Bad News kwa MMU

Bad News kwa MMU

Ulivyosema bad news utafikiri watakusikiliza na watabadilika sasa dunia imeshaharibika hii yaani nina uhakika hata Mungu mwenyewe angesema ajitokeze na aitangazie dunia kwa sauti yake kuwa uzinzi na uasherati ni dhambi bado watu wangeendelea kufanya sembuse binadamu mwenzao ndo awafanye waache
 
Kwani Yesu alikua mtu? Si mnasema ni Mungu. Sasa Mungu ulitaka amuoe nani?

Na Muhammad alikua na akili nyingi na hakuwa na mke mmoja. Maana kuwashawwishi Waislam wote duniani kuwa kundi lake ni zaidi ya hao akina Plato.
 
Hawana kazi hao lazima warudie tafiti na kuja na hitimisho tofauti na si hii issue tu bali nyingi nyinginezo mahitimisho yalikuwa tofauti na yale ya awali.

Mmh hao watafiti naona wameanza kupingana tena maana wengine walidai kufanya mapenzi kunafanya akili iwe active.
 
Kwani Yesu alikua mtu? Si mnasema ni Mungu. Sasa Mungu ulitaka amuoe nani?
Na Muhammad alikua na akili nyingi na hakuwa na mke mmoja. Maana kuwashawwishi Waislam wote duniani kuwa kundi lake ni zaidi ya hao akina Plato.
Asiye jua kusoma ni mjinga kabisa
 
Umenishtua sana!
Basi tuu acha tukuwe na uwezo kidogo wa kufikiri! Baridi linashawishi hili
 
Kwani Yesu alikua mtu? Si mnasema ni Mungu. Sasa Mungu ulitaka amuoe nani?

Na Muhammad alikua na akili nyingi na hakuwa na mke mmoja. Maana kuwashawwishi Waislam wote duniani kuwa kundi lake ni zaidi ya hao akina Plato.
Mhamadi nafikiri kwa sababu ya kupenda nyuchi ndo maana alikua anaishi na majini
Kwenye mapango.

Ukipenda sana nyuchi haziwezi kukuacha salama
 
Asiye jua kusoma ni mjinga kabisa
Maisha sio kujua kusoma na kuandika tu. Hebu jitafakari. Na ujinga ni kitu cha muda-unaelekezwa ujinga unakutoka. Wewe ni mpumbavu....upumbavu ni maumbile yaani asili...ni kama urefu au ufupi.
Mpumbavu kabisa wewe.
 
Mhamadi nafikiri kwa sababu ya kupenda nyuchi ndo maana alikua anaishi na majini
Kwenye mapango.

Ukipenda sana nyuchi haziwezi kukuacha salama
Lakini alikua na akili. Kukaa kwake na majini mi hakunihusu. Yaani nyie mnacompare Mungu na watu wake aliowaumba mwenyewe? Aaah
 
Maisha sio kujua kusoma na kuandika tu. Hebu jitafakari. Na ujinga ni kitu cha muda-unaelekezwa ujinga unakutoka. Wewe ni mpumbavu....upumbavu ni maumbile yaani asili...ni kama urefu au ufupi.
Mpumbavu kabisa wewe.
Acha kupaniki ndugu kwani huyo jamaa yenu alikua anajua kusoma?
Jibu kwanza hlo alafu tutaendelea
 
Ulivyosema bad news utafikiri watakusikiliza na watabadilika sasa dunia imeshaharibika hii yaani nina uhakika hata Mungu mwenyewe angesema ajitokeze na aitangazie dunia kwa sauti yake kuwa uzinzi na uasherati ni dhambi bado watu wangeendelea kufanya sembuse binadamu mwenzao ndo awafanye waache
Ujumbe sio kuacha sex....ni kuhepuka kuwa obsessed na sex
 
Lakini alikua na akili. Kukaa kwake na majini mi hakunihusu. Yaani nyie mnacompare Mungu na watu wake aliowaumba mwenyewe? Aaah
Tafuta kichwa cha madrasa kwenye top ten Kama utakiona?
 
Kwani Yesu alikua mtu? Si mnasema ni Mungu. Sasa Mungu ulitaka amuoe nani?

Na Muhammad alikua na akili nyingi na hakuwa na mke mmoja. Maana kuwashawwishi Waislam wote duniani kuwa kundi lake ni zaidi ya hao akina Plato.
Mkuu Yesu ni mwana wa Mungu lakini alikuja duniani katika mwili wa binadamu yaani alijivua nguvu za kimungu kabisa na kuwa na sifa zote za kibinadamu

Na hii ni kwa sababu alitaka awaonyeshe watu kuwa binadamu anaweza kuishi maisha matakatifu bila kutenda dhambi yoyote kama yeye tofauti na watu wanavyoaminishwa kuwa binadamu hauwezi kuwa mtakatifu hata iweje
 
Back
Top Bottom