia n.a. kulalamika kwamba wamepigwa Chini? Au hizi takwimu za Idadi ya Wanaccm na ile figure ya Mwambegele ni za Uongo?

Wasanii msitupigie Kelele Mfuateni Kihongosi ahamasishe mamilioni ya wanaccm wawaunge mkono.

UJUMBE: KWA MUJIBU WA MAANDIKO MATAKATIFU LAANA YA USALITI INATAFUNA HADI KIZAZI CHA 4
Uzuri wameshaanza kuuungana mkono wao kwa wao,na bado.Weje tena kulialia
 
Tumeambiwa humu mara kadhaa kwamba ccm ina wanachama lukuki Nchi nzima, N.a. ushahidi mwingine ni Kura alizopata Hangaya mil 32 (Yaani zaidi ya nusu ya Watanzania wamemchagua)

Sasa mamilioni haya ya watu mbona ndio mtaji wa wasanii! Kwanini Wasanii wanalialia n.a. kulalamika kwamba wamepigwa Chini? Au hizi takwimu za Idadi ya Wanaccm na ile figure ya Mwambegele ni za Uongo?

Wasanii msitupigie Kelele Mfuateni Kihongosi ahamasishe mamilioni ya wanaccm wawaunge mkono.

UJUMBE: KWA MUJIBU WA MAANDIKO MATAKATIFU LAANA YA USALITI INATAFUNA HADI KIZAZI CHA 4
Hakuna kuomba msamaha. Usanii wa muziki au sinema ni kazi kama wengine walivyo ajiriwa Polisi, Hospitali, Shule. Au ni kama biashara ya duka, taxi, genge au nyumba.

Kama wasanii wanalazimika kuomba msamaha basi kila mtanzania mwenye umri wa miaka 18 na ana ingiza kipato aombe msamaha.

Nyie mbwege wa CHADEMA na wanaharakati ACHENI huu ujinga wa kuwapangia maisha wasanii ambao muziki na sinema ni kazi zao. Hakuna chochote mnachowasaidia katika kutengeneza muziki wao. Kama nyie hamutaki JUST UNFOLLOW and don't view uone kama watakufa njaa
 
Hawa wasanii wanachopaswa kufanya ili wapate msamaha haraka ni kutunga nyimbo za kudai:-
1. Haki.
2. Serikali ya mpito.
3. Kuachiwa kwa waliotekwa.
4. Wafungwa wa kisiasa waachilowe.
 
Hawa wasanii wanachopaswa kufanya ili wapate msamaha haraka ni kutunga nyimbo za kudai:-
1. Haki.
2. Serikali ya mpito.
3. Kuachiwa kwa waliotekwa.
4. Wafungwa wa kisiasa waachilowe.
Noma sana
 
Mbona mnajipa umuhimu sana kwenye maisha ya watu wengine
 
Hakuna kuomba msamaha. Usanii wa muziki au sinema ni kazi kama wengine walivyo ajiriwa Polisi, Hospitali, Shule. Au ni kama biashara ya duka, taxi, genge au nyumba.

Kama wasanii wanalazimika kuomba msamaha basi kila mtanzania mwenye umri wa miaka 18 na ana ingiza kipato aombe msamaha.

Nyie mbwege wa CHADEMA na wanaharakati ACHENI huu ujinga wa kuwapangia maisha wasanii ambao muziki na sinema ni kazi zao. Hakuna chochote mnachowasaidia katika kutengeneza muziki wao. Kama nyie hamutaki JUST UNFOLLOW and don't view uone kama watakufa njaa
sioni haja ya wewe kutoa povu! Nenda ukawasapoti! Au kuna shida?
 
Hakuna kuomba msamaha. Usanii wa muziki au sinema ni kazi kama wengine walivyo ajiriwa Polisi, Hospitali, Shule. Au ni kama biashara ya duka, taxi, genge au nyumba.

Kama wasanii wanalazimika kuomba msamaha basi kila mtanzania mwenye umri wa miaka 18 na ana ingiza kipato aombe msamaha.

Nyie mbwege wa CHADEMA na wanaharakati ACHENI huu ujinga wa kuwapangia maisha wasanii ambao muziki na sinema ni kazi zao. Hakuna chochote mnachowasaidia katika kutengeneza muziki wao. Kama nyie hamutaki JUST UNFOLLOW and don't view uone kama watakufa njaa
Sasa kinacho waliza liza ni nini? kila mtu akae kwenye line yake
 
Screenshot_20251201-222021~2.png
 
Hakuna kuomba msamaha. Usanii wa muziki au sinema ni kazi kama wengine walivyo ajiriwa Polisi, Hospitali, Shule. Au ni kama biashara ya duka, taxi, genge au nyumba.

Kama wasanii wanalazimika kuomba msamaha basi kila mtanzania mwenye umri wa miaka 18 na ana ingiza kipato aombe msamaha.

Nyie mbwege wa CHADEMA na wanaharakati ACHENI huu ujinga wa kuwapangia maisha wasanii ambao muziki na sinema ni kazi zao. Hakuna chochote mnachowasaidia katika kutengeneza muziki wao. Kama nyie hamutaki JUST UNFOLLOW and don't view uone kama watakufa njaa
Sasa kwa nini mlimteka Roma Mkatoliki na BASATA kila siku wanamsumbua Ney wa Mitego??
Kwa nini mlimpima mkojo Wema alipojiunga CHADEMA??
 
Back
Top Bottom